Tabia 5 mbaya za wanawake wasiofaa kuolewa

Tabia 5 mbaya za wanawake wasiofaa kuolewa

Loh...ata Wanaume wenye tabia kama hizi zakuwa jaji wanawake nakuwaandika vibaya wanawake atuwafagilii ....wanakua nagubu kazi kuona yamwenziye yake ayaoni ...

Hii nimeipenda....
 
Sa si umetaja zote xo kuna dem asiye kua nayo ata moja hapo lazma anayo ata moja xo unatushaur tusioe or?

Mkuu umesema vizuri,dunia rangire,aso na hili ana lile...
 
Wanawake wenye tabia hizi huwa hawakai na wanaume;kiburi/jeuri,kupenda ubosi yaani kuwa juu ya waume zao,wenye kuwalinganisha waume zao na wanaume wengine kisha kuwaona waume zao si lolote,wanaopenda mambo ya ubinti na kujiona bado wanalipa kumbe wamezeeka,wanaopenda kutembelea ndugu,jamaa na marafik mara kwa mara na kusahau kuwahudumia waume zao kwa mambo mbali mbali,wenye kuchagua aina ya chakula na maisha mengine ambayo waume zao hawayawez,wenye kupenda sugar daddies,wavivu,wanaopenda kuongelea mambo ya familia na ya watu wengine mara kwa mara,wasiotaka suruhu,wenye hasira na jaziba..[/QUOT
Umetaja nyingi mno! Lkn kumbuka wenzetu ndo vioo vyetu vya kujitazamia. Before you finger point somebody easy look at yourself to make sure what you think is not reflect yourself without knowing. Anyway hawa watu wapo wengi sn kama ulivyowataja. Lkn kumbuka kuna wanawake wengi sn duniani lkn WAKE ni wachache sn. Period!
 
Mkuu huyo sio mwanamke tena bali ni pepo accordingly hizo tabia, Nimewahi kuwa na mahusiano na mdada mwenye tabia hizo zote, kwakweli nilikonda sana had watu wakawa wanashangaa, sikuwahi kuwa na amani hata siku moja na nilitamani kumuacha lakin nilikuwa nashindwa kabisa sababu nilikuwa nampenda sana ila kwakwel ni mengi sana ya kusimulia juu ya yule mwanamke pepo lakin hatimaye namshukuru sana Mungu wa Israel kwa kuniepusha na balaa lile na leo niko huru.

Kweli ashukuriwe MUNGU,wengi tumepitia hii njia kuna wakati huwa nahisi ukimpenda Sana mwanamke.Mwanaume hupitia tabia hizi za kukondeshwa kwa karaha.Mtego huu uliniepuka baada ya kusoma mithali 21:9 na 21:19.Poleni wote mnaopitia magumu kwenye mahusiano Ombeni Neema ya MUNGU iokoayo iwaponye.
 
Sasa umeongelea wasiofaa maana yake tabia za awali. Ila umeelezea walio ndani ya ndoa na wana waume. Uko sahihi kiasi gani unadhani?
 
Mwanamke akiwa hivyo tu kiburi na kunifokea siku hiyo hiyo naenda tafuta demu zangu wa zamani au demu yeyote mkali zaidi yake wa kunipa raha yeye afokeeee na kiburiiii mi nakaa kimya sex au kilele hatakisikia kwangu.yaani sijui nieleze vp ila SIWEZI MVUMILIA MWANAMKE WA AINA HIYO HATA AWE NA HELA ZA KUMWAGA kiburi na hasira ni hatari kwa mwanamke kufanya kwa mumewe na akifanya hivi na mume kuvumilia atakuwa ni fara au shoga
 
wee hujafanya tafiti???? mana siku hizi ndo zenu nimefanya tafiti nikagundua..
 
Hayo mengine yote ni easy kusolve,ila issue nzito ni hiyo ya mwanamkr kuwa na Kiburi,na ukali...aaagh inakera kwakweli mwanamke hata siku1 hajishushi au kukiri kosa? Duh ilinitesa sana hiyo kwa niliyempenda Kweli!!!
 
hapo kwenye kuchagua chakula teeena ukae kimya.. nafanya kazi kwann nisile nachotaka???
 
Back
Top Bottom