Taasisi ya Urais iheshimiwe

Taasisi ya Urais iheshimiwe

Hivi unaanzaje hata kufikiria kumtukana Rais?

Tukubaliane kutokukubaliana na kutafuta njia muafaka kuaddress tofauti bila kuutusi Urais na kumtusi Rais
Wee Freema acha kutoa Aibu..yeye huwa anasemaje
 
Vijana wa lumumba jengeni hoja acheni vioja vya kutisha watu
 
Ben inawezekana una malezi ya kilevi na inawezekana unaandika umelewa lkn ujue taasisi ya Urais ina hadhi yake na inalindwa kisheria Mimi nimewaambia wasipotaka kuulinda hadhi ya taasisi Ya urais kama hawatafanya ivyo sisi wanaccm tutafanya ivyo. Bahati nzuri nishafanya utafiti nakuwafahamuvwalinzi wenu wote na CV yao.
Wewe ni nani? Mmmm acha kujipendekeza nafasi zimejaa za ma dc
 
Ben Saanane amegundua namna pekee ya kuthaminiwa ndani ya Chadema ni kuwashambulia viongozi wa chama tawala na serikali. Alikosa nafasi ya kugombea ubunge jimbo la Rombo kwa sababu hakuwa akifanya hivyo. Sasa anajiandaa kukubalika. Ni mtu hatari sana kwa sasa, ni mfedheheshaji mkubwa sana wa viongozi wa serikali.
 
Cadema hata uwe malaika watakutukana tu,ndio sera yao,ndio walivyolelewa,ila magufuli akijiunga Chadema hata leo atapambwa kama sio yeye,hao ndio Chadema
 
Jee yeye Rais kauli zake nzuri kwa watu au viongozi wengine? Tuwe wakweli ikiwa muheshimiwa hataki kutukanwa na yeye asitumie lugha za matusi. Ati mleta uzi anasema tuachie sisi ccm tushuhulukie mgeshuhulika wakati wa kampeni pale kariakoo mkizomewa pumbavu kabisa.
Rais amemtukana nani?
 
Kuna jambo linakera sana mtandaoni kuona MTU kwa makusudi anaamua kumtusi Mh Rais Dr john pombe Joseph Magufuli tena anamdhalilisha kwa kumuita majina ya ajabu ajabu mi nadhani ifike wakati waheshimu taasisi ya urais km hawataki kuheshimu taasisi hiyo vyombo vilivyoundwa maalum kwa kazi hiyo kama TISS, Polisi na JWTZ iwashurutishe kwa nguvu kutii taasisi ya urais.

Nasema hivi kwasababu nimesoma maandiko aliyoandika mtu anayeitwa Ben Sanane na nimewaambia ni mfanyakazi wa cdm makao makuu km mkuu wa kitengo cha utafiti na mtu wa karibu sn na Mh Mbowe kiukweli machapisho yake ya Jana naleo mtandaoni inapasa kabisa kumfikisha ktk vyombo vya usalama hasa kile chombo kilichopewa mamlaka kulinda taasisi ya Urais. Tukiacha watu kuchezea taasisi ya urais kuna hatari kubwa taasisi hiyo kutoheshimika milele. Watanzania pamoja na demokrasia ya vyama Vinci kuanzishwa nchini lkn hiyo haitoi nafasi kwa kutusi Mh Rais.

Nimeamua kuandika kwa uchungu kwasababu haya yote yanafanyika wakuu wa wilaya wapo mdogo wangu Ally Salum Hapi dc kinondoni yupo kimya mh rais anadhalilishwa wilayani kwake hajachukua hatua, mkuu wa Mkoa Mh Paul Makonda yuko kimya wakati majeshi yote ya kulida taasisi ya Urais wanayo, cjui wanasubiri mpk Mwigulu Nchemba Waziri wa mambo ya ndani au naibu wake Hamad Masauni ndiyo wachukue hatua?

Jamani ninyi viongozi mliyopewa mamlaka mkishindwa tuachieni sisi vijana wa ccm tufanye kazi hiyo hatuta kubali kuona Rais wetu anadhalilishwa na wahuni. Muda sasa umefika wa kusema no no no.

Tunataka kuona hatua zikichukuliwa haraka iwezekanavyo
Ok umesikika subiria nafasi yako ya uteuzi
 
Hivi unaanzaje hata kufikiria kumtukana Rais?

