Taasisi ya Urais iheshimiwe

Taasisi ya Urais iheshimiwe

Unataka kuwafanya watu wengine hawajui maana ya kukosoa na kutukana? Unakosoa kwa kutumia maneno ya kejeli na matusi?

Ofcourse, naamini ninyi wa mtaa wa tatu hamuwezi kutofautisha hayo mawili!!

Hebu weka hayo maneno ya matusi tuyasome na kuyachambua.

Bahati mbaya hata mleta mada ameishia kulalamika tu bila kutoa mfano wa hayo matusi
 
Weak mbadala....kabla ya taasisi hiyo kuheshimiwa...ianze yenyewe kuwaheshimu wananchi waliyoiweka hapo ilipo..namaaanisha wapiga kura na watanzania wengine wakiwamo wake watoto wa udom waliotimuliwa na kuitwa vilaza wanahitaji kuheshimiwa maana ndio walioiweka taasisi ya Urals nchini.
 
Kesho upost tena na kichwa cha habari kisemacho "Taasisi ya urais ijiheshimu"
 
Kuna jambo linakera sana mtandaoni kuona MTU kwa makusudi anaamua kumtusi Mh Rais Dr john pombe Joseph Magufuli tena anamdhalilisha kwa kumuita majina ya ajabu ajabu mi nadhani ifike wakati waheshimu taasisi ya urais km hawataki kuheshimu taasisi hiyo vyombo vilivyoundwa maalum kwa kazi hiyo kama TISS, Polisi na JWTZ iwashurutishe kwa nguvu kutii taasisi ya urais.

Nasema hivi kwasababu nimesoma maandiko aliyoandika mtu anayeitwa Ben Sanane na nimewaambia ni mfanyakazi wa cdm makao makuu km mkuu wa kitengo cha utafiti na mtu wa karibu sn na Mh Mbowe kiukweli machapisho yake ya Jana naleo mtandaoni inapasa kabisa kumfikisha ktk vyombo vya usalama hasa kile chombo kilichopewa mamlaka kulinda taasisi ya Urais. Tukiacha watu kuchezea taasisi ya urais kuna hatari kubwa taasisi hiyo kutoheshimika milele. Watanzania pamoja na demokrasia ya vyama Vinci kuanzishwa nchini lkn hiyo haitoi nafasi kwa kutusi Mh Rais.

Nimeamua kuandika kwa uchungu kwasababu haya yote yanafanyika wakuu wa wilaya wapo mdogo wangu Ally Salum Hapi dc kinondoni yupo kimya mh rais anadhalilishwa wilayani kwake hajachukua hatua, mkuu wa Mkoa Mh Paul Makonda yuko kimya wakati majeshi yote ya kulida taasisi ya Urais wanayo, cjui wanasubiri mpk Mwigulu Nchemba Waziri wa mambo ya ndani au naibu wake Hamad Masauni ndiyo wachukue hatua?

Jamani ninyi viongozi mliyopewa mamlaka mkishindwa tuachieni sisi vijana wa ccm tufanye kazi hiyo hatuta kubali kuona Rais wetu anadhalilishwa na wahuni. Muda sasa umefika wa kusema no no no.

Tunataka kuona hatua zikichukuliwa haraka iwezekanavyo
Kama unaona kunakosa limefanyika usisubiri mpaka hao uliowafaja wachukue hatua kwa mjibu wa sheria hata wewe mwenyewe unaweza ukachukua hatua,mbona kwenye kesi za uchaguzi wapinzani wakishinda huwa mnawahi mahakamani kwenda kupinga ushindi wa wapinzani kumshinda hata yule ambaye alitakiwa kulalamika?.
 
Hivi unaanzaje hata kufikiria kumtukana Rais?

Tukubaliane kutokukubaliana na kutafuta njia muafaka kuaddress tofauti bila kuutusi Urais na kumtusi Rais
Mheshimiwa aliyepita alisema ukitaka kula nawe uwe tayari kuliwa, ,, Sasa ukitaka kutotukanwa nawe usitukane..
 
