Chilli
JF-Expert Member
- Jul 17, 2011
- 1,655
- 743
Chit-chat bwana..
Kila kukicha watu walewale, thread zilezile zenye manufaa yaleyale/upuuzi uleule
Si uhame jukwaa uende hata kwenye dini ukaabudu mama?
Chit-chat bwana..
Kila kukicha watu walewale, thread zilezile zenye manufaa yaleyale/upuuzi uleule
Kwenda kwa:mwenyekiti mahusiano Baba V
kk:sreening committee
yah:masikitiko makubwa
Kwa masikitiko makubwa nimepokea taarifa kutoka kwa mwenyekiti kuhusu uhusiano wa Ruttashobolwa kuvunjika rasmi,nikiwa kama mwanachitchat nimesikitishwa na tukio hilo.
Napenda kumpa pole ndugu Ruttashobolwa kwa yote yaliyomkuta,pia kama wanachitchat tuchukulie hili tukio sio kwa upande mmoja bali iwe kama fundisho kwa wote kwa kuangalia makosa yaliyotendeka nasi katika mahusiano yetu na ndoa zetu hapa chitchat ziweze kudumu na zisirudie makosa na chitchat iwe sehemu nzuri ya kifamilia na kulea watoto vizuri kama C6, charminglady na mtoto wao pekee tedo, Baba V na mama V na mtoto wao Chilli.
Asanteni sana.
Chimbuvu & Madame B
chit-chat bwana..
Kila kukicha watu walewale, thread zilezile zenye manufaa yaleyale/upuuzi uleule
Unaendeleaje mama kijacho!?
Yamefikia hapo tena?
Kukubali matokeo ni njia sahihi ya kulinda haki za wengine!
nimeuliza tu!
Hivi huyu Baba V ako wapi jamani ?
Baba V iiiiiiii
Unajua Baba V utaniuzi ujue?
Afu mi nna hasira mbaya !
Ohooo!
Hivi unataka huyu binti snowhite mpaka akukretie sredi kua anakutaka!
Mphoto huuoni ! Na miandishi pia ?
Haka kabinti mi nshakaridi longo fakini kanakutaka!
Tena kanakupenda mbaya!
Hapa kanajibaraguza mara choroko mara dengu !
Kameshatia maguu kunako 18 zako! Cheza na winga sasa!
Hadi kesho ningependa nisikie ushatupia kambani .
Hatuko hapa kulea kenge! Hapa ikijiseti unabatua tu! Mbere kwa mbere.
Ndoa ya pili ya uyu madame inatangazwa kuvunjwa,
Hivi kumbe kuna ndoa za mume zaidi ya mmoja?
Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums