Mkomavu
JF-Expert Member
- Jan 25, 2016
- 12,298
- 17,848
ila
Tabia ya mkeo au yako?Mimi ni kijana ambaye niko kwenye ndoa naelekea mwaka wa pili sasa. Kama kawaida kwenye ndoa kuna milima na mabonde ya kupitia, na pia kwenye ndoa kuna Raha na karaha. Ila kwa Mke wangu kila anaponikwaza adhabu ambayo inamtesa nikimpa ni kususia chakula,na kumtenga kitandani yaani adhabu hizi huwa zinampa sana Tabu adhabu hii.
Alishawahi kuniambia kwamba hata kama unakasirika ila kula chakula changu halafu endelea kununa, kuna siku aliniudhi usiku nikamtenga kitanda nilichukua mkeka nikatandika sebuleni, kuja kusituka usiku wa manane namuona pembeni yangu kalala ikabidi nimuamshe tukalale kitandani.
Sasa leo ameniuzi tokea asubuhi sijala na yeye pia tokea asubuhi mpaka jioni ya leo hajakula kitu na ananyonyesha. Je tabia hii ya mke wangu inaashiria nini?
Mnaangaliga muvi za kikorea???Mimi ni kijana ambaye niko kwenye ndoa naelekea mwaka wa pili sasa. Kama kawaida kwenye ndoa kuna milima na mabonde ya kupitia, na pia kwenye ndoa kuna Raha na karaha. Ila kwa Mke wangu kila anaponikwaza adhabu ambayo inamtesa nikimpa ni kususia chakula,na kumtenga kitandani yaani adhabu hizi huwa zinampa sana Tabu adhabu hii.
Alishawahi kuniambia kwamba hata kama unakasirika ila kula chakula changu halafu endelea kununa, kuna siku aliniudhi usiku nikamtenga kitanda nilichukua mkeka nikatandika sebuleni, kuja kusituka usiku wa manane namuona pembeni yangu kalala ikabidi nimuamshe tukalale kitandani.
Sasa leo ameniuzi tokea asubuhi sijala na yeye pia tokea asubuhi mpaka jioni ya leo hajakula kitu na ananyonyesha. Je tabia hii ya mke wangu inaashiria nini?
Huo ni utoto tena utoto wa hali ya juu kususa vituMimi ni kijana ambaye niko kwenye ndoa naelekea mwaka wa pili sasa. Kama kawaida kwenye ndoa kuna milima na mabonde ya kupitia, na pia kwenye ndoa kuna Raha na karaha. Ila kwa Mke wangu kila anaponikwaza adhabu ambayo inamtesa nikimpa ni kususia chakula,na kumtenga kitandani yaani adhabu hizi huwa zinampa sana Tabu adhabu hii.
Alishawahi kuniambia kwamba hata kama unakasirika ila kula chakula changu halafu endelea kununa, kuna siku aliniudhi usiku nikamtenga kitanda nilichukua mkeka nikatandika sebuleni, kuja kusituka usiku wa manane namuona pembeni yangu kalala ikabidi nimuamshe tukalale kitandani.
Sasa leo ameniuzi tokea asubuhi sijala na yeye pia tokea asubuhi mpaka jioni ya leo hajakula kitu na ananyonyesha. Je tabia hii ya mke wangu inaashiria nini?
U are a real gentleman mr congratulation on that i wish my man could be passing over this forum and see what u have writtenAsee mkuu, wife hatengwi wala kupewa silent treatment hizo. Mwanaume kuwa na kifua kikubwa na usikubali zinaisha siku mbili tatu una makwaruzano na wife afu umemnunia nunia, hiyo ni big NO kwa wanaume.
Wew ndo kichwa cha familia, muongoze mnayamaliza unampiga make-up sex safi then mnalala roho safi kma mmeoana jana sio kumtenga. Mana hapo yeye anaonekana ana busara zaidi despite kuzinguana bado anakuweka karibu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ajue kutia basi...uskute kibamiaHizi tabia za kususa ni tabia za kitoto Sana ndugu yangu kama unaweza mwanamke wako akiuuzi mbembeleze akupe uchi alafu mtie mpaka ajutie makosa atakuheshimu
Mwambie huyo maana anajiona kamkomoa mkewe kumbe anajipalia makaa ya maweKuna siku hatojali kama umekula au umesusa, na ikifikia hapo hutaweza mrudisha awe kama mwanzo
Majuto mjukuu
Hahahahahahahaha umenivunja mbavuAjue kutia basi...uskute kibamia
Hapo mmekutana mke mkubwa na mdogo!
Inabidi sasa mtafute mume wa kuwaongoza ndani ya ndoa!.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna siku mkewangu aliniudhi. Nilimkata kibao kizito. Akaanza kulia. Nikamvua nguo nikainguza mashine nikampa na ulimi. Akatoa ushirikiano kama wote. Nilipomaliza akanambia nimwongezeeNiliwahi ambiwa hata ukigombana vipi na mkeo ni mwiko kususa chakula. Vilevile kutotimizi mahitani ya familia.
Acha upopoma.