Tabata Kimanga tumemkosea nini mbunge?

Sep 1, 2017
24
21
Wakazi wa Tabata Kimanga kwa muda mrefu imekuwa kama vile tumeshaulika. Tumepigia sana kelele suala la barabara yetu ambayo ikinyesha mvua ni tabu tupu, wenye magari madogo wanayapaki wakati wenye magari makubwa wanakumbana na adha ya kujaa maji. Kipindi cha jua litapita greda likwangue lakini tunakoma na vumbi.

Suala la ubovu wa stendi na kukosekana soko lilikuwa kwenye ajenda kuu ya kampeni 2015 lakini mpaka sasa hatuoni chochote. Kila siku tunamuona mbunge anafanya ziara kata nyingine za jimbo lakini Kimanga hathubutu kukanyaga.

Fedha za mfuko wa jimbo tunasikia zimegawanywa lakini tukiwauliza watendaji wanatuambia hazijafika kwenye kata zetu.

Nadhani imefikia wakati serikali ikubali kwamba jimbo la Segerea ni kubwa inatakiwa ligawanywe ili Kimanga na Buguruni vijitigemee maana tunachokiona kwa sasa ni mbunge wetu kufanya kazi kwa kata za Segerea tu.
 
Kuweni wavumilivu jamani wabunge wenu wako bungeni bado wanaichambua ripoti ya makanikia awamu ya pili
 
Tatizo sio Mbunge, tatizo ni Diwani ambaye ameikataa kampuni iliyopewa tenda kwa sababu hajapewa cha juu, hili tatizo sasa hivi lipo ngazi ya juu, nafikiri litafanyiwa kazi muda si mrefu. Mwezangu Kimanga ipi? Mi nipo jirani na nyumbani kwa Dk. Mpango.
 
Tatizo sio Mbunge, tatizo ni Diwani ambaye ameikataa kampuni iliyopewa tenda kwa sababu hajapewa cha juu, hili tatizo sasa hivi lipo ngazi ya juu, nafikiri litafanyiwa kazi muda si mrefu. Mwezangu Kimanga ipi? Mi nipo jirani na nyumbani kwa Dk. Mpango.

Ukimsikiliza diwani lawama zote anarusha kwa mbunge kwamba amekuwa akifanya vitu bila kuwashirikisha na kwamba hiyo kampuni ilipitishwa kimagumashi. Na suala la mbunge kutoonekana kwenye kata bado silielewi
 
tatizo miaa mingi imechukuliwa na UKAWA kuanzia kimanga, mpaka kisukuru huku unafikiri huyo mbunge wa ccm ana hamu ya kuja huku?
 
Wakazi wa Tabata Kimanga kwa muda mrefu imekuwa kama vile tumeshaulika. Tumepigia sana kelele suala la barabara yetu ambayo ikinyesha mvua ni tabu tupu, wenye magari madogo wanayapaki wakati wenye magari makubwa wanakumbana na adha ya kujaa maji. Kipindi cha jua litapita greda likwangue lakini tunakoma na vumbi.

Suala la ubovu wa stendi na kukosekana soko lilikuwa kwenye ajenda kuu ya kampeni 2015 lakini mpaka sasa hatuoni chochote. Kila siku tunamuona mbunge anafanya ziara kata nyingine za jimbo lakini Kimanga hathubutu kukanyaga.

Fedha za mfuko wa jimbo tunasikia zimegawanywa lakini tukiwauliza watendaji wanatuambia hazijafika kwenye kata zetu.

Nadhani imefikia wakati serikali ikubali kwamba jimbo la Segerea ni kubwa inatakiwa ligawanywe ili Kimanga na Buguruni vijitigemee maana tunachokiona kwa sasa ni mbunge wetu kufanya kazi kwa kata za Segerea tu.
Nikweli Tabata Kimanga ni tatizo ni shida hata uvumilivu tumevumilia sana.Kwakifupi ni kwamba Kimanga kuanzia ngazi ya chini inaongozwa na Ukawa sasa anaangalia maeneo ambayo alipata kura nyingi za ccm ndio anaenda ikumbukwe bila kugawana kura kati ya cdm na Cuf sasa hivi Mbunge angekua Mtatiro wa Cuf...
 
tatizo miaa mingi imechukuliwa na UKAWA kuanzia kimanga, mpaka kisukuru huku unafikiri huyo mbunge wa ccm ana hamu ya kuja huku?

Mbunge ni wa watu wote bila kujali vyama. Mbona Mdee haachi kwenda msasani na oysterbay wakati kata zilichukuliwa na CCM
 
Tatizo sio Mbunge, tatizo ni Diwani ambaye ameikataa kampuni iliyopewa tenda kwa sababu hajapewa cha juu, hili tatizo sasa hivi lipo ngazi ya juu, nafikiri litafanyiwa kazi muda si mrefu. Mwezangu Kimanga ipi? Mi nipo jirani na nyumbani kwa Dk. Mpango.
Diwan ndo yule mzee mwenye mamvi!!? Mshenzzz sana yule mzee
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom