Mmmh hii baadhi sio wote..... kupenda chini haijalishi mpole..mapepe..chakaramu..mchangamfu..ni tabia tu ya mtu...Sana mkuu...wanapenda chini hao balaa halafu jinsia zote sasa!
Madai yao ni silent killer kumbe wanafahamika tu sana
Haya leo mmetuamulia.Huo ndio ukweli, wakimya wengi ndio watekelezaji mauaji, wachawi nk
Usipoteze mda mwingi kubishana na mwanaume mwenzio ili kujua wanawake wanachofikiriaNyie mnachanganya upole na ukimya,mkiona mtu sio muongeaji sana basi mnamwita mpole kumbe hana sifa za upole.
Mfano mie natambulika kwa upole ila wengine wanakataa kuwa mie sio mpole kisa tu naongea sana nikiwa na watu ninaofahamiana nao na sio mkimya mkimya.
Siyo wote but most of them ni hatariHaya leo mmetuamulia.
Wee sio mpole/ mkimya?Hao ni wauaji kwani hawajui kusamehe
Ha ha ha hebu sema wewe!Wee sio mpole/ mkimya?
Kuna tofauti kubwa sana kati ya mtu Mpole, Mtaratibu na Mnyenyekevu.
Mtu anaweza kuwa mpole lakini si mtaratibu
Mtu anaweza kuwa mpole lakini hana unyenyekevu.
Mtu mpole ni yule asiye mkali na si Mgomvi.
Ila pia watu wengi wapole wana hekima, Uvumilivu na busara.
Kwa upande wa pili...watu wapole huwa wakireact kwa hasira ni wabaya sanaaa kuliko wale wanaojulikana kuwa ni Wakali.
Pia watu wapole wengi wao ndio wanaowafaidi sana wanawake na pia ndio wanaoongoza kuwa na watoto wa nje ya ndoa.
Huyo alikuwa tapeli tu kama matapeli wengine hakufanya hivyo kwa sababu ya upoleHAKUNA WATU WABAYA NA KUWAOGOPA KATIKA DUNIA HII KAMA WATU WAPOLE AISEEE.
HAWA WATU SIKU AKIJA KUKUBADILIKIA NDIO UTAMJUA NI MTU WA AINA GANI YAANI HAWA NI WATU WASHENZI SANA AISEEEE.
MIMI NILIKUWA NINA RAFIKI YANGU MPOLE SANA LAKINI MWISHO WA SIKU ALIKUJA KUNITAPELI HELA YANGU NA AKANIBADILIKIA KAMA SIO YEYE VILEEEE
Wewe huwezi kulijua hilo ....hasira za kutoongea mda mwingi anazimalizia kwenye keyboardSasa kama mimi ambaye sina tabia ya kuongea ongea, hayo maneno mengi ya kuyaandika nyuma ya keyboard nitayatoa wapi ?
Siko hapo TZ mkuu...una bahati sanaFanya mpango tuonane.
aseee inaelekea ajuna wako ulikua mpole sana?Daah...umenikumbusha ajuna wangu..
Huyo rafiki yako alikuwa mkimya ama mvivu kuongea na sio mpole kwani wengi huwachukulia wakimya kama wapoleHAKUNA WATU WABAYA NA KUWAOGOPA KATIKA DUNIA HII KAMA WATU WAPOLE AISEEE.
HAWA WATU SIKU AKIJA KUKUBADILIKIA NDIO UTAMJUA NI MTU WA AINA GANI YAANI HAWA NI WATU WASHENZI SANA AISEEEE.
MIMI NILIKUWA NINA RAFIKI YANGU MPOLE SANA LAKINI MWISHO WA SIKU ALIKUJA KUNITAPELI HELA YANGU NA AKANIBADILIKIA KAMA SIO YEYE VILEEEE
Ukimuumiza hasemi anaweza kukuchekea tu, anakulia timing siku ukiingia kwenye 18 zake utahisi umemfananisha
Tabia nane za watu wa pole.
1. Wanafikiri sana kabla ya kutenda, sio wakurupukaji
2. Ni rahisi kuwaamini
3. Wako tayari kutoa msaada.
4. Ni wazuri kuwa nao kama marafiki
5. Ni wasikilizaji wazuri
6. Wanazielewa hisia za wengine
7. Wanaweza kudumisha mahusiano yao na wengine na ni rahisi kukaa kwenye uhusiano kwa muda mrefu
8. Ni wagunduzi.