Tunaenda sambamba sasa...mkimya anakusnitch bila wewe kujua ndo napowachukia sasa!
Mpole anachukia ila anajifanya yuko okay
Ila mcheshi/ muongeaji ukimuudhi analipuka hapo hapo na life goes on, so far hawezi kukuficha kitu yaani ni hawakaagi na kitu rohoni ni wanakerekaga fulani hivi which is good!
Umeona huo utofauti wako wa watu watatu sasa? So mimi nimeamua kuachagua fungu la tatu, coz ninawafahamu mnoo