Kuna jambo linakera sana mtandaoni kuona MTU kwa makusudi anaamua kumtusi Mh Rais Dr john pombe Joseph Magufuli tena anamdhalilisha kwa kumuita majina ya ajabu ajabu mi nadhani ifike wakati waheshimu taasisi ya urais km hawataki kuheshimu taasisi hiyo vyombo vilivyoundwa maalum kwa kazi hiyo kama TISS, Polisi na JWTZ iwashurutishe kwa nguvu kutii taasisi ya urais.

Nasema hivi kwasababu nimesoma maandiko aliyoandika mtu anayeitwa Ben Sanane na nimewaambia ni mfanyakazi wa cdm makao makuu km mkuu wa kitengo cha utafiti na mtu wa karibu sn na Mh Mbowe kiukweli machapisho yake ya Jana naleo mtandaoni inapasa kabisa kumfikisha ktk vyombo vya usalama hasa kile chombo kilichopewa mamlaka kulinda taasisi ya Urais. Tukiacha watu kuchezea taasisi ya urais kuna hatari kubwa taasisi hiyo kutoheshimika milele. Watanzania pamoja na demokrasia ya vyama Vinci kuanzishwa nchini lkn hiyo haitoi nafasi kwa kutusi Mh Rais.

Nimeamua kuandika kwa uchungu kwasababu haya yote yanafanyika wakuu wa wilaya wapo mdogo wangu Ally Salum Hapi dc kinondoni yupo kimya mh rais anadhalilishwa wilayani kwake hajachukua hatua, mkuu wa Mkoa Mh Paul Makonda yuko kimya wakati majeshi yote ya kulida taasisi ya Urais wanayo, cjui wanasubiri mpk Mwigulu Nchemba Waziri wa mambo ya ndani au naibu wake Hamad Masauni ndiyo wachukue hatua?

Jamani ninyi viongozi mliyopewa mamlaka mkishindwa tuachieni sisi vijana wa ccm tufanye kazi hiyo hatuta kubali kuona Rais wetu anadhalilishwa na wahuni. Muda sasa umefika wa kusema no no no.

Tunataka kuona hatua zikichukuliwa haraka iwezekanavyo

Tumekuwa na awamu nne za Urais kwenye nchi hii,, Jiulize kwanini awamu hii Taasisi hii inaandamwa kwa kusemwa vibaya kwenye Media maana yake kuna tatizo sio bure.
 
Huyu sio jk nawaambia mtapata matatizo sana kwa akili hizi za mkumbo.

Tafsiri ipi uliyonayo juu ya kujiheshimu, kuna siku yoyote raisi katukana mtu kwa tusi la mdomo au ishara ya dole la kati???

Anaita watoto wetu wa UDOM - Special Diploma in Education, vi.laza ni uungwana na heshima hiyo tena toka kwa kiongozi mkuu wa nchi, mlezi wa watoto woote???

Wewe unafikiri walijikiaje kuitwa na baba yao jina kama hilo hata kama hawana akili (kwa mtazamo wake)??

Na je alikosa lugha njema ya kiuongozi isiyo na ukakasi kupeleka ujumbe aliokusudia?

Hiyo ni moja, la kufunga mwaka ni hotuba zake za juzi Zanzibar na Pemba. Zilijaa maneno ya kubomoa badala ya kujenga.

Wengi watatafsiri kama "matusi" kwao kama tu ambavyo ninyi mnatoa tafsiri zenu kwa maoni ya watu wengine tena yenye lugha ya kawaida kabisa!
 
Kila mtu ana unga mkono heshima kwa taasisi ya urais pamoja na Rais aliyepo madarakani kwa wakati huo lakini siyo kuisujudia kwa kuiabudu taasisi hiyo pamoja na Rais aliyepo madarakani kwa wakati huo.

Pia kama kunadharau na matusi yanayotolewa kwenye taasisi pamoja na Rais aliyepo madarakani kwa wakati huo kunatakiwa kuwepo na kiulizo ni kwa nini hali hiyo imetokea?.wakati mwingine wanaofanya hivyo wanaweza wakawa wanafanya hivyo kutokana na namna unavyo iongoza taasisi hiyo.
 
