Tabia ya Mume inanitesa

Tabia ya Mume inanitesa

story kama hii ilishakuja humu jamvini; ningekuwa kama EMT ningeweza kuifukunyua na kuweka link.

mi kwakweli natamani sana kujua kuweka link!
kuna vitu huwa natamani sana kufanya ulinkisho lakini nashindwa !
na si wanijua nilivo na makumbukumbu!
we acha tu!
itabidi EMT atupe twisheni!
lakini hata mwaJ anajua ujue!tumwambie atufundishage!


Story kujirudia siyo mbaya sana. I always say kama umekumbwa na tatizo, you are not the first one to face it. Tatizo liko tuu pale mtu anapoomba ushauri kwa ajili ya tatizo fulani halafu next week anakuja na thread nyingine ya kuomba ushauri ambao ni completely the opposite ya alioomba last week.

Mfano kuna member alianzisha thread titled: "Anataka kunikimbia....kisa....eti simfikishi kilimani!" Kwenye thread aliandika:"Jamani nimetumia akili, nguvu, juhudi, jitihada, maarifa na kila kitu ili mradi tu afurahi; lakini sina hakika kama nimegonga mwamba au ni kwamba ameamua tu kuniumiza. Ndio kusema hanitaki? Au anayoyasema ni kweli! Sasa nyumbani kimenuka, na hataki tena nile. Hapa ameniambia nimtafutie nauli aende zake! Kumpenda nampenda, nifanyeje?"

Kesho yake tuu member huyo huyo akaja thread nyingine titled: "Mwenzi wangu anatoa ukelele. majirani wanadai tunawasumbua hawalali eti tuhame". Kwenye hiyo thread aliandika: "kwa kweli kwenye shuhuli anatoa ukelele wa hali ya juu. sasa majirani wamecharuka wanadai tuhame tunawakaraisha. nimemsihi mwenzi wangu apunguze lakini anadai hafanyi makusudi anapokaribia mshindo tu ndo huwa balaa. Nifanyeje mwenzenu na kesi tayari ipo kwa mjumbe majirani wamecharuka."

Inaelekea JF ina washauri waliobobea kwenye haya makitu to the extent kwamba mtu anakuja hapa kuomba ushauri wa kumfikisha mywaifu wake kuliko, anapewa huo ushauri, anenda kuufanyia kazi usiku mmoja tuu mpaka majirani wanapeleka kesi kwa mjumbe.

Surely, hawatashindwa kumshauri hata huyu aliyeleta hii mada.
 
Tabia ya mwanume kununa from know where naichukia sana ,akinuna na mimi nanuna mpaka atakapoamua kuacha na lazima aseme kilichomnunisha ,hapo kuna tatizo kuna kitu ila nduguyo hajakuambia vizuri

Pacha hii kali. akinuna nawe wanuna duuuu hapo ngoma droooooooooooooooooooooooo
 
Story kujirudia siyo mbaya sana. I always say kama umekumbwa na tatizo, you are not the first one to face it. Tatizo liko tuu pale mtu anapoomba ushauri kwa ajili ya tatizo fulani halafu next week anakuja na thread nyingine ya kuomba ushauri ambao ni completely the opposite ya alioomba last week.

Mfano kuna member alianzisha thread titled: "Anataka kunikimbia....kisa....eti simfikishi kilimani!" Kwenye thread aliandika:"Jamani nimetumia akili, nguvu, juhudi, jitihada, maarifa na kila kitu ili mradi tu afurahi; lakini sina hakika kama nimegonga mwamba au ni kwamba ameamua tu kuniumiza. Ndio kusema hanitaki? Au anayoyasema ni kweli! Sasa nyumbani kimenuka, na hataki tena nile. Hapa ameniambia nimtafutie nauli aende zake! Kumpenda nampenda, nifanyeje?"

Kesho yake tuu member huyo huyo akaja thread nyingine titled: "Mwenzi wangu anatoa ukelele. majirani wanadai tunawasumbua hawalali eti tuhame". Kwenye hiyo thread aliandika: "kwa kweli kwenye shuhuli anatoa ukelele wa hali ya juu. sasa majirani wamecharuka wanadai tuhame tunawakaraisha. nimemsihi mwenzi wangu apunguze lakini anadai hafanyi makusudi anapokaribia mshindo tu ndo huwa balaa. Nifanyeje mwenzenu na kesi tayari ipo kwa mjumbe majirani wamecharuka."

