Tabia 5 mbaya za wanawake wasiofaa kuolewa

Tabia 5 mbaya za wanawake wasiofaa kuolewa

Ni kweli nakubaliana na wewe. Hao hawafai. Tupe za wanaofaa ili wajirekebishe plz
 
Pia wenye majivuno kupita kiasi,wanaojiona wanajua sana kuliko mumewe,wanafiki na wenye tamaa ya utajiri wa haraka.Wakali kuliko pilipili na wasiojua kuomba kitu kwa mumewe kwa kubembeleza.


sasa kama unajua kitu usiongee.... ebbohh!!! wanaume wengine hamnazo inabidi kuelekezwa atii...
usione mtu anapita njiani kapendeeeeza, ongea nae hata dakika 20 tu, unaeza ukamuonea ata huruma kwa jinsi alivyo hewa....
 
tabia hizi ni;wanaojifanya wanajua kila kitu na wako perfect,wanaolalamika mara kawa mara kuwa wao wanatendewa vibaya au mambo flani hawayapendi,wakatishaji wa tamaa hata kawa mwenzi wake ana mipango mizur hawez kumtia moyo maana anataka yeye tu ndo awe mkuu ktk familia,pia huwa hawakili kuwa wapenz wao au waume zao kuwa wana akili au wazur,wavivu na wako tayar kugawa penz hata kwa mabosi pia wanawathamin wanaume wengine wenye maisha mazur hata kama sio waume au wapenz wao na wako tayar kutoka nao wknd au kujifanya kuna kaz za kiofis had wknd,pia wakal,wenye tabia za kuforce wapenz au waume zao,wenye jaziba na hasira,wenye ubabe na wasiokubal mume awe juu ktk masuala mbal mbal ya familia...mengine ongezen na nyinyi
mkuu imekaa vizuri
 
Hahahahaahahaaaaaaaaaa unajua ukiandika huku una hasira hadi maandishi yanajaa hasira punguza hasira mwaego.
 
Kuna wanawake ukikaa nao hata nusu saa ushamchoka, sembuse umuoe...wanakera kwa kwel
 
mh! umeandika ukiwa umetoka kutendewa hayo uliyo yaandika nini? hahahahaha pole sana
 
i see the reason to break up with her, she has everything that u say here
 
Wanawake wenye tabia hizi huwa hawakai na wanaume;kiburi/jeuri,kupenda ubosi yaani kuwa juu ya waume zao,wenye kuwalinganisha waume zao na wanaume wengine kisha kuwaona waume zao si lolote,wanaopenda mambo ya ubinti na kujiona bado wanalipa kumbe wamezeeka,wanaopenda kutembelea ndugu,jamaa na marafik mara kwa mara na kusahau kuwahudumia waume zao kwa mambo mbali mbali,wenye kuchagua aina ya chakula na maisha mengine ambayo waume zao hawayawez,wenye kupenda sugar daddies,wavivu,wanaopenda kuongelea mambo ya familia na ya watu wengine mara kwa mara,wasiotaka suruhu,wenye hasira na jaziba..

Ni kweli kabisa, hata kwa wanaume wenye hizi tabia nazo si njema. Maelewani ni mazuri zaidi.

Kama yamekukuta pole, mungu atambadilisha ameshakuwa wako sasa ufanyeje?
 
Hiyo ya kuwatembelea ndugu na kuacha majukumu yao, wanaume wengi inawaudhi sana...
kwa ushuhuda huu ndo naamini vitu vidogo ndo vinaharibu ndoa!
 
Back
Top Bottom