Tabia ya kufumania, ushauri wa bure kwa wanaume

Tabia ya kufumania, ushauri wa bure kwa wanaume

rosemarie

JF-Expert Member
Joined
Mar 22, 2011
Posts
6,887
Reaction score
3,441
Mimi siyo mpenzi sana wa jukwaa hili, lakini nimeona ni vema kuja hapa na kutoa ushauri wangu wa bure,
Tabia ya mafumanizi au kufumania imeota mizizi na inatakiwa kukemewa kwa nguvu zote, nasema hivyo siyo kwa sababu napenda kuona watu wakitoka nje ya ndoa la hasha bali napenda kulinda heshima ya kizazi tulicho nacho kwani kufanya vitendo hivyo vya mafumanizi ni kushusha hadhi ya taifa letu na kuonekana hatufikirii vizuri.

Picha za kufumania zinaonekana kwenye mitandao kila siku tukiona picha za watu wa heshima na tunaowajua,watu waliominika kwenye idara mbalimbali ambao ni binadamu tu wa kawaida wasio wakamilifu.

Kwa kweli ni kitendo kibaya sana na kinaonyesha ni jinsi gani tulivyo na uwezo mdogo wa kupambanua mambo, Mke wako akiamua kwa hiari yake bila kulazimishwa au kubakwa tafadhali sana mpe nafasi kwani kuna sababu nyuma ya pazia,wanawake ni watu wenye akili sana japo hazionekani waziwazi, naomba uelewe mke wako siyo mali yako hata kidogo wala siyo mtumwa wako bali ni msaidizi wako na hakuna lingine,kwa taarifa yako tuu ni kwamba mke wako akiamua kutoka nje ya ndoa amekudharau sana.

Anapoamua kutoka nje ya ndoa siyo kwamba hajui bali anajua anachokifanya na ameamua hata kama utamfumania mara mia na kama anataka atatoka tena na tena.Hivi umewahi kufikiria madhara ya kufumania halafu mtu anawekwa front page ya magazeti?

Huyo mtu hana familiya hana watoto ndugu wazazi jamaa na marafiki? Hivi tunafikiria mbali kabla ya kuchukua hatua? Hivi hao wanaofumania ni watakatifu? Ndiyo maana .''Yesu akawaambia wale watu waliomleta mwanamke aliyefumaniwa asiye na dhambi na awe wa kwanza kumtupia jiwe'', mwenye uwezo wa kumzuia mwanamke asitoke nje ya ndoa ni mwanamke mwenyewe na baba yake au mama yake na siyo wewe mume wake, kumbuka pale juu nimesema mke wako siyo mali yako hata kidogo.

Ushauri wangu ukimfumania mke wako tafadhali sana kaa chini tulia mwite kwa heshima na muulize ni kwa nini anafanya vile,jibu utakalopata fikiria na chukua hatua, kama kuna matatizo ndani ya nyumba na kama bado unamwitaji mke wako jaribu kurekebisha ili uendelee na ndoa yako, kama ukiona hakuna jinsi nyingine tafadhali mwandikie talaka nitashangaa sana mwanaume kumfumania mke wake na kumrudisha nyumbani na maisha kuendelea na umeshatoa siri kwenye mitandao na magazeti, je watoto wako na ndugu na marafiki watakuonaje tumieni akili kidogo mbona kila mtu amepewa akili ni kuamua kutumia
.
 

Attachments

  • IMG20150510WA0008.JPG
    IMG20150510WA0008.JPG
    32.8 KB · Views: 2,223
Hakuna kitu kinachouma kama kugongewa mke. Mimi nilishajiwekea utaratibu wangu kuwa siku mke wangu nikimfumania basi hiyo ndio siku atakayorudi kwa wazazi wake.
Mwanamke akishakusaliti tayari wewe huna thamani kwake, suala la kumtendea ubaya mgoni wala halisaidii. Mapenzi hayalazimishwi mtu kama kaamua kugongwa nje hata ufanye nini atagongwa tu
 
mtafute suluhu na si kufumania ... manjiangalia ninyi like mume katoa dushe lakini unakuta na watoto mnawaathiri kisaikolojia

mazungumzo ni njia nzuri. miss chaga heshima muhimu sana. tuache tabia ambazo hazipendi mbele ya jamii:thumbup:
 
......
kwa taarifa yako tuu ni kwamba mke wako akiamua kutoka nje ya ndoa AMEKUDHARAU sana,,,,
anapoamua kutoka nje ya ndoa siyo kwamba hajui bali anajua anachokifanya na ameamua hata kama utamfumania mara mia na kama anataka atatoka tena na tena....
....
Ni kweli hapo pekundu ila umeongelea upande mmoja tu. Experience yangu inaonyesha kuna wanawake wanaocheat kwa kupunguza hamu au kuwakomoa waume zao. Hivi una experience ya ndoa na ufumanizi? Andiko lako linaonyesha aidha upo katika ndoa ambayo jamaa ni marioo au bado hujaolewa. Naomba unijibu ili tuweze kushauriana katika hili.
 
