Taasisi ya Urais iheshimiwe

Taasisi ya Urais iheshimiwe

Ni kama nyumbani baba usipojihesbimu usilazimishe watoto wa kuheshimu. Heshima inakuja naturaly
 
Kuna jambo linakera sana mtandaoni kuona MTU kwa makusudi anaamua kumtusi Mh Rais Dr john pombe Joseph Magufuli tena anamdhalilisha kwa kumuita majina ya ajabu ajabu mi nadhani ifike wakati waheshimu taasisi ya urais km hawataki kuheshimu taasisi hiyo vyombo vilivyoundwa maalum kwa kazi hiyo kama TISS, Polisi na JWTZ iwashurutishe kwa nguvu kutii taasisi ya urais.

Nasema hivi kwasababu nimesoma maandiko aliyoandika mtu anayeitwa Ben Sanane na nimewaambia ni mfanyakazi wa cdm makao makuu km mkuu wa kitengo cha utafiti na mtu wa karibu sn na Mh Mbowe kiukweli machapisho yake ya Jana naleo mtandaoni inapasa kabisa kumfikisha ktk vyombo vya usalama hasa kile chombo kilichopewa mamlaka kulinda taasisi ya Urais. Tukiacha watu kuchezea taasisi ya urais kuna hatari kubwa taasisi hiyo kutoheshimika milele. Watanzania pamoja na demokrasia ya vyama Vingi kuanzishwa nchini lkn hiyo haitoi nafasi kwa kutusi Mh Rais.

Nimeamua kuandika kwa uchungu kwasababu haya yote yanafanyika wakuu wa wilaya wapo mdogo wangu Ally Salum Hapi DC kinondoni yupo kimya mh rais anadhalilishwa wilayani kwake hajachukua hatua, mkuu wa Mkoa Mh Paul Makonda yuko kimya wakati majeshi yote ya kulida taasisi ya Urais wanayo, cjui wanasubiri mpk Mwigulu Nchemba Waziri wa mambo ya ndani au naibu wake Hamad Masauni ndiyo wachukue hatua?

Jamani ninyi viongozi mliyopewa mamlaka mkishindwa tuachieni sisi vijana wa CCM tufanye kazi hiyo hatuta kubali kuona Rais wetu anadhalilishwa . Muda sasa umefika wa kusema no no no.

Tunataka kuona hatua zikichukuliwa haraka iwezekanavyo
ni matusi gani hayo aliyotukanwa Rais? tutajie ikiwezekana tumpeleke Mahakamani haraka
 
Ben inawezekana una malezi ya kilevi na inawezekana unaandika umelewa lkn ujue taasisi ya Urais ina hadhi yake na inalindwa kisheria Mimi nimewaambia wasipotaka kuulinda hadhi ya taasisi Ya urais kama hawatafanya ivyo sisi wanaccm tutafanya ivyo. Bahati nzuri nishafanya utafiti nakuwafahamuvwalinzi wenu wote na CV yao.

..Raisi naye anapaswa kuiheshimu taasisi ya Uraisi na dhamana aliyopewa kwa kujizuia kutoa kauli za hovyo-hovyo kwenye mikutano ya hadhara, kauli ambazo zinamdhalilisha yeye binafsi, taasisi ya Uraisi, na taifa kwa ujumla.
 
Kuna jambo linakera sana mtandaoni kuona MTU kwa makusudi anaamua kumtusi Mh Rais Dr john pombe Joseph Magufuli tena anamdhalilisha kwa kumuita majina ya ajabu ajabu mi nadhani ifike wakati waheshimu taasisi ya urais km hawataki kuheshimu taasisi hiyo vyombo vilivyoundwa maalum kwa kazi hiyo kama TISS, Polisi na JWTZ iwashurutishe kwa nguvu kutii taasisi ya urais.

