Taarifa ya utekelezaji wa mbunge John Mnyika

Taarifa ya utekelezaji wa mbunge John Mnyika

Lua

JF-Expert Member
Joined
May 19, 2011
Posts
704
Reaction score
305
Ofisi ya Mbunge Jimbo la Ubungo itakua inatoa taarifa kila wiki kupitia mitandao ya kijamii kuhusu taarifa ya utekezaji wa ahadi za mbunge wa ubungo, wakati huo huo ofisi inaendelea kuandaa kitabu cha taarifa ya utekeleza miaka miwili iliyopita. utakumbuka wakati mbunge akigombea mwaka 2010 alitumia agenda yake kuu ya AMUA-MASLAI YA UMMA KWANZA. neno AMUA lilisimama kwa maana ya;


A-Akili na Ajira
M-Miundombinu na Maji
U-Usalam na Uwajibikaji
A-Afya na Ardhi

leo ninaleta kwenu taarifa ya utekelezaji kwa kipengele cha AKILI kutoka kwy AMUA na namna alivyoweza kuisimamia serikali na kuishauri na hata michango yake ya moja kwa moja kwa mwaka wa 2012.

TAARIFA YA UTENDAJI YA MBUNGE KWA MWAKA 2012.

AKILI

06/05/2012 Mbunge alikabidhi vitabu vya kiada na ziada kwa Taasisi ya Maendeleo ya Ubungo (UDI)

04/09/2012 Mbunge amemchangia mkazi wa kimara matangini kiasi cha 35,0000.00 kwa ajili ya kununulia vifaa vya mtoto wake vya shule.

04/09/2012 Mbunge amemchangia mkazi wa kimara B Kiasi cha 100,000.00 kutoka katika mfuko wa elimu, kwa ajili ya mchango wa Ada.

04/09/2012 Mbunge amemchangia mkazi wa Makuburi Kiasi cha 100,000.00 kutoka katika mfuko wa elimu, kwa ajili ya mchango wa Ada.

Ujenzi wa madarasa katika shule ya Sekondari ya Makoka (4), gharama Tsh.9,223,350.00

Ujenzi wa madarasa katika shule ya Sekondari ya Hondogo (4), gharama Tsh. 9,223,350.00

Ujenzi wa choo shule ya msingi ya millennia ya tatu gharama Tsh. 6,770,745.48

Ujenzi wa madarasa manne shule ya sekondari Kibamba (Retention) Tsh. 6,370,870.00

Ujenzi wa madarasa katika shule ya sekondari ya makurumla, gharama Tsh.90, 133,512.75

Ujenzi wa madarasa 4 katika shule ya sekondari ya king'ongo, gharama Tsh. 20,031,210.00

Ukamilishaji wa ujenzi wa nyumba 2 za walimu, katika shule ya mbezi luis, gharama Tsh.30,000,000.00 ujenzi
umekamilika.

Ujenzi wa choo cha wanafunzi katika shule ya msingi mianzini-makurumla, gharama 20,000,000.00 ujenzi umekamilika.

Ujenzi wa choo cha wanafunzi katika shule ya msingi msakuzi-kwembe, gharama 24,000,000.00 ujenzi umekamilika.

Ujenzi wa madarasa mawili 2 katika shule ya msingi msakuzi – kwembe, gharama 36,000,000.00

Ujenzi wa choo cha wanafunzi, katika shule ya msingi msigani- msigani, gharama 24,000,000.00

Ujenzi wa choo cha wanafunzi , katika shule ya msingi makuburi jeshini –makuburi, gharama 24,000,000.00

Ujenzi wa choo cha wanafunzi , katika shule ya msingi jitihada – kimara, gharama 24,000,000.00 ujenzi umekamilika.

Ukarabati wa madarasa matatu katika shule ya msingi mianzini, gharama 10,000,000.00 kazi imekamilika.