Unamfumania na bado unampenda, unamuita kuyazungumza anakutakana sasa utafanya nini hapo. Mi nashauri ukimfuma tafadhali sana hakikisha unamuweka mbali sana na mfukuzie mbali. Mwanamke hana sababu yoyote ile ya kutoka nje ya ndoa.
 
We sijui mmarangu au mmachame, hii mada uliyotuletea inaonyesha kabisa nyinyi ni shida.

cc MR.PRESIDENT
 
Last edited by a moderator:
hivi wanawake ndo wanafumaniwa sana ama?..
 
mtafute suluhu na si kufumania ... manjiangalia ninyi like mume katoa dushe lakini unakuta na watoto mnawaathiri kisaikolojia

Mi nadhan ni njia sahihi kabisa
Adhalilike ulivyodhalilika,
Lakini fumaniz lisiishe bila kumfira mgoni kwa kiwango kikubwa sana roho inapona ukimfira mgoni mbele ya mke wako
Kama mke ameamua kwa akili zake mbona baadae anapiga magoti na kuomba msamaha kwa vilio arudishwe ndani?

Ikija kunitokea mm lazima niwaachie wote wawili makovu mioyoni mwao kama wanavyoniachia mm
Na njia pekee ni kumfumania ukiwa na watu wako mnamfira mgoni na mke na usambaza mitandaoni kisha unatengana na mke
Tuone sasa maumivu ya nani yatakua makubwa zaidi ya mwinge
 
mtafute suluhu na si kufumania ... manjiangalia ninyi like mume katoa dushe lakini unakuta na watoto mnawaathiri kisaikolojia

Kutafuta suluhu ipi wakati nimemkuta anagongwa tena ukute hata tigo ameliwa huyo ni wakurudishwa kwao.. period
 
Makosa yooote tutavumiliana ila siyo fumanizi, mwanamke akiamua kutoka nje ya ndoa ujeu kashaona mme wake hafai na hamtoshelezi, cha muhimu ni kumuacha aendelee na huyo anayechepuka nae. Coz yawezekana hisia zake hazipo tena kwako.
 
Mi nadhan ni njia sahihi kabisa
Adhalilike ulivyodhalilika,
Lakini fumaniz lisiishe bila kumfira mgoni kwa kiwango kikubwa sana roho inapona ukimfira mgoni mbele ya mke wako
Kama mke ameamua kwa akili zake mbona baadae anapiga magoti na kuomba msamaha kwa vilio arudishwe ndani?

Ikija kunitokea mm lazima niwaachie wote wawili makovu mioyoni mwao kama wanavyoniachia mm
Na njia pekee ni kumfumania ukiwa na watu wako mnamfira mgoni na mke na usambaza mitandaoni kisha unatengana na mke
Tuone sasa maumivu ya nani yatakua makubwa zaidi ya mwinge

mkuu nimekuelewa sana.
 
mkuu huu utakua uoga kwa mlango wa nyuma vipi wale wanaopewa ma vogue ku drive au vitz mjin kufunguliwa biashara lukuki kupew sitahiki yake ya ndoa lakn anachepuka tuu mkuu hyo utashauri sana mkuu ila fumanizi lazima maana akili huisha na hasira huchukua nafsi ukimbka yote
 
Nawasiwasi na wewe ulifumaniwa....
Sasa kama kuongea kwanini asiongee yeye mwanamke kabla hajaamua kucheat..
Hivi unajua maumivu ya kupigiwa wife ...acha tena usiongee

Women are inferior creatures and they are from other planet..that is all
 
Unamfumania na bado unampenda, unamuita kuyazungumza anakutakana sasa utafanya nini hapo. Mi nashauri ukimfuma tafadhali sana hakikisha unamuweka mbali sana na mfukuzie mbali. Mwanamke hana sababu yoyote ile ya kutoka nje ya ndoa.
Kwa hiyo mwanamme ndo mwenye sababu ya kutoka nje ya ndoa siyo.
 
Mume au mke akishaamua kutoka nje ya ndoa Ni kweli amekudharau, amekuvunjia heshima na kujivunjia yake pia.
Kwa tafsiri ya ndoa zetu za kiafrika, hatuoani bali mimi naoa. Nalipishwa mahari na mambo mwngine mengi hii ikiashiria kuwa ninaoa na hatuoani. Kwa mantiki hiyo basi, mke ni mali yangu lakini atakapoamua kumvulia mwingine ni dhahiri kuwa sio mali yangu tena. Tutaachana tu, hakuna namna nyingine.
 
Unamfumania na bado unampenda, unamuita kuyazungumza anakutakana sasa utafanya nini hapo. Mi nashauri ukimfuma tafadhali sana hakikisha unamuweka mbali sana na mfukuzie mbali. Mwanamke hana sababu yoyote ile ya kutoka nje ya ndoa.

Ni Kweli mkuu
 
Back
Top Bottom