Nasema hivi kwasababu nimesoma maandiko aliyoandika mtu anayeitwa Ben Sanane na nimewaambia ni mfanyakazi wa cdm makao makuu km mkuu wa kitengo cha utafiti na mtu wa karibu sn na Mh Mbowe kiukweli machapisho yake ya Jana naleo mtandaoni inapasa kabisa kumfikisha ktk vyombo vya usalama hasa kile chombo kilichopewa mamlaka kulinda taasisi ya Urais. Tukiacha watu kuchezea taasisi ya urais kuna hatari kubwa taasisi hiyo kutoheshimika milele. Watanzania pamoja na demokrasia ya vyama Vingi kuanzishwa nchini lkn hiyo haitoi nafasi kwa kutusi Mh Rais.

Nimeamua kuandika kwa uchungu kwasababu haya yote yanafanyika wakuu wa wilaya wapo mdogo wangu Ally Salum Hapi DC kinondoni yupo kimya mh rais anadhalilishwa wilayani kwake hajachukua hatua, mkuu wa Mkoa Mh Paul Makonda yuko kimya wakati majeshi yote ya kulida taasisi ya Urais wanayo, cjui wanasubiri mpk Mwigulu Nchemba Waziri wa mambo ya ndani au naibu wake Hamad Masauni ndiyo wachukue hatua?

Jamani ninyi viongozi mliyopewa mamlaka mkishindwa tuachieni sisi vijana wa CCM tufanye kazi hiyo hatuta kubali kuona Rais wetu anadhalilishwa . Muda sasa umefika wa kusema no no no.

Tunataka kuona hatua zikichukuliwa haraka iwezekanavyo
Ukijiheshimu utaheshimiwa!!!
 
Watu wengine huwa hawana aibu wala hasikii ganzi katika uandishi wao
 
Ben inawezekana una malezi ya kilevi na inawezekana unaandika umelewa lkn ujue taasisi ya Urais ina hadhi yake na inalindwa kisheria Mimi nimewaambia wasipotaka kuulinda hadhi ya taasisi Ya urais kama hawatafanya ivyo sisi wanaccm tutafanya ivyo. Bahati nzuri nishafanya utafiti nakuwafahamuvwalinzi wenu wote na CV yao.
Acheni us.h.og@ vijana wa ccm
 
Nenda leba kama unauchungu sana. U DC kuupata sio kazi endelea kusikia uchungu
 
Kwanza ungetuambia kama zile spichi za John Michael Mbabe (JPM) kule chumbe zimetolewa na rais au taasisi ya urais?
 
Mimi bado natafuta tusi la kukutukana kwenye kamusi. Huu nao ni uchochezi, ni kumchochea mtukufu achukie watu wake. Inapaswa ushughulikiwe na vyombo tiifu
 
Jiheshimu tutakuheshimu hebu kafyatue watoto elimu ni bure
 
Ben inawezekana una malezi ya kilevi na inawezekana unaandika umelewa lkn ujue taasisi ya Urais ina hadhi yake na inalindwa kisheria Mimi nimewaambia wasipotaka kuulinda hadhi ya taasisi Ya urais kama hawatafanya ivyo sisi wanaccm tutafanya ivyo. Bahati nzuri nishafanya utafiti nakuwafahamuvwalinzi wenu wote na CV yao.

Pusi wewe! Unakuja na hoja ya heshima kwa taasisi ya Urais kisha unamalizia na maneno ya kipuuzi eti nyie wanaccm mtafanya sijui ujinga gani kwani mnawafahamu walinzi wote! Kwa hiyo mnajitangaza kuwa nyie mnaandaa matukio ya kihalifu ndani ya ccm? Itakuwa ajabu sana kama huko unakolilia wachukue hatua hawataanza nawe jambazi na gaidi mkubwa unless watudhibitishie tuu kuwa wewe ni kichaa na unaropoka tuu.
Kuhusu heshima, sikiliza hotuba za Mwl Nyerere ndio utajua kuwa hotuba za sasa hivi ndio zinazo ondoa hadhi na kuvunjia heshima taasisi hiyo. Saanane kasema yaliyo moyoni mwake ( na mioyo ya wengine) lakini kama mnataka kumvizia nyie fanyeni hivyo na msisahau kututangazia "Tuombeeni kwa Mungu ili tufanikiwe kumwangamiza Ben wa Saanane na wengine kama yeye"
 
Kuna jambo linakera sana mtandaoni kuona MTU kwa makusudi anaamua kumtusi Mh Rais Dr john pombe Joseph Magufuli tena anamdhalilisha kwa kumuita majina ya ajabu ajabu mi nadhani ifike wakati waheshimu taasisi ya urais km hawataki kuheshimu taasisi hiyo vyombo vilivyoundwa maalum kwa kazi hiyo kama TISS, Polisi na JWTZ iwashurutishe kwa nguvu kutii taasisi ya urais.

