Taasisi ya Ocen Road yaeleza mchanganuo wa huduma ya Saratani wanavyotoa

Taasisi ya Ocen Road yaeleza mchanganuo wa huduma ya Saratani wanavyotoa

DodomaTZ

Senior Member
Joined
May 20, 2022
Posts
161
Reaction score
200
•Taasisi ya Saratani Ocean ni hospital ya taifa kwa utoaji huduma za saratani hapa Tanzania.

•Huduma zinazotelewa zinajumuisha elimu ya afya, saratani,chanjo za saratani,uchunguzi wa awali ,vipimo,tiba, mafunzo na tafiti za saratani.

•Taasisi inahudumia wagonjwa kutoka ndani ya nchi wa nje ya nchi, kama vile Zambia,Malawi,Comoro,Burundi,Msumbiji n.k.

•Katika safari ya matibabu ya saratani, mgonjwa hupitia hatua mbali mbali ili kuhakikisha anapata huduma iliyo bora kuanzia usajili hadi kupata tiba.
 
Back
Top Bottom