Good, enoughL-pesa.com Hao watakupa mkopo lazima uwe na kitambulisho cha kupigia kura...na barua ya utamburisho kutoka serikali za mitaa...kila kitu utakijaza kwenye mtandak na baada ya nusu saa utapata mkopo...kuanzia 2000 hadi milioni 10...karibu sana
asante mkuuPole sana naamini wapo watakaoweza kukuazima ndugu
tatizo mkuu sinaga kitambulisho cha mpiga kura kilipotea jee naweza kusajili kingineL-pesa.com Hao watakupa mkopo lazima uwe na kitambulisho cha kupigia kura...na barua ya utamburisho kutoka serikali za mitaa...kila kitu utakijaza kwenye mtandak na baada ya nusu saa utapata mkopo...kuanzia 2000 hadi milioni 10...karibu sana
Nashindwa kutumia lpesa naomba nieleweshe.nimejiunga lakini nashindwa kopaL-pesa.com Hao watakupa mkopo lazima uwe na kitambulisho cha kupigia kura...na barua ya utamburisho kutoka serikali za mitaa...kila kitu utakijaza kwenye mtandak na baada ya nusu saa utapata mkopo...kuanzia 2000 hadi milioni 10...karibu sana
sijajua kama system yao inapokea vitamburisho vinginevyo....kama unayo leseni ya udereva unaweza kufanikiwa...tatizo mkuu sinaga kitambulisho cha mpiga kura kilipotea jee naweza kusajili kingine
umekamilisha usajili...? kwa kuweka vitamburisho pamoja na barua ya serikali ya mtaa unaoishi?Nashindwa kutumia lpesa naomba nieleweshe.nimejiunga lakini nashindwa kopa
L pesa sio utapeli kweli!umekamilisha usajili...? kwa kuweka vitamburisho pamoja na barua ya serikali ya mtaa unaoishi?
Mkuu l-pesa.com sio mataperi mimi mwenyewe nanufaika sana na mkopo wao...ila riba kidogo ipo juuL pesa sio utapeli kweli!
Mkuu muda huu nimeomba mkopo huo hapo angalia picha nasubiri wauthibitishe nitumiwe...hapo ni zaidi ya 147000L pesa sio utapeli kweli!
Asilimia ngapi? Wanakata kwa mikopo midogo ya milioni 1 mpaka 5Mkuu l-pesa.com sio mataperi mimi mwenyewe nanufaika sana na mkopo wao...ila riba kidogo ipo juu
Njoo hapo usome zaidi...ila ni lazima ufike point nyingi uweze kupata mkopo huo...Asilimia ngapi? Wanakata kwa mikopo midogo ya milioni 1 mpaka 5
MatapeliMsaada
Kuna hii Sacco's inaenda kwa jina la FUCOS VICOBA kwenye mandao wa facebook na wanadai kuwa mmoja wa wamiliki wake no mh Ridhiwani Kikwete. Je hii saccos ni ya kweli au ni utapeli?