Mazindu Msambule
JF-Expert Member
- Feb 22, 2012
- 7,509
- 6,862
Wakati zzk akiwa mwenyekiti wa PAC aliwahi kusema hivi, "Pride ilikua ni moja kati ya taasisi za umma na hata CAG alikua akikagua hesabu zake, from no where imepotea katika vitabu vya hesabu za mashirika ya UMMA, nini kimetokea!!"
So huwezi jua labda malaika mkuu anataka kuirudisha kwa wamiliki wake halali wa zamani; tusubiri kwanza.
So huwezi jua labda malaika mkuu anataka kuirudisha kwa wamiliki wake halali wa zamani; tusubiri kwanza.