ikigoma iwachu
Member
- Aug 23, 2013
- 71
- 10
naombeni msaada kuna tablet inauzwa hapa mpya aina hiyo hapo juu. nataka kujua utunzaji wa chaji na internet yake kama vipo vizuri. mwenye uzoefu plz.
naombeni msaada kuna tablet inauzwa hapa mpya aina hiyo hapo juu. nataka kujua utunzaji wa chaji na internet yake kama vipo vizuri. mwenye uzoefu plz.
naombeni msaada kuna tablet inauzwa hapa mpya aina hiyo hapo juu. nataka kujua utunzaji wa chaji na internet yake kama vipo vizuri. mwenye uzoefu plz.
Nawashukuru sana kwa ushauri wenu.mmenikwamua huenda ningejuta soon. Thanks sana
Ndugu yangu nakushaur hiyo tablet achana nayo! Haifai, nilinunua kwa Mara ya kwanza mwaka Jana mwez wa 5 ikanisumbua sana, ikaanza tatizo la chaji tatizo lenyewe ukiweka chaji kama inawaka ikawa haichaj ila ukiizima ndo inachaj! Nikarudisha niliponunua wakanizungusha miezi miwili wakanipa nyingine, hiyo nyingine niliyopewa nikaitumia mwezi mmoja na yenyewe ikaanza tatzo la nyota na reli havifanyi kazi kwahivyo nikitaka kuweka vocha inanibid nitoe laini niweke kwenye simu nyingine ndo niweke vocha! Kwahivyo hazifai zina matatizo
Chaji hazikai! Yan ikiwa full na ukatumia ndani ya lisaa limoja na nusu chaji imeisha! Yan kwa ufupi hizi tablet n majanga na sikushauri kabisaa, Mimi ninayo ndo ninayoitumia yan n majangavip chaji ilikaa?