Tukubaliane kutokukubaliana na kutafuta njia muafaka kuaddress tofauti bila kuutusi Urais na kumtusi Rais
Pia rais achunge kauli zake za dharau,kiburi na kudharirisha watu.hakuna mtu atakaye mtusi.JENGA HESHIMA UHESHIMIWE.rais tunataka atuunganishe bila ubaguzi na sio kututenganisha kisa tofauti zetu za kisiasa.kwa vile kuna vyama vingi lazima atambue tofauti za kimtizamo juu yake.aheshimu wote na wananchi watampa heshima kama kiongozi wao.
 
Kuna jambo linakera sana mtandaoni kuona MTU kwa makusudi anaamua kumtusi Mh Rais Dr john pombe Joseph Magufuli tena anamdhalilisha kwa kumuita majina ya ajabu ajabu mi nadhani ifike wakati waheshimu taasisi ya urais km hawataki kuheshimu taasisi hiyo vyombo vilivyoundwa maalum kwa kazi hiyo kama TISS, Polisi na JWTZ iwashurutishe kwa nguvu kutii taasisi ya urais.

Nasema hivi kwasababu nimesoma maandiko aliyoandika mtu anayeitwa Ben Sanane na nimewaambia ni mfanyakazi wa cdm makao makuu km mkuu wa kitengo cha utafiti na mtu wa karibu sn na Mh Mbowe kiukweli machapisho yake ya Jana naleo mtandaoni inapasa kabisa kumfikisha ktk vyombo vya usalama hasa kile chombo kilichopewa mamlaka kulinda taasisi ya Urais. Tukiacha watu kuchezea taasisi ya urais kuna hatari kubwa taasisi hiyo kutoheshimika milele. Watanzania pamoja na demokrasia ya vyama Vinci kuanzishwa nchini lkn hiyo haitoi nafasi kwa kutusi Mh Rais.

Nimeamua kuandika kwa uchungu kwasababu haya yote yanafanyika wakuu wa wilaya wapo mdogo wangu Ally Salum Hapi dc kinondoni yupo kimya mh rais anadhalilishwa wilayani kwake hajachukua hatua, mkuu wa Mkoa Mh Paul Makonda yuko kimya wakati majeshi yote ya kulida taasisi ya Urais wanayo, cjui wanasubiri mpk Mwigulu Nchemba Waziri wa mambo ya ndani au naibu wake Hamad Masauni ndiyo wachukue hatua?

Jamani ninyi viongozi mliyopewa mamlaka mkishindwa tuachieni sisi vijana wa ccm tufanye kazi hiyo hatuta kubali kuona Rais wetu anadhalilishwa na wahuni. Muda sasa umefika wa kusema no no no.

Tunataka kuona hatua zikichukuliwa haraka iwezekanavyo

1. Isipojiheshimu yenyewe unategemea iheshimiwe vipi na watu wengine?

2. Na nadhani wewe na wenzako ndiyo mna matatizo kwa kushindwa kutofautisha KUKOSOA na KUTUSI. Kwenu kukosoa mnakupa tafsiri ya kutukana na huu ndiyo ugonjwa mbaya unaoisumbua serikali ya awamu hii na mashabiki wake kama wewe!!
 
Kuna jambo linakera sana mtandaoni kuona MTU kwa makusudi anaamua kumtusi Mh Rais Dr john pombe Joseph Magufuli tena anamdhalilisha kwa kumuita majina ya ajabu ajabu mi nadhani ifike wakati waheshimu taasisi ya urais km hawataki kuheshimu taasisi hiyo vyombo vilivyoundwa maalum kwa kazi hiyo kama TISS, Polisi na JWTZ iwashurutishe kwa nguvu kutii taasisi ya urais.

Nasema hivi kwasababu nimesoma maandiko aliyoandika mtu anayeitwa Ben Sanane na nimewaambia ni mfanyakazi wa cdm makao makuu km mkuu wa kitengo cha utafiti na mtu wa karibu sn na Mh Mbowe kiukweli machapisho yake ya Jana naleo mtandaoni inapasa kabisa kumfikisha ktk vyombo vya usalama hasa kile chombo kilichopewa mamlaka kulinda taasisi ya Urais. Tukiacha watu kuchezea taasisi ya urais kuna hatari kubwa taasisi hiyo kutoheshimika milele. Watanzania pamoja na demokrasia ya vyama Vinci kuanzishwa nchini lkn hiyo haitoi nafasi kwa kutusi Mh Rais.

Nimeamua kuandika kwa uchungu kwasababu haya yote yanafanyika wakuu wa wilaya wapo mdogo wangu Ally Salum Hapi dc kinondoni yupo kimya mh rais anadhalilishwa wilayani kwake hajachukua hatua, mkuu wa Mkoa Mh Paul Makonda yuko kimya wakati majeshi yote ya kulida taasisi ya Urais wanayo, cjui wanasubiri mpk Mwigulu Nchemba Waziri wa mambo ya ndani au naibu wake Hamad Masauni ndiyo wachukue hatua?

