Pin ya bomu na maganda ya risasi yaliyookotwa katika uwanja wa soweto Arusha na wanajeshi yamegundulika kuwa ni toleo la kisasa mno na pia ni bidhaa za kiwanda cha China na zimezalishwa mwaka huu ktk kiwanda husika.
Bidhaa hizi zimekutwa zote zimetengenezwa katika kiwanda kimoja na ni bidhaa zilizowekwa serial numbers za mwaka huu na zinafuatana kwa kupishana degits chache sana, jambo ambalo linadhihirisha kuwa mtupaji/watupaji wa bomu na mpigaji/wapigaji wa risasi za moto ni kundi moja au ni mtu moja.
Mwanajeshi mmoja aliyekuwepo kwenye operation husika ametonya kuwa uchunguzi huu ulifanyika kwa maamuzi yao binafsi baada ya kushangazwa na aina ya Pin inayodhaniwa kuwa imesalia baada ya bomu husika kulipuka kuonekana kuwa ni unique sana tofauti na aina za mabomu waliyoyazoea na wanayoyamiliki kama jeshi. Wamegundua mabaki ya silaha hizi ni bidhaa mpya ambazo bado hazijawahi kutumika katika majeshi ya TZ(hasa bomu husika).
Waliamua kukagua maganda ya risasi za moto na pin husika na kuchukua serial numbers wakaingia kwenye search engines na ndipo wakagundua kuwa bidhaa hizo ni za mwaka huu na zimezalishwa ktk kiwanda kimoja cha serikali ya China.
hizo story ambazo zimekuwa zikisikika kuwa kuna wafanyabiashara ambao wanashirikiana na watawala kuingiza bidhaa nchini kwa ushuru mdogo na saa nyingine bila kukaguliwa zisije zikawa zimejumuisha makontena ya ya risasi na mabomu nasi tunajidanganya kuwa ni kisiwa cha amani!
Pin ya bomu na maganda ya risasi yaliyookotwa katika uwanja wa soweto Arusha na wanajeshi yamegundulika kuwa ni toleo la kisasa mno na pia ni bidhaa za kiwanda cha China na zimezalishwa mwaka huu ktk kiwanda husika.
Bidhaa hizi zimekutwa zote zimetengenezwa katika kiwanda kimoja na ni bidhaa zilizowekwa serial numbers za mwaka huu na zinafuatana kwa kupishana degits chache sana, jambo ambalo linadhihirisha kuwa mtupaji/watupaji wa bomu na mpigaji/wapigaji wa risasi za moto ni kundi moja au ni mtu moja.
Mwanajeshi mmoja aliyekuwepo kwenye operation husika ametonya kuwa uchunguzi huu ulifanyika kwa maamuzi yao binafsi baada ya kushangazwa na aina ya Pin inayodhaniwa kuwa imesalia baada ya bomu husika kulipuka kuonekana kuwa ni unique sana tofauti na aina za mabomu waliyoyazoea na wanayoyamiliki kama jeshi. Wamegundua mabaki ya silaha hizi ni bidhaa mpya ambazo bado hazijawahi kutumika katika majeshi ya TZ(hasa bomu husika).
Waliamua kukagua maganda ya risasi za moto na pin husika na kuchukua serial numbers wakaingia kwenye search engines na ndipo wakagundua kuwa bidhaa hizo ni za mwaka huu na zimezalishwa ktk kiwanda kimoja cha serikali ya China.
Pin ya bomu na maganda ya risasi yaliyookotwa katika uwanja wa soweto Arusha na wanajeshi yamegundulika kuwa ni toleo la kisasa mno na pia ni bidhaa za kiwanda cha China na zimezalishwa mwaka huu ktk kiwanda husika.
Bidhaa hizi zimekutwa zote zimetengenezwa katika kiwanda kimoja na ni bidhaa zilizowekwa serial numbers za mwaka huu na zinafuatana kwa kupishana degits chache sana, jambo ambalo linadhihirisha kuwa mtupaji/watupaji wa bomu na mpigaji/wapigaji wa risasi za moto ni kundi moja au ni mtu moja.
Mwanajeshi mmoja aliyekuwepo kwenye operation husika ametonya kuwa uchunguzi huu ulifanyika kwa maamuzi yao binafsi baada ya kushangazwa na aina ya Pin inayodhaniwa kuwa imesalia baada ya bomu husika kulipuka kuonekana kuwa ni unique sana tofauti na aina za mabomu waliyoyazoea na wanayoyamiliki kama jeshi. Wamegundua mabaki ya silaha hizi ni bidhaa mpya ambazo bado hazijawahi kutumika katika majeshi ya TZ(hasa bomu husika).
Waliamua kukagua maganda ya risasi za moto na pin husika na kuchukua serial numbers wakaingia kwenye search engines na ndipo wakagundua kuwa bidhaa hizo ni za mwaka huu na zimezalishwa ktk kiwanda kimoja cha serikali ya China.
mwigulu lameck nchemba
chadema mbona mnaweweseka sana baada ya kusikia chagonja amekabidhiwa rungu
Hakuna kitu kinachoweza kuonekana kwa urahisi katika scanners za mizigo kama ammunitions. Hizo silaha zimeingia kwa utaratibu wa kawaida wa serikali. Hatudanganyiki tena?hizo story ambazo zimekuwa zikisikika kuwa kuna wafanyabiashara ambao wanashirikiana na watawala kuingiza bidhaa nchini kwa ushuru mdogo na saa nyingine bila kukaguliwa zisije zikawa zimejumuisha makontena ya ya risasi na mabomu nasi tunajidanganya kuwa ni kisiwa cha amani!
Sawa, subiri.....mtaruka ruka sana chadema lakini kwa hili tukio hamchomoki
chadema mbona mnaweweseka sana baada ya kusikia chagonja amekabidhiwa rungu
Changoja ni mdudu gani tena? wangekuja FBI ningefurahi sana siyo huyo mhuni wa CCM....