Kwa makasiriko haya.. Kwa magumu haya.. Tulitegemea kuona wale tulio pamoja walau tukipeana neno la faraja.. Lakini aah wapi tuko busy tukijipanga na kuomba sana ili litokee la kutokea lile linalotupa matamanio ya kila siku... Mimi ndio nafaa kukaa pale...!
Maonyo ni mengi lakini machache hubeba unabii