Inaelekea JF ina washauri waliobobea kwenye haya makitu to the extent kwamba mtu anakuja hapa kuomba ushauri wa kumfikisha mywaifu wake kuliko, anapewa huo ushauri, anenda kuufanyia kazi usiku mmoja tuu mpaka majirani wanapeleka kesi kwa mjumbe.

Surely, hawatashindwa kumshauri hata huyu aliyeleta hii mada.

enheeeeee!
mimi hao ndo nnaowataka hao!
yani nawataka sana!
kuna watu wanatufanta tuchakae veyboard tu humu!leo ni wa kijani kesho member yule yule anakuja na story ya inayokanusha ile ya juzi!
nifundishe mwayego!
itanisaidia sana ninaposue mutu!
maushahidi kibao!
 
Story kujirudia siyo mbaya sana. I always say kama umekumbwa na tatizo, you are not the first one to face it. Tatizo liko tuu pale mtu anapoomba ushauri kwa ajili ya tatizo fulani halafu next week anakuja na thread nyingine ya kuomba ushauri ambao ni completely the opposite ya alioomba last week.

Mfano kuna member alianzisha thread titled: "Anataka kunikimbia....kisa....eti simfikishi kilimani!" Kwenye thread aliandika:"Jamani nimetumia akili, nguvu, juhudi, jitihada, maarifa na kila kitu ili mradi tu afurahi; lakini sina hakika kama nimegonga mwamba au ni kwamba ameamua tu kuniumiza. Ndio kusema hanitaki? Au anayoyasema ni kweli! Sasa nyumbani kimenuka, na hataki tena nile. Hapa ameniambia nimtafutie nauli aende zake! Kumpenda nampenda, nifanyeje?"

Kesho yake tuu member huyo huyo akaja thread nyingine titled: "Mwenzi wangu anatoa ukelele. majirani wanadai tunawasumbua hawalali eti tuhame". Kwenye hiyo thread aliandika: "kwa kweli kwenye shuhuli anatoa ukelele wa hali ya juu. sasa majirani wamecharuka wanadai tuhame tunawakaraisha. nimemsihi mwenzi wangu apunguze lakini anadai hafanyi makusudi anapokaribia mshindo tu ndo huwa balaa. Nifanyeje mwenzenu na kesi tayari ipo kwa mjumbe majirani wamecharuka."

Inaelekea JF ina washauri waliobobea kwenye haya makitu to the extent kwamba mtu anakuja hapa kuomba ushauri wa kumfikisha mywaifu wake kuliko, anapewa huo ushauri, anenda kuufanyia kazi usiku mmoja tuu mpaka majirani wanapeleka kesi kwa mjumbe.

Surely, hawatashindwa kumshauri hata huyu aliyeleta hii mada.

Excellent
 
  • Thanks
Reactions: EMT
Mwambie ajaribu kukumbuka ni mambo gani aliyokuwa akimfanyia mumewe na sasa hayafanyi, pia kuna suala la udanganyifu ama kuna kuna jambo mume kalijua ambalo mke alimficha na mume kalijua, ikishindikana onana na watu wazima anaoheshimiana nao.
 
Pacha hii kali. akinuna nawe wanuna duuuu hapo ngoma droooooooooooooooooooooooo
nachukia sana pacha wangu eti mtu from know where ananuna ???mwanamme rijali dah naishiwa na nguvu kabisaaaaa
 
C bure atakuwa na phsycological problem..!!! Huwezi mnunia mkeo cku zote hizo au alitafutiwa huyo mke na wazazi?
 
Pole sana kweli huo ni mtihani unapaswa kumuomba Mungu kulingana na imani yako,Inaumiza sana ila vumilia kwa ndan kwa nje jtahd kufanya vitu vyako kwa umakin bila kukosea,jiweke soap soap c kunuka maziwa ya mtoto,na km hauna shuguli ya kufanya itafute uwe busy nawew!na cku akijirekebisha mpe vidonge vyake mwambie vle hauipend tabia yake hyo ya shetwan
 
Amsome Dawa hii timw2time :-

" I wrote on the door of my Heart," Please do not enter " Love came smiling and said : "Sorry I am an illiterate.........." waonaje mume wangu? Tuishi duniyani kwa mapenzi tulee katoto ketu !! Tutoke twende mbali peke yetu tupunge pepoyetu. !! utaona mabadiliko
 
Badili Tabia hapo kwenye red nimechekaje!
hapo ndo umuhimu wa mwanamke kuwa na kipato unapoonekana...angeziba gap bila kumuomba....

pia si kaamua kujinunia mwenyewe?
Saa nyingine dawa ya moto ni moto.....

