Lazima tuishi kama masheitwaaaniTaasisi zote ambazo there targeted customer ni micro enterprenuers Predict tu zitakubwa na hii hali Ya mufilisi sbb Ya multiplier effects wafanyakaz wa serikali na taasisi ambao walikuwa ndo spenders wakubwa wame cut there spendin kwa kiwango kikubwa mno so sustainin Ya Micro Enterprenuers in some markets ilishakuwa ngumu
https://www.google.com/url?sa=t&sou...ImZx4zBruSdcaV5ZA&sig2=WhHXrEcl1mqYr9kVJXzqOQTangu kipindi cha uchaguzi mkuu taasisi hii ilianza kusuasua katika utoaji wa mikopo. Kuna wanachama walioomba mikopo toka mwezi wa nane hadi leo hawajapatiwa mikopo hali iliyopelekea wateja wengi kukosa imani na taasisi hii na karibu 60% wamejifuta uanachama.
Cha ajabu na cha kushangaza hata wale wanaojifuta bado wanasumbuliwa kupewa akiba zao, wengi wao wana miezi 2-3 baada ya kujifuta uanachama ila hawajapewa akiba zao kila siku imekuwa kesho kesho.
Tunaomba mamlaka zinazohusika ziingilie kati ili akiba fedha zetu zisidhurumiwe
Pride Sasa inatoa mikopo ya mtu mmoja mmoja Kuanzia 5M-50M.Kwanza ziwezi kukopa Pride tena,,mambo ya kupeleka marejesho kila wiki,harafu eti unasimama mbele ya darasa unapoomba mkopo,ajabu kubwa ni pale ambapo mtu mmoja kama hajaleta rejesho basi meki nzima hamtoki mnachanga hadi pesa itimie,,mtu unataka million moja unaambiwa uwe na mali isiyohamishika,mali isiyohamishika ni kiwanja,nyumba na shamba basi.sasa kuna nyumba ya milion moja? Kifupi wale wamefirisika kwa sababu wateja wanakimbia,kwanza kuanza eti ni lazima upewe laki tatu na nusu na si zaidi ya hapo.mkuu achana na mikopo ya vikundi,njoo benki wala hakuna mashariti makubwa kama ya huko.nenda ACCESS BANK/
Labda nao walikuwa wapiga dili
Kila kitu kuhusu Pride kinapatikana hapa.Unaijuia vizuri historia ya kuanzishwa kwa PRIDE. Unawajua wana hisa wake?
Mkuu huku niliko hakuna ACCESS BANKKwanza ziwezi kukopa Pride tena,,mambo ya kupeleka marejesho kila wiki,harafu eti unasimama mbele ya darasa unapoomba mkopo,ajabu kubwa ni pale ambapo mtu mmoja kama hajaleta rejesho basi meki nzima hamtoki mnachanga hadi pesa itimie,,mtu unataka million moja unaambiwa uwe na mali isiyohamishika,mali isiyohamishika ni kiwanja,nyumba na shamba basi.sasa kuna nyumba ya milion moja? Kifupi wale wamefirisika kwa sababu wateja wanakimbia,kwanza kuanza eti ni lazima upewe laki tatu na nusu na si zaidi ya hapo.mkuu achana na mikopo ya vikundi,njoo benki wala hakuna mashariti makubwa kama ya huko.nenda ACCESS BANK/
Pitia bandiko la Pascal Mayalla.Tupe kahistoria kafupi mkuu kuna mafisadi ndani yake nn?
Huenda Simba aliogopa Taasisi kurejeshwa serikalini maana no Mali ya serikalini, jinsi ilivyotoka serikalini hakuna anayejuaTangu kipindi cha uchaguzi mkuu taasisi hii ilianza kusuasua katika utoaji wa mikopo. Kuna wanachama walioomba mikopo toka mwezi wa nane hadi leo hawajapatiwa mikopo hali iliyopelekea wateja wengi kukosa imani na taasisi hii na karibu 60% wamejifuta uanachama.
Cha ajabu na cha kushangaza hata wale wanaojifuta bado wanasumbuliwa kupewa akiba zao, wengi wao wana miezi 2-3 baada ya kujifuta uanachama ila hawajapewa akiba zao kila siku imekuwa kesho kesho.
Tunaomba mamlaka zinazohusika ziingilie kati ili akiba fedha zetu zisidhurumiwe
Mmhh!!!Taasisi zote ambazo there targeted customer ni micro enterprenuers Predict tu zitakubwa na hii hali Ya mufilisi sbb Ya multiplier effects wafanyakaz wa serikali na taasisi ambao walikuwa ndo spenders wakubwa wame cut there spendin kwa kiwango kikubwa mno so sustainin Ya Micro Enterprenuers in some markets ilishakuwa ngumu
Kipi hicho.NINI PRIDE ,,KIKO KIWANDA CHA VINYWAJI ,, NI BAHATI KWELI KIKISALIKIKA WITHIN 2 YEARS BILA KUFUNGWA TUVUTE SUBRA...
Pride Sasa inatoa mikopo ya mtu mmoja mmoja Kuanzia 5M-50M.
Sikiliza hapa
Paskali
Basi hapo kazi unayo,achana na PRIDE wamechoka wale,kwanza mikopo ya vikundi ni mambo ya akina mama hayoMkuu huku niliko hakuna ACCESS BANK
Niliipata mkuuPitia bandiko la Pascal Mayalla.