Ofisi ya Mbunge Jimbo la Ubungo itakua inatoa taarifa kila wiki kupitia mitandao ya kijamii kuhusu taarifa ya utekezaji wa ahadi za mbunge wa ubungo, wakati huo huo ofisi inaendelea kuandaa kitabu cha taarifa ya utekeleza miaka miwili iliyopita. utakumbuka wakati mbunge akigombea mwaka 2010 alitumia agenda yake kuu ya AMUA-MASLAI YA UMMA KWANZA. neno AMUA lilisimama kwa maana ya;
A-Akili na Ajira
M-Miundombinu na Maji
U-Usalam na Uwajibikaji
A-Afya na Ardhi
leo ninaleta kwenu taarifa ya utekelezaji kwa kipengele cha AKILI kutoka kwy AMUA na namna alivyoweza kuisimamia serikali na kuishauri na hata michango yake ya moja kwa moja kwa mwaka wa 2012.
TAARIFA YA UTENDAJI YA MBUNGE KWA MWAKA 2012.
AKILI
06/05/2012 Mbunge alikabidhi vitabu vya kiada na ziada kwa Taasisi ya Maendeleo ya Ubungo (UDI)
04/09/2012 Mbunge amemchangia mkazi wa kimara matangini kiasi cha 35,0000.00 kwa ajili ya kununulia vifaa vya mtoto wake vya shule.
04/09/2012 Mbunge amemchangia mkazi wa kimara B Kiasi cha 100,000.00 kutoka katika mfuko wa elimu, kwa ajili ya mchango wa Ada.
04/09/2012 Mbunge amemchangia mkazi wa Makuburi Kiasi cha 100,000.00 kutoka katika mfuko wa elimu, kwa ajili ya mchango wa Ada.
Ujenzi wa madarasa katika shule ya Sekondari ya Makoka (4), gharama Tsh.9,223,350.00
Ujenzi wa madarasa katika shule ya Sekondari ya Hondogo (4), gharama Tsh. 9,223,350.00
Ujenzi wa choo shule ya msingi ya millennia ya tatu gharama Tsh. 6,770,745.48
Ujenzi wa madarasa manne shule ya sekondari Kibamba (Retention) Tsh. 6,370,870.00
Ujenzi wa madarasa katika shule ya sekondari ya makurumla, gharama Tsh.90, 133,512.75
Ujenzi wa madarasa 4 katika shule ya sekondari ya king'ongo, gharama Tsh. 20,031,210.00
Ukamilishaji wa ujenzi wa nyumba 2 za walimu, katika shule ya mbezi luis, gharama Tsh.30,000,000.00 ujenzi
umekamilika.
Ujenzi wa choo cha wanafunzi katika shule ya msingi mianzini-makurumla, gharama 20,000,000.00 ujenzi umekamilika.
Ujenzi wa choo cha wanafunzi katika shule ya msingi msakuzi-kwembe, gharama 24,000,000.00 ujenzi umekamilika.
Ujenzi wa madarasa mawili 2 katika shule ya msingi msakuzi – kwembe, gharama 36,000,000.00
Ujenzi wa choo cha wanafunzi, katika shule ya msingi msigani- msigani, gharama 24,000,000.00
Ujenzi wa choo cha wanafunzi , katika shule ya msingi makuburi jeshini –makuburi, gharama 24,000,000.00
Ujenzi wa choo cha wanafunzi , katika shule ya msingi jitihada – kimara, gharama 24,000,000.00 ujenzi umekamilika.
Ukarabati wa madarasa matatu katika shule ya msingi mianzini, gharama 10,000,000.00 kazi imekamilika.
Idadi ya madawati yaliyopelekwa katika shule za msingi.
