Taarifa za mikopo midogo midogo ya kibiashara!

Samahanini wana jf mimi nina vifaa vya salon ya kike nina kila kitu sasa nachohitaji ni bank gani inayoweza kunipatia mkopo wa laki 5 tu nataka nikodishe flem nifungue salon problem yangu ni kodi vifaa ninavyo na wateja ninao ni mzoefu wa kazi ya salon

Vip mkuu ushafanikiwa? Au tufanye kazi pamoja kama vip
 
Saccos zinaonekana kuwa na riba ndogo na mkombozi kwa wafanya biashara ndogo. Ukweli ni kinyume, labda kama hesabu haipo karibu nawe. Unakuwa na akiba ya 30% ya mkopo unaochukua. Riba unalipia pamoja na akiba yako!
 
hyo TIB bado inafurusa? maana m ninashamba ekali 7 halina hati ila nataka kulilima mazao kama tikiti, hoho, nyaya, na mbogamboga, je wanaweza kunipa mkopo? maana changamoto ni maji na mbegu, manpower ipo, mwenye uelewa plz
 
Saccosi nyingine ni viini macho kwa mfano kuna Saccos Shinyanga usipo rejesha rejesho unapigwa faini ya 50% hii nidhuruma.
 
mi naona hata hiyo ya kumlipa mstaafu kwa mwezi mwezi pia haitomkomboa. Hela itaishia kwenye chakula na matumizi madogo madogo. Nashauri wapewe fungu lao lote then wapewe trainning ya namna wataanzisha japo biashara ndogo ndogo.

Nashauli wastaafu watumie pesa zao kuendeleza biashara walizokuwa nazo kabla ya kustaafu lkn kuanzisha biashara hawawezi kutoboa, otherwise wawekeze kwa taasisi ambazo ziko kazini muda mlefu. Pia tuzingatie nini maana ya kustaafu
 
Riba za mabenki na taasisi nyingine za fedha ni issue. Zote ni kama zinafanana, around 20% p.a. Wengine wajanja wanakuambia riba ni 2% kwa mwezi. Usipoelewa umeliwa.
Ukipiga maesabu unakuta umelipa 2*12 =24
Kwa iyo unakuta umelipa tayari asilimia 24 na kama ndio miaka 2 inakuwa ndio 48%
 
A
hyo TIB bado inafurusa? maana m ninashamba ekali 7 halina hati ila nataka kulilima mazao kama tikiti, hoho, nyaya, na mbogamboga, je wanaweza kunipa mkopo? maana changamoto ni maji na mbegu, manpower ipo, mwenye uelewa plz
Andaa andiko la mradi, hizo changamoto ndo uziombee mkopo, kwa mfano maji andikia kuchimba kisima, na mbegu andikia gharama yake, wakisoma wakakubali kwamba utaweza kumake money wataku-fund!
 
: CROWDRISING ni Taasisi Ambayo ipo duniani ikiwa na Nia na lengo la kusaidia duniani au jamii iliyopo duniani kujikwamua yenyewe kiuchumi, Yaaaani CROWDRISING wenyewe wametoa tu MFUMO Narudia tena MFUMO, ambao wanajamii ambao ni mimi na wewe tunatumia au tunautumia au utautumia wewe pindi utakapojiunga KUJIKWAMUA KIUCHUMI
HISTORIA CROWDRISING ni Taasisi iliyoanzishwa MAY 2016 nchini Canada.

Lengo Kuu la hii Taasisi ni kuisaidia dunia (jamii husika ya mahali husika iweze kujikwamua yenyewe kiuchumi kwa njia ya wanajamii wenyewe kuweza kusaidiana kwa kuinuana kiuchumi kwa njia ya KUCHANGIANA.

Sasa basi mnachangianaje na kunyanyuana kiuchumi / kifedha?

Ili uweze kujiunga na Fursa hii ya CROWDRING ni lazima ujiunge kwa kumpatia / kumchangia / kumtumia moja kwa moja kwenye simu yake (tigo pesa, mpesa, airtel money, ezy pesa, PayPal, Bitcoin, Western Union, Bank za kawaida n.k Kiasi cha shilingi 20000 / = Yule aliyekupa / kushirikisha fursa hii ambaye atakuwa ni Mwanachama wa CROWDRISING Ili akusajili. Fedha hiyo itakuwa ni yake moja kwa moja.

Hivyo
Unatoa / kuchangia 20000 kwa aliyekushirikisha Fursa hii (mama) ..

GRADE 1

Kisha wewe unatakiwa (kushirikisha) watu 5....na kila mmoja atakupatia / kukuchangia na wewe 20000 Tsh. ( za Kwako hizo huwarudishii) ZAKO

5× 20000= 100,000/=

GRADE 2

Kwenye hiyo 100,000 unatakiwa kuchangia 40,000 kwa mtu alomuunganisha alokuunganisha wewe (Bibi/babu) , kwa lugha rahisi ni kwamba una changia hiyo hela kwa Babu/Bibi yako.

So, itakuwa
100,000-40,000= Utabakiwa na Tsh 60,000/=

60000-20,000 (Mtaji ile uliyotoa kwanza )= 40,000/=

40,000 ndo faida kutokana na watu wako wale watano.

2. Hao watano...kila mmoja ataunganisha watano kama ulivyofanya wewe...

Then itakuwa watu wako wa 5 (watoto) Wakishirikisha wa 5 wao= 25 Watu (wajukuu)

Na hao 25 Wakishirikisha wa 5 wao na wao watakuwa na 100,000 /=

Sasa basi kila mjukuu wako mmoja Atakuchangia Tsh 40,000 toka kwenye 100,000 zao kama wewe ulivyomchangia bibi yako 40,000 pale awali = SAWA??

Hivyo basi 40,000 X 25 wajukuu = Jumla ukapokea / changiwa kiasi cha Tsh 1,000,000/=

GRADE 3

Kwenye 1M yako Sasa hivi utamchangia wa juu yako zaidi 100,000=
1,000,000 -100,000= (900,000 hiyo faida yako utakula wewe na familia yako)

Hela inazidi kuongezeka tuuuu...

3) Na hao 25 kila mmoja akiunganisha watano ndani ya timu yako utakuwa na vitukuu 125. Na wao pia watakuchangia 100,000 kila mmoja

Tsh 100,000 X125 wajukuu unapata Milioni 12.5M

Tambua, CROWDRISING Kuna Grade ya 1 hadi Grade 15. Kwenye hiyo grade ya 3 Tayari una Milioni 12.5. Ukifika Grade ya 15 utakuwa na Mamilioni mangapi?

KARIBU CROWDRISING

HEBU TUACHE KUCHANGIANA VITU VINAVYOTAPANYA PESA, HARUSI, KITCHEN PARTY, KIPAIMARA N.K KARIBU UJIUNGE NA CROWDRISING NJOO TUCHANGIANE VITU VYA KUTUNYANYUA KIUCHUMI / KIFEDHA / ADA / UJENZI, MITAJI YA BIASHARA NA MAENDELEO MENGINE.

KUMBUKA
CROWD RISING haishiki fedha yoyote ya Mwanachama wake, KILA MWANACHAMA WA CROWDRISING ANASHIKA FEDHA ZAKE MWENYEWE KWENYE ACCOUNT YAKE MWENYEWE.
[8/30, 17:17] Lubango Seni✍: "ANGALIZO/TAMBUA"
1)Mfumo wa Crowd rising haupo kwa ajili ya kupokea/kutunza pesa bali kumuongoza mchangiaji ni nani anapaswa kumchangia,kiasi gani,na wakati gani.
2)Mfumo huu upo kumuongoza mchangiaji ni nani anapaswa kutumiwa pesa ili apandishwe daraja pindi anapohitajika/anapohitaji kupanda daraja.
3)Mfumo upo kumuongoza mchangiaji ni vikwazo gani atakavyokumbana navyo pindi atakavyochelewa kupanda daraja.
4)Mfumo upo kumuongoza mchangiaji ni kikwazo gani kitakachomsibu pindi atakapokuwa amepokea pesa toka kwa mchangiaji na akachelewa kumpandisha(kum-approve).
Mwana-Crowdrising unatakiwa kujifunza kwa makini na kuelewa namna ya kuwaunga watu kwenye huu mfumo kwa kutumia simu yako(smartphone kama unayo),laptop,au nenda kwenye internety cafe.
Ni muhimu kupata elimu hii ya kumuunga mtu ili nawe unapompata wa kumuunga na huu mfumo iwe rahisi kwako kumfundisha/kumuelekeza.
Karibu ili upate mafunzo haya na pia kwenye Semina mbalimbali uweze kupata mbinu za kupata watu wako watano.
Elimu hii ni bure. Ni PM au mpigie huyu mdau 0688778484
Mungu akubariki.
 
Nilitembelea nchini Marekani karibuni nchi ambayo miaka michache nilikuwa
Ahsante sana mkuu kwa taarifa,

Hata majirani zetu Kenya wako juu sana katika kutoa mikopo.

Hapa Tanzania, maafisa mikopo wamekaa benki na kula kiyoyozi wakisubiri watu tunaohangaika tuwafuate.

Ndiyo maana nadhani kwamba benki zetu zinaatamia pesa wakisubiri kupata vifaranga!!

nakula vitabu vyao. Kwa udadisi tu niliamua kwenda bank kuulizia wanafanyeje ukopeshaji wa pesa. Niliambiwa mkopo wa secured money ni free under one year period. Zaidi ya mwaka wanaanza charge kidogo za riba lakini haizidi 3%. Lakini bank za bongo ni mtindo mmoja tu kana kwamba
Asante babu kwa taarifa. Niliwahi ambiwa kuwa riba kwa unsecured loan ni kubwa sababu ya risk, hakuna mfumo wa kuwabana defaulters. Ila hayo Masharti ya CRDB si secure loan hiyo? Kwanini riba bado kubwa sana?

unawekeza rehani ya nyumba.

NIliporudi kuwaeleza maofisa wa bank fulani (jina kapuni) waliniambia wao wakati mwingine wakakopa pesa huko majuu ndio maana riba huwa juu sana ili kufidia kotekote. Hoja hii haijaniingia vizuri katika mikopo ya mabeni kwa mabenki kimabara.
Asante babu kwa taarifa. Niliwahi ambiwa kuwa riba kwa unsecured loan ni kubwa sababu ya risk, hakuna mfumo wa kuwabana defaulters. Ila hayo Masharti ya CRDB si secure loan hiyo? Kwanini riba bado kubwa sana?
 
Nilitembelea nchini Marekani karibuni nchi ambayo miaka michache nilikuwa
Ahsante sana mkuu kwa taarifa,

Hata majirani zetu Kenya wako juu sana katika kutoa mikopo.

Hapa Tanzania, maafisa mikopo wamekaa benki na kula kiyoyozi wakisubiri watu tunaohangaika tuwafuate.

Ndiyo maana nadhani kwamba benki zetu zinaatamia pesa wakisubiri kupata vifaranga!!
Hapana jamani msisingizie bank ya CRDB mimi ni mteja wa hali yakawaida sana,nimeshakopa zaidi ya mara moja vigezo vyao na masharti ni secure kabisa inataegemea na aina ya mkopo unao hitaji wewe,kwa kweli hamna mikopo mizuri kama ya CRDB Bank yaani unapewa mda mzuri kwa ajili ya marejesho
nakula vitabu vyao. Kwa udadisi tu niliamua kwenda bank kuulizia wanafanyeje ukopeshaji wa pesa. Niliambiwa mkopo wa secured money ni free under one year period. Zaidi ya mwaka wanaanza charge kidogo za riba lakini haizidi 3%. Lakini bank za bongo ni mtindo mmoja tu kana kwamba
Asante babu kwa taarifa. Niliwahi ambiwa kuwa riba kwa unsecured loan ni kubwa sababu ya risk, hakuna mfumo wa kuwabana defaulters. Ila hayo Masharti ya CRDB si secure loan hiyo? Kwanini riba bado kubwa sana?

unawekeza rehani ya nyumba.

NIliporudi kuwaeleza maofisa wa bank fulani (jina kapuni) waliniambia wao wakati mwingine wakakopa pesa huko majuu ndio maana riba huwa juu sana ili kufidia kotekote. Hoja hii haijaniingia vizuri katika mikopo ya mabeni kwa mabenki kimabara.
Asante babu kwa taarifa. Niliwahi ambiwa kuwa riba kwa unsecured loan ni kubwa sababu ya risk, hakuna mfumo wa kuwabana defaulters. Ila hayo Masharti ya CRDB si secure loan hiyo? Kwanini riba bado kubwa sana?
Hapana jamani msisingizie bank ya CRDB mimi ni mteja wa hali yakawaida sana,nimeshakopa zaidi ya mara moja vigezo vyao na masharti ni secure kabisa inataegemea na aina ya mkopo unao hitaji wewe,kwa kweli hamna mikopo mizuri kama ya CRDB Bank yaani unapewa mda mzuri kwa ajili ya marejesho












Asante babu kwa taarifa. Niliwahi ambiwa kuwa riba kwa unsecured loan ni kubwa sababu ya risk, hakuna mfumo wa kuwabana defaulters. Ila hayo Masharti ya CRDB si secure loan hiyo? Kwanini riba bado kubwa sana?
 
Crdb bank ni benki itoayo mikopo kwa riba nzuri na insurance ya mikopo yako ni hakika.Ata ikatokea ukapoteza maisha insurance Ile Italipa mikopo yako na Familia yako au ndugu kubaki salama bila deni.
 
Mikopo ya Crdb ni salama.Unapata riba na insurance ya mkopo wako ata ukipoteza maisha bahati mbaya familia haijikupata usumbufu WA madeni.
 
Crdb inatoa mikopo nafuu sana kulinganisha na Bank nyingine za kitanzania, kwanza katika utoaji wa mikopo wanatumia Reducing balance method ambayo mteja anakatwa kwa kila kiasi cha mkopo kilichobakia kwenye mkopo wake na hii inamuweka Mteja katika self side na kumpa mteja unafuu ya makato, minimteja wao wasiku nyingi na nimeshachukuwa mkopo Crdb riba yao ni nzuri sana.
 
Back
Top Bottom