Akinuna wewe jipare vizuri fanya yako.....
Weekend jitokee zako nenda hata coco upunge hewa kuepukana na ghubu la mume......
Kitandani usimguse na siku akitaka unyumba wewe ndo uwe umechoka.......


Baadhi ya mijanaume ikijua wake zao wanawapenda hugeuka vigego...

Anyway je kabla hawajaoana mwanaume hakuwa na tabia hizo? Ina maana ndugu yako hakuziona?

Kuhusu kuwapa hela kwao sometimes wanawake msimind mambo madogo madogo si anasaidia kwao mradi hajaneglet majukumu yake tatizo liko wapi? Hata akimnunulia baba yake chupi mke unataka kujua?
 
Tabia ya mwanume kununa from know where naichukia sana ,akinuna na mimi nanuna mpaka atakapoamua kuacha na lazima aseme kilichomnunisha ,hapo kuna tatizo kuna kitu ila nduguyo hajakuambia vizuri

Kununa si jawabu. Pia kubaki kimya si jawabu. Hata hivyo, kuna tabia ya watu wengi kuhusisha suala la kununa na hata kususa na wanawake pekee.

Mfano katika makala ya huyu mtaalam wa mahusiano (social welfare counsellor) anaongelea kununa na kususa only in relation to women: Tabia ya Kununa ovyo huharibu mapenzi. . Je, wanaume hawanuni na hata kususa?

Naturally, wakati mwanamke akiwa down, huwa anataka mtu wa karibu kuongea nae. Kama yuko kwenye mahusiano, her partner will be the most suitable person.

Kwa hiyo mwanamke anaponuna au kususa, automatically mwanaume anawezadhani kuwa kuna kitu, because naturally when a woman is down huwa anataka mtu wa kumsikiliza na siyo kununa au kususa.

Hata hivyo, kwa upande wa wanaume, when we are deep down, we want to be alone. When we are deep down, or some shit has happened to us, it is time for women to go shopping. The more she keeps asking him "niambie kuna tatizo gani" the more she will make things worse.

When a man is down, mwanamke anaweza kudhani bila hata kujua kuwa he is being stubborn. Hata hivyo, inapofikia mpaka stage ya kumfokea mwanamke mbele za watu, kutojali wakwe au mashemeji, then that is a bit too much. There must be a problem. Inawezekana ikawa siyo tena kuwa down, bali ni dharau au kukosekana kwa heshima.
 
Kununa si jawabu. Pia kubaki kimya si jawabu. Hata hivyo, kuna tabia ya watu wengi kuhusisha suala la kununa na hata kususa na wanawake pekee.

Mfano katika makala ya huyu mtaalam wa mahusiano (social welfare counsellor) anaongelea kununa na kususa only in relation to women: Tabia ya Kununa ovyo huharibu mapenzi. . Je, wanaume hawanuni na hata kususa?

Naturally, wakati mwanamke akiwa down, huwa anataka mtu wa karibu kuongea nae. Kama yuko kwenye mahusiano, her partner will be the most suitable person.

Kwa hiyo mwanamke anaponuna au kususa, automatically mwanaume anawezadhani kuwa kuna kitu, because naturally when a woman is down huwa anataka mtu wa kumsikiliza na siyo kununa au kususa.

Hata hivyo, kwa upande wa wanaume, when we are deep down, we want to be alone. When we are deep down, or some shit has happened to us, it is time for women to go shopping. The more she keeps asking him "niambie kuna tatizo gani" the more she will make things worse.

When a man is down, mwanamke anaweza kudhani bila hata kujua kuwa he is being stubborn. Hata hivyo, inapofikia mpaka stage ya kumfokea mwanamke mbele za watu, kutojali wakwe au mashemeji, then that is a bit too much. There must be a problem. Inawezekana ikawa siyo tena kuwa down, bali ni dharau au kukosekana kwa heshima.
EMT i salute you my boy
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: EMT
i'm not a boy though.

Utanifanya nianze kununa sasa.
yaan EMT nachukia wewe subiri leo nirudi ukisikia yalaaaaa jua kabakwa mtu hahahahaahahahahahaahahahahaah
 
  • Thanks
Reactions: EMT
Back
Top Bottom