ni bank gani wana hiyo tabia?
itaje unaogopa nini
hivi pale kaunta bank teller anaweza kuchungulia kwenye kompyuta yake na kujua mteja ana shilingi ngapi kwenye akaunti yake?
Haya ndiyo matatizo ya kuwajaza wanawake ktk shughuli muhimu kama hizi, Nitanaza campaign za kuwashawishi benki ziajiri wanaume sehemu za tller
Hawa kina mama wana risk biashara za benki pia kuhatarisha maisha ya mteja dhidi ya tindi kali
Kunahaja ya kuanzisha chama cha wanaume kutetea haki zao vyinginevyo mambo ya ki-Bitch bitch yatazidi kushamiri
kuna siku nilienda kuweka (million 200).wadada 2 wa bank flani walinitafuta nikajua wanataka kunichuna nikawakwepa
Sio kweli,from experience point of view, wakaka wao kuangalia wanaowafahamu na kupiga vizinga au kukopa,hatari!hata wakaka ni hvohvo
inasemekana tellers wanapata mishahara ya kawaida.