Idadi ya madawati yaliyopelekwa katika shule za msingi.
[TABLE="class: MsoNormalTable"]
[TR]
[TD]Na
[/TD]
[TD]Shule
[/TD]
[TD="width: 267, bgcolor: transparent"]Idadi ya Madawati
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 48, bgcolor: transparent"]1
[/TD]
[TD="width: 291, bgcolor: transparent"]Millenia ya tatu-kimara
[/TD]
[TD="width: 267, bgcolor: transparent"]65
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 48, bgcolor: transparent"]2
[/TD]
[TD="width: 291, bgcolor: transparent"]Kimara Baruti-kimara
[/TD]
[TD="width: 267, bgcolor: transparent"]27
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 48, bgcolor: transparent"]3
[/TD]
[TD="width: 291, bgcolor: transparent"]Saranga-Saranga
[/TD]
[TD="width: 267, bgcolor: transparent"]27
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 48, bgcolor: transparent"]4
[/TD]
[TD="width: 291, bgcolor: transparent"]Kimara B-Saranga
[/TD]
[TD="width: 267, bgcolor: transparent"]13
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 48, bgcolor: transparent"]5
[/TD]
[TD="width: 291, bgcolor: transparent"]Jitihada- Kimara
[/TD]
[TD="width: 267, bgcolor: transparent"]11
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 48, bgcolor: transparent"]6
[/TD]
[TD="width: 291, bgcolor: transparent"]Makabe-Mbezi
[/TD]
[TD="width: 267, bgcolor: transparent"]13
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 48, bgcolor: transparent"]7
[/TD]
[TD="width: 291, bgcolor: transparent"]Msumi-Mbezi
[/TD]
[TD="width: 267, bgcolor: transparent"]19
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 48, bgcolor: transparent"]8
[/TD]
[TD="width: 291, bgcolor: transparent"]Mbezi Luis-Mbezi
[/TD]
[TD="width: 267, bgcolor: transparent"]13
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 48, bgcolor: transparent"]9
[/TD]
[TD="width: 291, bgcolor: transparent"]Mpakani- Kwembe
[/TD]
[TD="width: 267, bgcolor: transparent"]24
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 48, bgcolor: transparent"]10
[/TD]
[TD="width: 291, bgcolor: transparent"]Mburahati- Mburahati
[/TD]
[TD="width: 267, bgcolor: transparent"]23
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 48, bgcolor: transparent"]11
[/TD]
[TD="width: 291, bgcolor: transparent"]Muungano-Mburahati
[/TD]
[TD="width: 267, bgcolor: transparent"]15
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 48, bgcolor: transparent"]12
[/TD]
[TD="width: 291, bgcolor: transparent"]Kilungule – Kimara
[/TD]
[TD="width: 267, bgcolor: transparent"]30
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 48, bgcolor: transparent"]13
[/TD]
[TD="width: 291, bgcolor: transparent"]Kibesa – Mbezi
[/TD]
[TD="width: 267, bgcolor: transparent"]50
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 48, bgcolor: transparent"]14
[/TD]
[TD="width: 291, bgcolor: transparent"]King'ongo- Saranga
[/TD]
[TD="width: 267, bgcolor: transparent"]50
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 48, bgcolor: transparent"]15
[/TD]
[TD="width: 291, bgcolor: transparent"]Karume – Makurumla
[/TD]
[TD="width: 267, bgcolor: transparent"]08
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 48, bgcolor: transparent"]16
[/TD]
[TD="width: 291, bgcolor: transparent"]Mavurunza-Kimara
[/TD]
[TD="width: 267, bgcolor: transparent"]40
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 48, bgcolor: transparent"]17
[/TD]
[TD="width: 291, bgcolor: transparent"]Mwongozo- Makuburi
[/TD]
[TD="width: 267, bgcolor: transparent"]19
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 48, bgcolor: transparent"]18
[/TD]
[TD="width: 291, bgcolor: transparent"]Malamba Mawili-Msigani
[/TD]
[TD="width: 267, bgcolor: transparent"]49
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 48, bgcolor: transparent"]19
[/TD]
[TD="width: 291, bgcolor: transparent"]Upendo- Saranga
[/TD]
[TD="width: 267, bgcolor: transparent"]39
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 48, bgcolor: transparent"]20
[/TD]
[TD="width: 291, bgcolor: transparent"]Mbezi na Ufundi- Mbezi
[/TD]
[TD="width: 267, bgcolor: transparent"]48
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 48, bgcolor: transparent"]22
[/TD]
[TD="width: 291, bgcolor: transparent"]Mianzini- Makurumla
[/TD]
[TD="width: 267, bgcolor: transparent"]29
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 48, bgcolor: transparent"][/TD]
[TD="width: 291, bgcolor: transparent"]JUMLA
[/TD]
[TD="width: 267, bgcolor: transparent"]580
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
Manispaa ya kinondoni ilinunua maabara 10 zinazohamishika na kusambazwa katika shule za sekondari za kwembe, Matosa,Goba, Makurumla na Mabibo.

Ujenzi wa vyumba vya madarasa 8 katika shule ya sekondari king'ong'o- Saranga, gharama ya mradi Tsh. 160,279,000.55.

Ujenzi wa vyumba vya madarasa 6 shule ya sekondari ya Fahari-Goba, gharama ya mradi Tsh. 107,936,600.00.