Jamani ninyi viongozi mliyopewa mamlaka mkishindwa tuachieni sisi vijana wa ccm tufanye kazi hiyo hatuta kubali kuona Rais wetu anadhalilishwa na wahuni. Muda sasa umefika wa kusema no no no.

Tunataka kuona hatua zikichukuliwa haraka iwezekanavyo
Ukweli tz kuna kushuka sana kwa maadili. Sheri ichukue mkondo wake kwa wanaomdharau rais.
 
Ben Saanane amegundua namna pekee ya kuthaminiwa ndani ya Chadema ni kuwashambulia viongozi wa chama tawala na serikali. Alikosa nafasi ya kugombea ubunge jimbo la Rombo kwa sababu hakuwa akifanya hivyo. Sasa anajiandaa kukubalika. Ni mtu hatari sana kwa sasa, ni mfedheheshaji mkubwa sana wa viongozi wa serikali.
Nadhani hapa Tulipofika watanzania tunahitaji zaidi Viongozi wanaotuunganisha badala ya kuwa na viongozi wanaotugawa kwa kauli zao. Pande zote hivi sasa zina matatizo ya matamshi toka kwa viongozi hasa wa ngazi za juu. sasa sijui nani amfunge 'paka' kengele. Ushabiki unaofanywa na wale wanaojiita UVCCM na BAVICHA dhidi ya kauli ovu zinazotolewa na viongozi wao dhidi ya wengine ni kielelezo tosha kuwa jamii imepotoka hivyo tunahitaji wa kuturudisha kwenye Mstari. Wale ambao wenye uwezo wa kuwaambia viongozi wetu hapa unakosea mzee hawapo maana nguzo yetu imeliwa na mchwa nayo ilikuwa Baba wa taifa pekee. Tumlilie nani?
 
Kuna jambo linakera sana mtandaoni kuona MTU kwa makusudi anaamua kumtusi Mh Rais Dr john pombe Joseph Magufuli tena anamdhalilisha kwa kumuita majina ya ajabu ajabu mi nadhani ifike wakati waheshimu taasisi ya urais km hawataki kuheshimu taasisi hiyo vyombo vilivyoundwa maalum kwa kazi hiyo kama TISS, Polisi na JWTZ iwashurutishe kwa nguvu kutii taasisi ya urais.

Nasema hivi kwasababu nimesoma maandiko aliyoandika mtu anayeitwa Ben Sanane na nimewaambia ni mfanyakazi wa cdm makao makuu km mkuu wa kitengo cha utafiti na mtu wa karibu sn na Mh Mbowe kiukweli machapisho yake ya Jana naleo mtandaoni inapasa kabisa kumfikisha ktk vyombo vya usalama hasa kile chombo kilichopewa mamlaka kulinda taasisi ya Urais. Tukiacha watu kuchezea taasisi ya urais kuna hatari kubwa taasisi hiyo kutoheshimika milele. Watanzania pamoja na demokrasia ya vyama Vinci kuanzishwa nchini lkn hiyo haitoi nafasi kwa kutusi Mh Rais.

Nimeamua kuandika kwa uchungu kwasababu haya yote yanafanyika wakuu wa wilaya wapo mdogo wangu Ally Salum Hapi dc kinondoni yupo kimya mh rais anadhalilishwa wilayani kwake hajachukua hatua, mkuu wa Mkoa Mh Paul Makonda yuko kimya wakati majeshi yote ya kulida taasisi ya Urais wanayo, cjui wanasubiri mpk Mwigulu Nchemba Waziri wa mambo ya ndani au naibu wake Hamad Masauni ndiyo wachukue hatua?

Jamani ninyi viongozi mliyopewa mamlaka mkishindwa tuachieni sisi vijana wa ccm tufanye kazi hiyo hatuta kubali kuona Rais wetu anadhalilishwa na wahuni. Muda sasa umefika wa kusema no no no.

Tunataka kuona hatua zikichukuliwa haraka iwezekanavyo

Labda Mh. Rais Amekuwa Mpole Sana!!
 
1. Isipojiheshimu yenyewe unategemea iheshimiwe vipi na watu wengine?

2. Na nadhani wewe na wenzako ndiyo mna matatizo kwa kushindwa kutofautisha KUKOSOA na KUTUSI. Kwenu kukosoa mnakupa tafsiri ya kutukana na huu ndiyo ugonjwa mbaya unaoisumbua serikali ya awamu hii na mashabiki wake kama wewe!!
Unataka kuwafanya watu wengine hawajui maana ya kukosoa na kutukana? Unakosoa kwa kutumia maneno ya kejeli na matusi?
 