[TABLE="class: MsoNormalTable"]
[TR]
[TD]Na
[/TD]
[TD]Shule
[/TD]
[TD="width: 267, bgcolor: transparent"]Idadi ya Madawati
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 48, bgcolor: transparent"]1
[/TD]
[TD="width: 291, bgcolor: transparent"]Millenia ya tatu-kimara
[/TD]
[TD="width: 267, bgcolor: transparent"]65
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 48, bgcolor: transparent"]2
[/TD]
[TD="width: 291, bgcolor: transparent"]Kimara Baruti-kimara
[/TD]
[TD="width: 267, bgcolor: transparent"]27
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 48, bgcolor: transparent"]3
[/TD]
[TD="width: 291, bgcolor: transparent"]Saranga-Saranga
[/TD]
[TD="width: 267, bgcolor: transparent"]27
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 48, bgcolor: transparent"]4
[/TD]
[TD="width: 291, bgcolor: transparent"]Kimara B-Saranga
[/TD]
[TD="width: 267, bgcolor: transparent"]13
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 48, bgcolor: transparent"]5
[/TD]
[TD="width: 291, bgcolor: transparent"]Jitihada- Kimara
[/TD]
[TD="width: 267, bgcolor: transparent"]11
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 48, bgcolor: transparent"]6
[/TD]
[TD="width: 291, bgcolor: transparent"]Makabe-Mbezi
[/TD]
[TD="width: 267, bgcolor: transparent"]13
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 48, bgcolor: transparent"]7
[/TD]
[TD="width: 291, bgcolor: transparent"]Msumi-Mbezi
[/TD]
[TD="width: 267, bgcolor: transparent"]19
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 48, bgcolor: transparent"]8
[/TD]
[TD="width: 291, bgcolor: transparent"]Mbezi Luis-Mbezi
[/TD]
[TD="width: 267, bgcolor: transparent"]13
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 48, bgcolor: transparent"]9
[/TD]
[TD="width: 291, bgcolor: transparent"]Mpakani- Kwembe
[/TD]
[TD="width: 267, bgcolor: transparent"]24
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 48, bgcolor: transparent"]10
[/TD]
[TD="width: 291, bgcolor: transparent"]Mburahati- Mburahati
[/TD]
[TD="width: 267, bgcolor: transparent"]23
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 48, bgcolor: transparent"]11
[/TD]
[TD="width: 291, bgcolor: transparent"]Muungano-Mburahati
[/TD]
[TD="width: 267, bgcolor: transparent"]15
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 48, bgcolor: transparent"]12
[/TD]
[TD="width: 291, bgcolor: transparent"]Kilungule – Kimara
[/TD]
[TD="width: 267, bgcolor: transparent"]30
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 48, bgcolor: transparent"]13
[/TD]
[TD="width: 291, bgcolor: transparent"]Kibesa – Mbezi
[/TD]
[TD="width: 267, bgcolor: transparent"]50
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 48, bgcolor: transparent"]14
[/TD]
[TD="width: 291, bgcolor: transparent"]King'ongo- Saranga
[/TD]
[TD="width: 267, bgcolor: transparent"]50
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 48, bgcolor: transparent"]15
[/TD]
[TD="width: 291, bgcolor: transparent"]Karume – Makurumla
[/TD]
[TD="width: 267, bgcolor: transparent"]08
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 48, bgcolor: transparent"]16
[/TD]
[TD="width: 291, bgcolor: transparent"]Mavurunza-Kimara
[/TD]
[TD="width: 267, bgcolor: transparent"]40
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 48, bgcolor: transparent"]17
[/TD]
[TD="width: 291, bgcolor: transparent"]Mwongozo- Makuburi
[/TD]
[TD="width: 267, bgcolor: transparent"]19
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 48, bgcolor: transparent"]18
[/TD]
[TD="width: 291, bgcolor: transparent"]Malamba Mawili-Msigani
[/TD]
[TD="width: 267, bgcolor: transparent"]49
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 48, bgcolor: transparent"]19
[/TD]
[TD="width: 291, bgcolor: transparent"]Upendo- Saranga
[/TD]
[TD="width: 267, bgcolor: transparent"]39
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 48, bgcolor: transparent"]20
[/TD]
[TD="width: 291, bgcolor: transparent"]Mbezi na Ufundi- Mbezi
[/TD]
[TD="width: 267, bgcolor: transparent"]48
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 48, bgcolor: transparent"]22
[/TD]
[TD="width: 291, bgcolor: transparent"]Mianzini- Makurumla
[/TD]
[TD="width: 267, bgcolor: transparent"]29
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 48, bgcolor: transparent"][/TD]
[TD="width: 291, bgcolor: transparent"]JUMLA
[/TD]
[TD="width: 267, bgcolor: transparent"]580
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
Manispaa ya kinondoni ilinunua maabara 10 zinazohamishika na kusambazwa katika shule za sekondari za kwembe, Matosa,Goba, Makurumla na Mabibo.
Ujenzi wa vyumba vya madarasa 8 katika shule ya sekondari king'ong'o- Saranga, gharama ya mradi Tsh. 160,279,000.55.
Ujenzi wa vyumba vya madarasa 6 shule ya sekondari ya Fahari-Goba, gharama ya mradi Tsh. 107,936,600.00.
Ujenzi wa vyumba vya madarasa 4 shule ya sekondari Goba ‘A' – Goba, gharama ya mradi Tsh.68, 276,400.00
Ujenzi wa vyumba vya madarasa 4 shule ya sekondari kwembe- Kwembe, gharama za mradi Tsh.65,860,000.00
Ujenzi wa vyumba vya madarasa 4 shule ya sekondari malamba mawili – Msigani, gharama ya mradi 65,860,000.00
Ujenzi wa vyumba vya madarasa 4 shule ya sekondari kiluvya- kibamba, gharama ya mradi Tsh.74,089,400.00
Ujenzi wa vyumba vya madarasa 6 shule ya sekondari kibwegere-Kibamba, gharama ya mradi Tsh.107,981,200.00
Ujenzi wa vyumba vya madarasa 6 shule ya sekondari kibweheri- Kibamba, gharama ya mradi Tsh.107, 981,200.00
Ujenzi wa vyumba vya madarasa 4 shule ya sekondari ya Goba Mpakani- Goba, gharama ya mradi Tsh.36,044,000.00
Ujenzi wa vyumba vya madarasa 4 shule ya sekondari ya Makoka- Makuburi, gharama ya mradi Tsh.38,058,000.00
Ujenzi wa vyumba vya madarasa 4 shule ya sekondari ya Hondogo-Kibamba, gharama ya mradi Tsh.33,139,000.00
Ujenzi wa vyumba vya madarasa 6 shule ya sekondari Gogoni-Kibamba, gharama ya mradi Tsh.122, 735,800.00
Ujenzi wa vyumba vya madarasa 6 shule ya sekondari Kinzudi-Goba, gharama ya mradi Tsh.109,653,400.00
Ujenzi wa vyumba vya madarasa 4 shule ya sekondari luguruni-Kwembe, gharama ya mradi Tsh.81,214,506.00
Ujenzi wa vyumba vya madarasa 6 shule ya sekondari King'ong'o- Saranga, gharama ya mradi Tsh. 112,994,845.00
Ujenzi wa vyumba vya madarasa 4 shule ya sekondari King'ong'o – Saranga, gharama ya mradi Tsh.67,356,000.00
Ujenzi wa vyumba vya madarasa 6 shule ya sekondari Mabibo phase 2 – Mabibo, gharama ya mradi Tsh.198,276,000.00
Ujenzi wa vyumba vya madarasa 10 shule ya sekondari makurumla phase 2 – Makurumla, gharama ya mradi Tsh380,668,901.00
[TABLE="class: MsoNormalTable"]
[TR]
[TD="colspan: 2"]S/NA
[/TD]
[TD]SHULE
[/TD]
[TD="width: 287, bgcolor: transparent"]MEZA NA VITI
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 45, bgcolor: transparent, colspan: 2"]1
[/TD]
[TD="width: 263, bgcolor: transparent"]Y.N MAKAMBA
[/TD]
[TD="width: 287, bgcolor: transparent"]400
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 45, bgcolor: transparent, colspan: 2"]2
[/TD]
[TD="width: 263, bgcolor: transparent"]MBURAHATI
[/TD]
[TD="width: 287, bgcolor: transparent"]200
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 45, bgcolor: transparent, colspan: 2"]3
[/TD]
[TD="width: 263, bgcolor: transparent"]MANZESE
[/TD]
[TD="width: 287, bgcolor: transparent"]150
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 45, bgcolor: transparent, colspan: 2"]4
[/TD]
[TD="width: 263, bgcolor: transparent"]MAKURUMLA
[/TD]
[TD="width: 287, bgcolor: transparent"]150