Nasema hivi kwasababu nimesoma maandiko aliyoandika mtu anayeitwa Ben Sanane na nimewaambia ni mfanyakazi wa cdm makao makuu km mkuu wa kitengo cha utafiti na mtu wa karibu sn na Mh Mbowe kiukweli machapisho yake ya Jana naleo mtandaoni inapasa kabisa kumfikisha ktk vyombo vya usalama hasa kile chombo kilichopewa mamlaka kulinda taasisi ya Urais. Tukiacha watu kuchezea taasisi ya urais kuna hatari kubwa taasisi hiyo kutoheshimika milele. Watanzania pamoja na demokrasia ya vyama Vingi kuanzishwa nchini lkn hiyo haitoi nafasi kwa kutusi Mh Rais.

Nimeamua kuandika kwa uchungu kwasababu haya yote yanafanyika wakuu wa wilaya wapo mdogo wangu Ally Salum Hapi DC kinondoni yupo kimya mh rais anadhalilishwa wilayani kwake hajachukua hatua, mkuu wa Mkoa Mh Paul Makonda yuko kimya wakati majeshi yote ya kulida taasisi ya Urais wanayo, cjui wanasubiri mpk Mwigulu Nchemba Waziri wa mambo ya ndani au naibu wake Hamad Masauni ndiyo wachukue hatua?

Jamani ninyi viongozi mliyopewa mamlaka mkishindwa tuachieni sisi vijana wa CCM tufanye kazi hiyo hatuta kubali kuona Rais wetu anadhalilishwa . Muda sasa umefika wa kusema no no no.

Tunataka kuona hatua zikichukuliwa haraka iwezekanavyo
Ukijiheshimu utaheshimika tu..lakini ukitaka heshima za unafiki au woga..hizo siyo heshima kamwe..watu watakusalimia shikamoo na kupiga hadi magoti..ukipita nyuma wanakung'ong'a na kukucheka. Kumheshimu mtu kwa dhati hakuhitaji vitisho kama vyako..
 
Mtoa mada umemtaja DC Hapi kama mbadala wa matakwa yako lakini umesahau kama kwa mujibu wa Lizabon huyu ni DC anayemuhujumu mtukufu Rais kwa kushikiana na Membe na Lukuvi hivyo hawezi kutekeleza unalotaka. Hii ni kwa mujibu wa maelezo ya Lizabon.
 
Ben inawezekana una malezi ya kilevi na inawezekana unaandika umelewa lkn ujue taasisi ya Urais ina hadhi yake na inalindwa kisheria Mimi nimewaambia wasipotaka kuulinda hadhi ya taasisi Ya urais kama hawatafanya ivyo sisi wanaccm tutafanya ivyo. Bahati nzuri nishafanya utafiti nakuwafahamuvwalinzi wenu wote na CV yao.
Tunaowaiga na kujikomba kwao hawaabudu taasisi hiyo ya urais ikibidi wanaushtaki e.g.
1.Brasil tumeona Rais anashtakiwa na kufukuzwa kazi kwa kukiuka katiba.
2.USA tumeshuhudia Trump akimjibu Rais na kama ingekuwa ni hapa kwetu Polisi wangejiingiza kati
3.UK Tumeshuhudi waziri mkuu akikaa pembeni kwa sababu wananchi wengi hawakukubaliana naye kuhusu muungano wao na ulaya na ingekuwa kwetu hapa tume ingeshurutishwa kwenda na matakwa ya kiongozi mkuu.
4. Kiongozi mzuri siyo yule anaeonyesha hasira dhidi ya watu wake kisa tu wanatofautiana mitizamo .
 
Back
Top Bottom