Taasisi za Dini Zatajwa Kuhusika na Utoroshaji wa Makontena Bandarini

Komando kipedo mi sio mshaki wa dini zenu- situmii imani kendeaha maisha
Naona umekunywa Kimpumu ukalala bila Nepi. Matokeo yake umekojolea godoro.
Nyie ndio wale mnaoabudu Waume zenu na Mabosi wenu wa kazini si ndio?
Ukipewa talaka tu unahama na kuanza kuabudu Mwingine.

Mna laana makafiri.
 
Naona umekunywa Kimpumu ukalala bila Nepi. Matokeo yake umekojolea godoro.
Nyie ndio wale mnaoabudu Waume zenu na Mabosi wenu wa kazini si ndio?
Ukipewa talaka tu unahama na kuanza kuabudu Mwingine.

Mna laana makafiri.
Wewe ni kizazi cha kafirpia sema waarabu wakakurawitia wazazi wako wakawaambikiza na hicho kiimani kinacho kufanya unyooshee kidole kafir wenzako . vaa ushungi ukagonoke mda umefika
 
Last edited:
Wewe ni kizazi pia sema waarabu wakakurawitia wazazi wako wakawaambikiza na hicho kiimani kinacho kufanya unyooshee kidole kafir wenzako . vaa ushungi ukagonoke mda umefika
"Kurawiti " ndio ibada gani mnayofanya hapo nyumbani kwa mama @sansam100?

Mtoto wa zinaa utamjua tu.
Ukimchokoa kidogo lzm atukane wazazi.
Siku ukimjua babako nadhani utakuwa na nidhamu kidogo.

We kuzaliwa na muuza Gongo haramu Ulitegemea kumjua babako?

Teh teh teh teh.
 
"Kurawiti " ndio ibada gani mnayofanya hapo nyumbani kwa mama @sansam100?

Mtoto wa zinaa utamjua tu.
Ukimchokoa kidogo lzm atukane wazazi.
Siku ukimjua babako nadhani utakuwa na nidhamu kidogo.

We kuzaliwa na muuza Gongo haramu Ulitegemea kumjua babako?

Teh teh teh teh.
Kagonoke mungu wako akague marinda kama yametatuka
 
Kiufupi serikali iondoe misamaha ya kodi ktk taasisi hizi za dini. Nakumbuka mustafa mkulo aliwahi kutaka kuondoa misamaha hii ya kodi makanisa yakaja juu, naamini misamaha hii ya kodi ikiondolewa nchi inaweza kukusanya hata 2 trion kwa mwezi, tatzo lililopo ni kuwa je magufuli ataweza kulitumbua hili jipu?

Hili jipu ni ngumu kulitumbua kwa sababu mahusiano kati ya makanisa na serikali ni mahusiano ya kihistoria, wazee wetu wanatuambia! Hapa tuwe wawazi tu hili jipu halitumbuliki!

Naona serikali itakachokifanya sasa ni kudanganya umma kuwa wameondoa misamaha ya kodi katika taasisi za kidini. Lakini ukweli chini kwa chini kuna mambo yatakuwa yanaendelea kufanyika kwa siri kubwa!
 
Nilichojifunza kwenye UZI hu ni hiki; Wakristo walivyosikia kuna wito wa kufanya uhakiki wa kodi TRA fasta viongozi wao wame respond but ile barua ya TRA kwenda BAKWATA hadi leo sijawahi kusikia responce yoyote kuyoka kwa any senior official wa Bakwata. Nimejifunza pia bado watu tuna chuki za kidini; yaani kama kosa limefanywa na taasisi ya dini yako watu wa dini husika mnataka kutetea and verse versa. Sina hakika na vitabu vya kiislam vinavyo sema but kwenye Biblia kuna msisitizo mkubwa wa muumini kulipa KODI. Na wale ambao hua wanatufundisha kwamba neno la Mungu linasema tuzitii mamlaka za dunia, maandiko yale yanaendelea kwa kugusia ulipaji wa kodi.
Utafiti wangu binafsi labda pia ni hu; ukienda kwenye taasisi za Kikristo unaweza kuziona mali zinazo milikiwa na taasisi hizo but kwa taasisi za Kiislam hua ni ngumu sana kuyaona walau magari au mali za misikiti.

