flintsky
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 654
- 744
Habari za jioni wadau!
Hii kweli kali nimeona niwashirikishe wadau wenye wachumba au wake!
Inashangaza kama si kustaajabisha na kuchefua na kukera kama mwanamke kila siku ukinunua kitu au vitu lazima aibe apeleke na nyumbani kwao! Kama sio kujidhalilisha ni nini?!
Hivi huyu mwanamke utasema unajenga nae fyucha au anataka akufilisi?! Ukinunua mchele au mafuta ujue nusu nusu inaenda kwao! Kila kitu kizuri ukinunua akiona tu hakina matumizi anapeleka kwao!
Sijakataa ni kusaidia kwenu ila kama kuna tatizo niambie sio mimi nanunua bajeti ya mwezi ikifika katikati ya mwezi imeisha ndio nini sasa?! Unawafichia siri kwenu ionekane maisha burudani kumbe choka mbayanmatokeo yake kufanyana chuma ulete tu!
Inakera sana hii!
Hii kweli kali nimeona niwashirikishe wadau wenye wachumba au wake!
Inashangaza kama si kustaajabisha na kuchefua na kukera kama mwanamke kila siku ukinunua kitu au vitu lazima aibe apeleke na nyumbani kwao! Kama sio kujidhalilisha ni nini?!
Hivi huyu mwanamke utasema unajenga nae fyucha au anataka akufilisi?! Ukinunua mchele au mafuta ujue nusu nusu inaenda kwao! Kila kitu kizuri ukinunua akiona tu hakina matumizi anapeleka kwao!
Sijakataa ni kusaidia kwenu ila kama kuna tatizo niambie sio mimi nanunua bajeti ya mwezi ikifika katikati ya mwezi imeisha ndio nini sasa?! Unawafichia siri kwenu ionekane maisha burudani kumbe choka mbayanmatokeo yake kufanyana chuma ulete tu!
Inakera sana hii!