Tabia ya kutopenda kuvaa chupi

Tabia ya kutopenda kuvaa chupi

loveme

Member
Joined
Aug 13, 2016
Posts
26
Reaction score
28
Habari zenu wadau
Jamani mimi nina katabia ambako mi mwenyewe sikapendi ila ndo sijui mazoea najikuta nachukia kuvaa chupi. Nitaoga nitavaa ila chupi sivai na kuna muda najikuta period imeanza na sijavaa chupi ntakimbia kuoga ndo ntavaa coz ya period.

Nikimaliza period tu sihitaji tena chupi. Nimejitahidi niache tabia hii nimeshindwa kabisaaa yani sijui ni mapepo dah najua siku ntakuja kuumbuka mie
 
Mmmh binti huvai chupi?au ni tabia umezoea tngu utotoni?basi vaa ht tait,km chupi kwako alrgy
 
Habari zenu wadau jamani mimi ninakatabia ambako mi mwenyewe sikapendi ila ndo sijui mazoea najikuta nachukia kuvaa chupi ntaoga ntavaa ila chupi sivai na kuna mda najikuta period imeanza na sijavaa chupi ntakimbia kuoga ndo ntavaa coz ya period nikimaliza period tu sihitaji tena chupi nimejitahidi niache tabia hiii nimeshindwa kabisaaa yani sijui ni mapepo dah najua siku ntakuja kuumbuka mie
Ni pm nikuambie dawa yake
 
Habari zenu wadau jamani mimi ninakatabia ambako mi mwenyewe sikapendi ila ndo sijui mazoea najikuta nachukia kuvaa chupi ntaoga ntavaa ila chupi sivai na kuna mda najikuta period imeanza na sijavaa chupi ntakimbia kuoga ndo ntavaa coz ya period nikimaliza period tu sihitaji tena chupi nimejitahidi niache tabia hiii nimeshindwa kabisaaa yani sijui ni mapepo dah najua siku ntakuja kuumbuka mie
Umeolewa?
 
chupi kwa asili hazikuwepo kwahiyo hongera kwa kurejea zako hukooo kwenye asili yetu
We acha kumdanganya
Papuchi ni kitu ambayo inatakiwa ifungiwe mda wote...! Na isionwe na jinsia ya kiume tofaut na mumewe...!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom