Ndugu wana jamvi, huku Igunga hali ni tete kwa CDM, wamebaki kiutafuta watu vijiweni ili wajaze mkutano wao wa ufunguzi. Mgombea wao hana mvuto kwa wapiga kura, DR. Kafumu ushindani mdogo utatoka kwa mgombea wa CUF, lakini CDM mambo ni mazito, SERA zenu za kutamka POSHO hamtaki huku USIKU mkizichukua hazina tija kwa wapiga kura wa Igunga. Dr. Kafumu ni tunu kwa Igunga na kiashirio cha maendeleo ya IGUNGA.
Nipo hapa Igunga madukani muda huu, CDM kwisha kazi pamoja na matangazo ya magari juu ya ufunguzi wao leo, mwitikio ni mdogo sana! Poleni wana CDM Igunga na Arusha sehemu mbili tofauti, Huku Igunga hakuna vijana wa kuleta fujo ambao huwa wanajaza maandamano yenu na mikutano.
Ndugu wana jamvi, huku Igunga hali ni tete kwa CDM, wamebaki kiutafuta watu vijiweni ili wajaze mkutano wao wa ufunguzi. Mgombea wao hana mvuto kwa wapiga kura, DR. Kafumu ushindani mdogo utatoka kwa mgombea wa CUF, lakini CDM mambo ni mazito, SERA zenu za kutamka POSHO hamtaki huku USIKU mkizichukua hazina tija kwa wapiga kura wa Igunga. Dr. Kafumu ni tunu kwa Igunga na kiashirio cha maendeleo ya IGUNGA.
Nipo hapa Igunga madukani muda huu, CDM kwisha kazi pamoja na matangazo ya magari juu ya ufunguzi wao leo, mwitikio ni mdogo sana! Poleni wana CDM Igunga na Arusha sehemu mbili tofauti, Huku Igunga hakuna vijana wa kuleta fujo ambao huwa wanajaza maandamano yenu na mikutano.
Asante kwa taarifa. Kama upo Igunga tunaomba ututumie picha za huko.
Ndugu wana jamvi, huku Igunga hali ni tete kwa CDM, wamebaki kiutafuta watu vijiweni ili wajaze mkutano wao wa ufunguzi. Mgombea wao hana mvuto kwa wapiga kura, DR. Kafumu ushindani mdogo utatoka kwa mgombea wa CUF, lakini CDM mambo ni mazito, SERA zenu za kutamka POSHO hamtaki huku USIKU mkizichukua hazina tija kwa wapiga kura wa Igunga. Dr. Kafumu ni tunu kwa Igunga na kiashirio cha maendeleo ya IGUNGA.
Nipo hapa Igunga madukani muda huu, CDM kwisha kazi pamoja na matangazo ya magari juu ya ufunguzi wao leo, mwitikio ni mdogo sana! Poleni wana CDM Igunga na Arusha sehemu mbili tofauti, Huku Igunga hakuna vijana wa kuleta fujo ambao huwa wanajaza maandamano yenu na mikutano.
Leo nimeshangaa, sikujua kama CDM inapendwa hivi nimeudhuria ufunguzi wa kampeni za CDM hapa igungu zimefana watu kibao.
Dr slaa aeleza uchafu wa CCM na mbinu zake za kuchakachua matokeo wakishirikiana na CUF.
CDM ndio chaguo la wana Igunga nimeshuhudia kwa macho.
Nitawawekeeni picha muone muamininamkiri CDM ndio chama.
Post updated:
aaaa!!!unatapatapa we hapo uko igunga?hebu husiwadanganye wana jf.wana jf mtapata taarifa za pichahuku hali si nzuri, cdm inaona aibu kuwajuza mlio mbali nje ya igunga. Walifikiri mteremko, mpambano hapa ni ccm na cuf vyama vingine vimekuja kushiriki na si kushindana.
Huku hali si nzuri, CDM inaona aibu kuwajuza mlio mbali nje ya Igunga. Walifikiri mteremko, mpambano hapa ni CCM na CUF vyama vingine vimekuja kushiriki na si KUSHINDANA.
aaaa!!!unatapatapa we hapo uko igunga?hebu husiwadanganye wana jf.wana jf mtapata taarifa za picha
Tuwekee picha za hayo mafuso, na idadi ya watu mkutanoni..<font size="4"><font color="#00ff00"><b>Hapa kuna fuso zimetoka Moshi na vijana ambao ni washiriki wa mkutano wa uzinduzli wa kampeni, wapiga kura za Igunga wamekaa nje ya mkutano. CDM aibu imewapata; wanaona aibu kupiga picha, wansubiri WACHAKACHUE HALAFU BAADAYE WAWATUMIE mlio nje ya Igunga</b></font></font><img src="/images/styles/JamiiForums/smilies/msela.gif" border="0" alt="" title="Msela" smilieid="334" class="inlineimg" />
Kitengo cha propaganda cha nape kiko kaziniNiko igunga lkn mpaka sasa hali ni mbaya kusema ukweli cdm hawana chao hapa, mpaka sasa maandalizi ya mkutano ni hafifu na uwanja hauna watu japokuwa umetangazwa tangu jana usiku kucha na leo cku nzima uwanja umejaa watoto wanaosikiliza mziki. Nadhani hapa mbowe hatakuja anaweza kuona aibu mie naondoka zangu.
Niko igunga lkn mpaka sasa hali ni mbaya kusema ukweli cdm hawana chao hapa, mpaka sasa maandalizi ya mkutano ni hafifu na uwanja hauna watu japokuwa umetangazwa tangu jana usiku kucha na leo cku nzima uwanja umejaa watoto wanaosikiliza mziki. Nadhani hapa mbowe hatakuja anaweza kuona aibu mie naondoka zangu.