LIKUD
JF-Expert Member
- Dec 26, 2012
- 19,900
- 37,696
Hii ni comment ya mtu akichangia kwenye mjadala unao husu wafanyakazi wa benki moja kutoa siri za mteja wao. Naiweka kama jinsi ilivyo .
" Mm mlioko bongo mna kazi. Sasa hao wadada wanaotoa information za wenzao mbona wanatia aibu. Kumbe eti uwa wakiona wakaka au wababa wameweka pesa mle wanachukua namba zao za simu then wanaanza kuwapigia kuwataka kimapenzi ili wawachune. Hawajali wake zao wala watoto. SHAME ON YOU sisters. Hasa huyo aliejipendekeza na kurisk kuharibu kazi yake sijui kwa sababu gani hasa. Na bank ndo ishaaribiwa jina maskini, we nani ata risk tena kwenda kuweka pesa umo!!! "
" Mm mlioko bongo mna kazi. Sasa hao wadada wanaotoa information za wenzao mbona wanatia aibu. Kumbe eti uwa wakiona wakaka au wababa wameweka pesa mle wanachukua namba zao za simu then wanaanza kuwapigia kuwataka kimapenzi ili wawachune. Hawajali wake zao wala watoto. SHAME ON YOU sisters. Hasa huyo aliejipendekeza na kurisk kuharibu kazi yake sijui kwa sababu gani hasa. Na bank ndo ishaaribiwa jina maskini, we nani ata risk tena kwenda kuweka pesa umo!!! "