bwabwa la wapi tena hilo?
Anaonyesha kama Sabri Bachan! Ni kweli msanii kama Diamond isipokuwa yeye anaimba tarabu!
bwabwa la wapi tena hilo?
mpemba mbishi ni nini chanzo cha haya yote ndani ya jamuhuri yetu tuitakayo ya zanzibar,,,,,,
Duh naona anachezea mic..............:glasses-nerdy:
yuko kwenye kampeni nzitoDah..!! Kwa hiyo anajinadi??
mpemba mbishi ni nini chanzo cha haya yote ndani ya jamuhuri yetu tuitakayo ya zanzibar,,,,,,