Tabata

Mentor unasema hakuna wa kumuoa? na Yule mliyetokane mgomba mmoja vipi? uliomba ushauri hapa ukaambiwa uendelee bila kujali kaka alioa dada yeka. au na wewe umekata tamaa?

Aaah yule nimenawa mikono dadangu! kichaga hairuhusiwi...basi wacha iwe tu!

mwingine???
 
Fundisho toshaaaaa kabisa Mentor, yaani pombe ni haramu kabisa inakufanya uwe dunia nyingine na maamuzi mengine kabisa. Tuwe makini na watu tunaokutana nao kwa mara ya kwanza na kama ni kuanzisha mahusiano kabla hayajawa deep basi ni vema kupimana afya zetu au kama ukiona ukame umekukamata sana basi tumia kinga na kamwe wakati huo usifanye deep kissing kabisa ikwemo kuzama kule kwa chumvi au kwa koni.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…