Tabata Kuna Viwanja!!

Tabata Kuna Viwanja!!

Lol! Kumbe majirani halafu hatujuani,damn it ngoja next week nikutafutie timing nikupeleke viwanja vya ukweli mwenyewe utapasahau tabata.
 
Lol! Kumbe majirani halafu hatujuani,damn it ngoja next week nikutafutie timing nikupeleke viwanja vya ukweli mwenyewe utapasahau tabata.

hahahaha. Basi tupo wengi.

Viwanja vya Mbezi hii hii?
 
Ha ha ha ha

Karucee huwezi kumwita Dinazarde halafu asinistue hilo hawezi fanya...

kwanini wanitenga lakini?
 
Last edited by a moderator:
tutakuzukia tu ukigoma kulipa bili ndo nitakuonyesha shoti kati gani upite hadi mbezi kwa mguu


Utampitisha Gereza la Segerea, bonyokwa, Vinane mpk kimara mwisho, then Matosa, Goba mpk Tanki bovu!
 
hapa patamu,unachukua bia,naona mademu wanakata viuno mpaka balaa
 
Utampitisha Gereza la Segerea, bonyokwa, Vinane mpk kimara mwisho, then Matosa, Goba mpk Tanki bovu!

Sio Mbezi Beach my Rafiki.

Its Mbezi ya Kimara so nilipita Maramba Mawili, Maramba Mwisho, Kifulu, Kinyerezi and voila! I was there.
 
Back
Top Bottom