Miss Neddy
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 14,684
- 8,754
Mmhh mi 38 labda missneddy tumuazime au atatunyima maana umemtolea njee hahhhahahha
hahahaha siwapi baniani mbaya kiatu chake dawa eeeeh
Last edited by a moderator:
Mmhh mi 38 labda missneddy tumuazime au atatunyima maana umemtolea njee hahhhahahha
kasema wewe ni memba tegemewa wa chama fulani pendwa
Kumbe na wewe huwa unakuja...!?
Hahahahaaha. Lol. Nimepapenda.
Aisee ile Shisha wangeweka weed kidogo ningehamia mle!