Kuna jambo linakera sana mtandaoni kuona MTU kwa makusudi anaamua kumtusi Mh Rais Dr john pombe Joseph Magufuli tena anamdhalilisha kwa kumuita majina ya ajabu ajabu mi nadhani ifike wakati waheshimu taasisi ya urais km hawataki kuheshimu taasisi hiyo vyombo vilivyoundwa maalum kwa kazi hiyo kama TISS, Polisi na JWTZ iwashurutishe kwa nguvu kutii taasisi ya urais.

Nasema hivi kwasababu nimesoma maandiko aliyoandika mtu anayeitwa Ben Sanane na nimewaambia ni mfanyakazi wa cdm makao makuu km mkuu wa kitengo cha utafiti na mtu wa karibu sn na Mh Mbowe kiukweli machapisho yake ya Jana naleo mtandaoni inapasa kabisa kumfikisha ktk vyombo vya usalama hasa kile chombo kilichopewa mamlaka kulinda taasisi ya Urais. Tukiacha watu kuchezea taasisi ya urais kuna hatari kubwa taasisi hiyo kutoheshimika milele. Watanzania pamoja na demokrasia ya vyama Vinci kuanzishwa nchini lkn hiyo haitoi nafasi kwa kutusi Mh Rais.

Nimeamua kuandika kwa uchungu kwasababu haya yote yanafanyika wakuu wa wilaya wapo mdogo wangu Ally Salum Hapi dc kinondoni yupo kimya mh rais anadhalilishwa wilayani kwake hajachukua hatua, mkuu wa Mkoa Mh Paul Makonda yuko kimya wakati majeshi yote ya kulida taasisi ya Urais wanayo, cjui wanasubiri mpk Mwigulu Nchemba Waziri wa mambo ya ndani au naibu wake Hamad Masauni ndiyo wachukue hatua?

Jamani ninyi viongozi mliyopewa mamlaka mkishindwa tuachieni sisi vijana wa ccm tufanye kazi hiyo hatuta kubali kuona Rais wetu anadhalilishwa na wahuni. Muda sasa umefika wa kusema no no no.

Tunataka kuona hatua zikichukuliwa haraka iwezekanavyo
Ni nini hicho kilichokukera? Tupe ushahidi maana sie wengine hatukusoma. Na je una ushauri gani kwa vyombo vya dola kuhusu kauli za kukera, vitisho, dharau, ubabe na za uchochezi kutoka kwa kiongozi wa taasisi hiyo?
 
Mimi sidhani kama awamu hii kuna kitu kinaitwa Taasisi ya Urais. Ila nina hakika kwamba kuna Rais. Hii inatokana na utofauti wa hotuba zinazotolewa majukwaani kati ya awamu zilizopita na awamu hii. Hizi za sasa hazina tofauti na muziki wa taarabu. Kama mnataka watu waheshimu hiyo mnayoita taasisi basi mshaurini mkuu wa kaya aachane na mipasho na vijembe pale awapo majukwaani. Mipasho inawafaa akina Isha Mashauzi na sio mwanasiasa.
 
Heshima hujiumba yenyewe.haitengenezwi kiwandani.
 
Kuna jambo linakera sana mtandaoni kuona MTU kwa makusudi anaamua kumtusi Mh Rais Dr john pombe Joseph Magufuli tena anamdhalilisha kwa kumuita majina ya ajabu ajabu mi nadhani ifike wakati waheshimu taasisi ya urais km hawataki kuheshimu taasisi hiyo vyombo vilivyoundwa maalum kwa kazi hiyo kama TISS, Polisi na JWTZ iwashurutishe kwa nguvu kutii taasisi ya urais.