Misikiti haipo kwa kujilimbikizia mali, kumbuka hilo.
 
Walipe kodi tu... Makusanyo ya sadaka kila jumapili pale st peters ni zaidi ya 7m
 
WAKATOLIKI wana HOTEL yao DODOMA chumba 250000.alafu awalipi kodi!!kweli haki kwa MUNGU tu.
Halafu wanasema Ati WAKATOLIKI hawafanyi Biashara.

Wana laana hawa Wezi mkuu.

Hapo Magufuli bin bawaba anatakiwa Akaze mkanda sana kukamua hilo jipu la VATICAN.
 
Kiongozi wa juu wa TPA alionekana kwenye television (TBC1) asubuhi juzi akieleza wazi kwamba kodi zililipwa, na ushahidi wa waliolipa wa cheki upo hata benki, ila kuna watu walifuta hizo rekodi za malipo kwenye mfumo wa serikali na wakachukua hizo fedha. They have been doing so systematically. Kwa hivyo ni vigogo, kwani watu wadogo hawawezi kuwa na uwezo huo.

Sasa taasisi ikilipa kodi na kupewa kontena lake kisha baadaye viongozi wakafuta rekodi zote TPA na kwingineko serikalini na kuchukua hizo fedha ni kosa la taasisi?

Don't bark at he wrong tree.
 
Misikiti haipo kwa kujilimbikizia mali, kumbuka hilo.
Waoneshe sasa hayo malori waliyokua wanayaombea msahama yako wapi kama sio misikitini, nadhani hilo ndio lilikua OMBI la TRA; sorry leo nimesikia kwenye magazeti kua sheikh mmoja kamshauri Mufti asijibu barua/ombi la TRA!? Sina hakika kama yupo sawa.
 
Mkuu sijui unaongea nini serikali inasema taasisi za dini za Kikristo wamefanya udanganyifu kuna ukwepaji wa kodi wa kiasi cha bilioni 48 wewe unaleta story za Bible.
Bahati mbaya hua si court chotchote from you, style yako ya kufikri na kuandika hua unaijua mwenyewe! Sorry.
 
Wale waitwao mafisadi wanaingia misikitini na makanisani, wanatoa sadaka na zaka kila mwaka, wanachangia makusanyo ya mavuno kadri inavyotakiwa. Ukwepaji kodi wa taasisi za kidini sio jambo la kushangaza, hata wale mafia wa kule Mexico na Colombia wanaouza madawa ya kulevya wanatoa sadaka kubwa sana katika jamii wanazoishi. Cha muhimu ni awamu ya tano kutoendelea kuwafumbia macho, kuwaambia ukweli kuwa bila ya kodi kukusanywa walio wengi wataendelea kukosa huduma muhimu za kijamii. Ubepari uchwara ambao upo hapa nchini, unayo desturi ya watu kutengeneza mitandao ya marafiki itakayowafaa wakati wa shida, hata taasisi za kidini na zenyewe zinaongozwa na watu wenye kuishi kwa kutegemea uwepo wa mitandao ya kirafiki. awamu ya tano inayo kazi ya kukusanya kodi bila ya kumtazama mtu usoni.
 
Hii ngumu kumeza tatizo kubwa la watanzania tunatawaliwa na unafiki mkubwa, adui wa Tanzania ni Watanzania wenyewe.

Kwenye huu uzi unaona kabisa wale Wakirstu waliokuwa wanapiga kelele kwenye sakata la Bakwata kuingiza magari kinyume na sheria hata mmoja uwezi kumuona kwenye huu uzi wakikemea Wakirstu wenzao, namna hii hatuwezi kujenga taifa lenye nidhamu kama kuna double standard.

Watanzania wazalendo wenye uchungu na taifa lao mpo wapi kukemea hui ufisadi.

Nakala kwa... @kahtaan, @FaizaFoxy, @njiwa, @THE BIG SHOW
Wanasema "Waarabu wa Pemba wanajuana kwa vilemba vyao".
Tatizo wewe unaangalia majina ya watu wenye mtazamo kama wa kwako, wenye kuangalia kila jambo kwa jicho la udini.

Kuna wengi tu ambao wanaweka utaifa mbele awe mkristo, muslim au dhehebu lolote lile anapofanya kosa anapewa ukweli.
 
Back
Top Bottom