Pia rais achunge kauli zake za dharau,kiburi na kudharirisha watu.hakuna mtu atakaye mtusi.JENGA HESHIMA UHESHIMIWE.rais tunataka atuunganishe bila ubaguzi na sio kututenganisha kisa tofauti zetu za kisiasa.kwa vile kuna vyama vingi lazima atambue tofauti za kimtizamo juu yake.aheshimu wote na wananchi watampa heshima kama kiongozi wao.
Huyu sio jk nawaambia mtapata matatizo sana kwa akili hizi za mkumbo.
1. Isipojiheshimu yenyewe unategemea iheshimiwe vipi na watu wengine?

2. Na nadhani wewe na wenzako ndiyo mna matatizo kwa kushindwa kutofautisha KUKOSOA na KUTUSI. Kwenu kukosoa mnakupa tafsiri ya kutukana na huu ndiyo ugonjwa mbaya unaoisumbua serikali ya awamu hii na mashabiki wake kama wewe!!
Tafsiri ipi uliyonayo juu ya kujiheshimu, kuna siku yoyote raisi katukana mtu kwa tusi la mdomo au ishara ya dole la kati???
 
Ben inawezekana una malezi ya kilevi na inawezekana unaandika umelewa lkn ujue taasisi ya Urais ina hadhi yake na inalindwa kisheria Mimi nimewaambia wasipotaka kuulinda hadhi ya taasisi Ya urais kama hawatafanya ivyo sisi wanaccm tutafanya ivyo. Bahati nzuri nishafanya utafiti nakuwafahamuvwalinzi wenu wote na CV yao.
Wewe siyo mwana CCM.
 
Huyu sio jk nawaambia mtapata matatizo sana kwa akili hizi za mkumbo.

Tafsiri ipi uliyonayo juu ya kujiheshimu, kuna siku yoyote raisi katukana mtu kwa tusi la mdomo au ishara ya dole la kati???
Lol!
 
Kuna jambo linakera sana mtandaoni kuona MTU kwa makusudi anaamua kumtusi Mh Rais Dr john pombe Joseph Magufuli tena anamdhalilisha kwa kumuita majina ya ajabu ajabu mi nadhani ifike wakati waheshimu taasisi ya urais km hawataki kuheshimu taasisi hiyo vyombo vilivyoundwa maalum kwa kazi hiyo kama TISS, Polisi na JWTZ iwashurutishe kwa nguvu kutii taasisi ya urais.

Nasema hivi kwasababu nimesoma maandiko aliyoandika mtu anayeitwa Ben Sanane na nimewaambia ni mfanyakazi wa cdm makao makuu km mkuu wa kitengo cha utafiti na mtu wa karibu sn na Mh Mbowe kiukweli machapisho yake ya Jana naleo mtandaoni inapasa kabisa kumfikisha ktk vyombo vya usalama hasa kile chombo kilichopewa mamlaka kulinda taasisi ya Urais. Tukiacha watu kuchezea taasisi ya urais kuna hatari kubwa taasisi hiyo kutoheshimika milele. Watanzania pamoja na demokrasia ya vyama Vinci kuanzishwa nchini lkn hiyo haitoi nafasi kwa kutusi Mh Rais.

Nimeamua kuandika kwa uchungu kwasababu haya yote yanafanyika wakuu wa wilaya wapo mdogo wangu Ally Salum Hapi dc kinondoni yupo kimya mh rais anadhalilishwa wilayani kwake hajachukua hatua, mkuu wa Mkoa Mh Paul Makonda yuko kimya wakati majeshi yote ya kulida taasisi ya Urais wanayo, cjui wanasubiri mpk Mwigulu Nchemba Waziri wa mambo ya ndani au naibu wake Hamad Masauni ndiyo wachukue hatua?

Jamani ninyi viongozi mliyopewa mamlaka mkishindwa tuachieni sisi vijana wa ccm tufanye kazi hiyo hatuta kubali kuona Rais wetu anadhalilishwa na wahuni. Muda sasa umefika wa kusema no no no.

Tunataka kuona hatua zikichukuliwa haraka iwezekanavyo


Onesha contents za matusi za huyo Ben saanane , maana mwisho wa siku huwa mnakurupuka kwenda mahakamani mkiwa hakuna ushahidi

Mbona wanaomchukia wako wengi sana babu
 
Back
Top Bottom