Nasema hivi kwasababu nimesoma maandiko aliyoandika mtu anayeitwa Ben Sanane na nimewaambia ni mfanyakazi wa cdm makao makuu km mkuu wa kitengo cha utafiti na mtu wa karibu sn na Mh Mbowe kiukweli machapisho yake ya Jana naleo mtandaoni inapasa kabisa kumfikisha ktk vyombo vya usalama hasa kile chombo kilichopewa mamlaka kulinda taasisi ya Urais. Tukiacha watu kuchezea taasisi ya urais kuna hatari kubwa taasisi hiyo kutoheshimika milele. Watanzania pamoja na demokrasia ya vyama Vinci kuanzishwa nchini lkn hiyo haitoi nafasi kwa kutusi Mh Rais.

Nimeamua kuandika kwa uchungu kwasababu haya yote yanafanyika wakuu wa wilaya wapo mdogo wangu Ally Salum Hapi dc kinondoni yupo kimya mh rais anadhalilishwa wilayani kwake hajachukua hatua, mkuu wa Mkoa Mh Paul Makonda yuko kimya wakati majeshi yote ya kulida taasisi ya Urais wanayo, cjui wanasubiri mpk Mwigulu Nchemba Waziri wa mambo ya ndani au naibu wake Hamad Masauni ndiyo wachukue hatua?

Jamani ninyi viongozi mliyopewa mamlaka mkishindwa tuachieni sisi vijana wa ccm tufanye kazi hiyo hatuta kubali kuona Rais wetu anadhalilishwa na wahuni. Muda sasa umefika wa kusema no no no.

Tunataka kuona hatua zikichukuliwa haraka iwezekanavyo
Ungesema No NO NO kwa Taasisi ya Urais kudhalilishwa na rais!! maneno yanayotolewa na rais na vitisho kejeli na mambo ya ovyo ovyo ni udhalilishaji wa taasisi ya Urais. Tunamchagua Rais ili afuate Katiba ya Nchi na kufanya taasisi yake kuheshimika !! Udhalilishaji wa Taasisi ya Urais kwa kuvunja katiba ni uhaini tosha!!
ANZIA HAPO!!
 
Ungesema No NO NO kwa Taasisi ya Urais kudhalilishwa na rais!! maneno yanayotolewa na rais na vitisho kejeli na mambo ya ovyo ovyo ni udhalilishaji wa taasisi ya Urais. Tunamchagua Rais ili afuate Katiba ya Nchi na kufanya taasisi yake kuheshimika !! Udhalilishaji wa Taasisi ya Urais kwa kuvunja katiba ni uhaini tosha!!
ANZIA HAPO!!
Ibara ya ngapi ya katiba imevunjwa? Je amekiuka mamlaka yake aliyopewa kwa muijibu wa katiba?
 
Ila yeye ana haki ya kutuita vilaza sisi hatuna haki ya kujibu? Acha unafiki
 
Tatizo lenu vijana wengi wa CCM ni kujikomba kulikopitiliza, hebu kuweni wakweli na muweke uzalendo mbele.
 
Ibara ya ngapi ya katiba imevunjwa? Je amekiuka mamlaka yake aliyopewa kwa muijibu wa katiba?
Ibara ya 20! hajapewa mamlaka ya kuita watoto vilaza ilihali akiitwa mnakimbia mahakamani. Zanzibar alishawishi yule muungwana kumpita yeye aivunje katiba yake kama yeye!! Ajiheshimu ataheshimiwa!
 
Ibara ya 20! hajapewa mamlaka ya kuita watoto ****** ilihali akiitwa mnakimbia mahakamani. Zanzibar alishawishi yule muungwana kumpita yeye aivunje katiba yake kama yeye!! Ajiheshimu ataheshimiwa!
Hiyo ibara uliyoiweka hapo umeisoma?
 
Hivi unaanzaje hata kufikiria kumtukana Rais?

Tukubaliane kutokukubaliana na kutafuta njia muafaka kuaddress tofauti bila kuutusi Urais na kumtusi Rais
mkuu awamu hii naona ingekuwa vyema tuwe na clarity ya "tusi/matusi" na "uchochezi" nje ya hapo tutalazimishana kuongea tunacho taka kusikia. NB, heshima kwa mamlaka na kwa mtu mmoja mmoja ni muhimu
 
Back
Top Bottom