Return Of Undertaker
JF-Expert Member
- Jun 12, 2012
- 4,572
- 26,868
Ni jambo jema!
Kila mmoja natakiwa kutafuta na kujigharamia. Maana unapoenda hospitali si umejigharamia mwenyewe? Kuna mtu amekulipia japo nauli?hizo barakoa wmewagawia RAIA ama
hadi vijijini?Ni maelekezo mazuri. Na inatakiwa uwe ndio mwongozo wa maeneo yote yanayotoa huduma kwa umma.
Nilivaa kitambaa siku moja nilikuwa in 30minutes.Na huo ndio ulitakiwa uwe mwongozo hususan maeneo yaliyoathirika zaidi kama Dar es Salaam. Mtu yeyote in public ni lazima avae barakoa; popote pale. Sio lazima ziwe special, hata vitambaa watu wafunike midomo na pua itasaidia. Badala yake tunajiendea tu!
... tusitake kila kitu kugawiwa! Kwani nguo ulizovaa umegawiwa na nani kwa mfano? Barakoa ni kifunika mdomo na pua; tafuta kitambaa safi jifunike na hakikisha unabadilisha kila baada ya muda. Kilichotumika kinafuliwa that's all! Chonde chonde Serikali enforce hii kitu; huko kwenye mavituo ya daladala and other congested public areas watu wanapayukapayuka ovyo kitu inayoweza ku-accelerate maambukizi!hizo barakoa wmewagawia RAIA ama
Naona serikali mda wote inabadilisha gia angani naa tutaona hatua ngumu mjiandae.Kuanzia kesho tarehe 17/04/2020 wagonjwa , ndugu wa wagonjwa na wadau watakaofika Taasisi ya tiba ya mifupa- MOI kupata huduma watatakiwa kuvaa Barakoa (Mask), lengi ikiwa ni kuwakinga na maambukizi ya #CoronaVirus.
#CoronaTanzania #VifoVyaCorona #MaambukiziCorona #CoronaInfection
Sent using Jamii Forums mobile app
Itakuwaje wanaokwenda kung'oa meno.
Hata vijijini. Maelekezo yatolewe. Watu waanze kulalamikia upatikanaji. Ndipo titakapojua tatizo la upatikanaji. Tusipoweka vigezo, hatutayajua mapungufu.hadi vijijini?
sureHata vijijini. Maelekezo yatolewe. Watu waanze kulalamikia upatikanaji. Ndipo titakapojua tatizo la upatikanaji. Tusipoweka vigezo, hatutayajua mapungufu.