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 45, bgcolor: transparent, colspan: 2"]5
[/TD]
[TD="width: 263, bgcolor: transparent"]KING'ONG'O
[/TD]
[TD="width: 287, bgcolor: transparent"]152
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 45, bgcolor: transparent, colspan: 2"]6
[/TD]
[TD="width: 263, bgcolor: transparent"]MUGABE
[/TD]
[TD="width: 287, bgcolor: transparent"]150
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 45, bgcolor: transparent, colspan: 2"]7
[/TD]
[TD="width: 263, bgcolor: transparent"]KIBAMBA
[/TD]
[TD="width: 287, bgcolor: transparent"]150
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 45, bgcolor: transparent, colspan: 2"]8
[/TD]
[TD="width: 263, bgcolor: transparent"]MUGABE
[/TD]
[TD="width: 287, bgcolor: transparent"]100
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 45, bgcolor: transparent, colspan: 2"]9
[/TD]
[TD="width: 263, bgcolor: transparent"]HONDOGO
[/TD]
[TD="width: 287, bgcolor: transparent"]150
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 45, bgcolor: transparent, colspan: 2"]10
[/TD]
[TD="width: 263, bgcolor: transparent"]MAKOKA
[/TD]
[TD="width: 287, bgcolor: transparent"]150
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 45, bgcolor: transparent, colspan: 2"]11
[/TD]
[TD="width: 263, bgcolor: transparent"]MALAMBA MAWILI
[/TD]
[TD="width: 287, bgcolor: transparent"]150
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 45, bgcolor: transparent, colspan: 2"]12
[/TD]
[TD="width: 263, bgcolor: transparent"]MABIBO
[/TD]
[TD="width: 287, bgcolor: transparent"]75
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 45, bgcolor: transparent, colspan: 2"]13
[/TD]
[TD="width: 263, bgcolor: transparent"]KWEMBE
[/TD]
[TD="width: 287, bgcolor: transparent"]150
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 45, bgcolor: transparent, colspan: 2"]14
[/TD]
[TD="width: 263, bgcolor: transparent"]TEMBONI
[/TD]
[TD="width: 287, bgcolor: transparent"]149
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 45, bgcolor: transparent, colspan: 2"]15
[/TD]
[TD="width: 263, bgcolor: transparent"]MPIJI MAGOHE
[/TD]
[TD="width: 287, bgcolor: transparent"]150
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 45, bgcolor: transparent, colspan: 2"]16
[/TD]
[TD="width: 263, bgcolor: transparent"]KIBWEGERE
[/TD]
[TD="width: 287, bgcolor: transparent"]150
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 41, bgcolor: transparent"]17
[/TD]
[TD="width: 267, bgcolor: transparent, colspan: 2"]MBEZI IN
[/TD]
[TD="width: 287, bgcolor: transparent"]150
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 41, bgcolor: transparent"]18
[/TD]
[TD="width: 267, bgcolor: transparent, colspan: 2"]MATOSA
[/TD]
[TD="width: 287, bgcolor: transparent"]150
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]