Ujenzi wa vyumba vya madarasa 4 shule ya sekondari Goba ‘A' – Goba, gharama ya mradi Tsh.68, 276,400.00

Ujenzi wa vyumba vya madarasa 4 shule ya sekondari kwembe- Kwembe, gharama za mradi Tsh.65,860,000.00

Ujenzi wa vyumba vya madarasa 4 shule ya sekondari malamba mawili – Msigani, gharama ya mradi 65,860,000.00

Ujenzi wa vyumba vya madarasa 4 shule ya sekondari kiluvya- kibamba, gharama ya mradi Tsh.74,089,400.00

Ujenzi wa vyumba vya madarasa 6 shule ya sekondari kibwegere-Kibamba, gharama ya mradi Tsh.107,981,200.00

Ujenzi wa vyumba vya madarasa 6 shule ya sekondari kibweheri- Kibamba, gharama ya mradi Tsh.107, 981,200.00

Ujenzi wa vyumba vya madarasa 4 shule ya sekondari ya Goba Mpakani- Goba, gharama ya mradi Tsh.36,044,000.00

Ujenzi wa vyumba vya madarasa 4 shule ya sekondari ya Makoka- Makuburi, gharama ya mradi Tsh.38,058,000.00

Ujenzi wa vyumba vya madarasa 4 shule ya sekondari ya Hondogo-Kibamba, gharama ya mradi Tsh.33,139,000.00

Ujenzi wa vyumba vya madarasa 6 shule ya sekondari Gogoni-Kibamba, gharama ya mradi Tsh.122, 735,800.00

Ujenzi wa vyumba vya madarasa 6 shule ya sekondari Kinzudi-Goba, gharama ya mradi Tsh.109,653,400.00

Ujenzi wa vyumba vya madarasa 4 shule ya sekondari luguruni-Kwembe, gharama ya mradi Tsh.81,214,506.00

Ujenzi wa vyumba vya madarasa 6 shule ya sekondari King'ong'o- Saranga, gharama ya mradi Tsh. 112,994,845.00

Ujenzi wa vyumba vya madarasa 4 shule ya sekondari King'ong'o – Saranga, gharama ya mradi Tsh.67,356,000.00

Ujenzi wa vyumba vya madarasa 6 shule ya sekondari Mabibo phase 2 – Mabibo, gharama ya mradi Tsh.198,276,000.00

Ujenzi wa vyumba vya madarasa 10 shule ya sekondari makurumla phase 2 – Makurumla, gharama ya mradi Tsh380,668,901.00
[TABLE="class: MsoNormalTable"]
[TR]
[TD="colspan: 2"]S/NA
[/TD]
[TD]SHULE
[/TD]
[TD="width: 287, bgcolor: transparent"]MEZA NA VITI
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 45, bgcolor: transparent, colspan: 2"]1
[/TD]
[TD="width: 263, bgcolor: transparent"]Y.N MAKAMBA
[/TD]
[TD="width: 287, bgcolor: transparent"]400
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 45, bgcolor: transparent, colspan: 2"]2
[/TD]
[TD="width: 263, bgcolor: transparent"]MBURAHATI
[/TD]
[TD="width: 287, bgcolor: transparent"]200
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 45, bgcolor: transparent, colspan: 2"]3
[/TD]
[TD="width: 263, bgcolor: transparent"]MANZESE
[/TD]
[TD="width: 287, bgcolor: transparent"]150
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 45, bgcolor: transparent, colspan: 2"]4
[/TD]
[TD="width: 263, bgcolor: transparent"]MAKURUMLA
[/TD]
[TD="width: 287, bgcolor: transparent"]150
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 45, bgcolor: transparent, colspan: 2"]5
[/TD]
[TD="width: 263, bgcolor: transparent"]KING'ONG'O
[/TD]
[TD="width: 287, bgcolor: transparent"]152
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 45, bgcolor: transparent, colspan: 2"]6
[/TD]
[TD="width: 263, bgcolor: transparent"]MUGABE
[/TD]
[TD="width: 287, bgcolor: transparent"]150
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 45, bgcolor: transparent, colspan: 2"]7
[/TD]
[TD="width: 263, bgcolor: transparent"]KIBAMBA
[/TD]
[TD="width: 287, bgcolor: transparent"]150
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 45, bgcolor: transparent, colspan: 2"]8
[/TD]
[TD="width: 263, bgcolor: transparent"]MUGABE
[/TD]
[TD="width: 287, bgcolor: transparent"]100
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 45, bgcolor: transparent, colspan: 2"]9
[/TD]
[TD="width: 263, bgcolor: transparent"]HONDOGO
[/TD]
[TD="width: 287, bgcolor: transparent"]150
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 45, bgcolor: transparent, colspan: 2"]10
[/TD]
[TD="width: 263, bgcolor: transparent"]MAKOKA
[/TD]
[TD="width: 287, bgcolor: transparent"]150
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 45, bgcolor: transparent, colspan: 2"]11
[/TD]
[TD="width: 263, bgcolor: transparent"]MALAMBA MAWILI
[/TD]
[TD="width: 287, bgcolor: transparent"]150
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 45, bgcolor: transparent, colspan: 2"]12
[/TD]
[TD="width: 263, bgcolor: transparent"]MABIBO
[/TD]
[TD="width: 287, bgcolor: transparent"]75
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 45, bgcolor: transparent, colspan: 2"]13
[/TD]
[TD="width: 263, bgcolor: transparent"]KWEMBE
[/TD]
[TD="width: 287, bgcolor: transparent"]150
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 45, bgcolor: transparent, colspan: 2"]14
[/TD]
[TD="width: 263, bgcolor: transparent"]TEMBONI
[/TD]
[TD="width: 287, bgcolor: transparent"]149
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 45, bgcolor: transparent, colspan: 2"]15
[/TD]
[TD="width: 263, bgcolor: transparent"]MPIJI MAGOHE
[/TD]
[TD="width: 287, bgcolor: transparent"]150
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 45, bgcolor: transparent, colspan: 2"]16
[/TD]
[TD="width: 263, bgcolor: transparent"]KIBWEGERE
[/TD]
[TD="width: 287, bgcolor: transparent"]150
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 41, bgcolor: transparent"]17
[/TD]
[TD="width: 267, bgcolor: transparent, colspan: 2"]MBEZI IN
[/TD]
[TD="width: 287, bgcolor: transparent"]150
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 41, bgcolor: transparent"]18
[/TD]
[TD="width: 267, bgcolor: transparent, colspan: 2"]MATOSA
[/TD]
[TD="width: 287, bgcolor: transparent"]150
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]

 
aisee na MBUNGE wangu WENJE angekuwa hivi ningejisifu sana kwa kweli!
yeye ni machinga tu hajuagi kitu kingine,aliitisha harambee tukachanga hela ya madawati sijui hata mrejesho wake!
HONGERA SANA MNYIKA!!!!!
 
Kazi nzuri hiyo; inaonyesha ni kwa jinsi gani eme-AMUA.
 
wewe unaweka hii taarifa kama nani? kama kawaida yenu wachagga waliopo Halmashauri wanawaibia taarifa kisha mnaileta hapa mnajidai Mnyika amefanya?.....mwenye kufanya anaonekana bwana, haina haja ya kutupotezea muda. Mnyika afanye nini kutwa anarandaranda kudandia hoja.

 
Kazi nzuri. Hizo pesa ni za mfuko wa maendeleo ya jimbo au ni pamoja na pesa za marafiki zake?
 
wewe unaweka hii taarifa kama nani? kama kawaida yenu wachagga waliopo Halmashauri wanawaibia taarifa kisha mnaileta hapa mnajidai Mnyika amefanya?.....mwenye kufanya anaonekana bwana, haina haja ya kutupotezea muda. Mnyika afanye nini kutwa anarandaranda kudandia hoja.

hakuna sehemu umeambiwa mbunge amefanya na hata katiba mbovu ya nchi haisemi mbunge anafanya bali mbunge amesimamia na kuishauri serikali (ibara 63 (2)) na huo ndio wajibu wake na ameutekeleza.
 
Chapa kazi Mnyika; MTEKETA na Kilombero kazi tunayo, aliongea bungeni siku aliyo apishwa tu. kazi kulala tu, toa ripoti Umefanya nini Kilombero@ Mteketa.
 
Kazi nzuri. Hizo pesa ni za mfuko wa maendeleo ya jimbo au ni pamoja na pesa za marafiki zake?
fedha zinazotokana na kodi ya wananchi na zingine mchango wake ambao unatokana na kukatwa ktoka kwy mshahara wake 20% kila mwezi.
 
Chapa kazi Mnyika; MTEKETA na Kilombero kazi tunayo, aliongea bungeni siku aliyo apishwa tu. kazi kulala tu, toa ripoti Umefanya nini Kilombero@ Mteketa.
huyo mteketa mbona dawa yake ipo tayari inasubili muda tu.
 
Safi sana mnyika nlikuchagua na nitakuchagua 2015 unawakilisha ipasavyo,CDM ni kama maji usipoyanywa utayaoga,cdm hatuongi vitenge ,Tsh wala kanga ni utekelezaji tu wa maendeleo

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Chapa kazi mwana wetu, tuko nyuma yako kwa maaombi!! Ufunikwe kwa damu ya Yesu na mabomu ya magamba yasikukute kabisa. Wewe ndiye Rais wetu miaka kadhaa ijayo!!! Hata kwa kukuangalia tu huna hila!!! Natamani sana ungekuwa mbunge wangu, ningekupa support ya kufa mtu.
 
jaman huu ni upotashaji mkubwa sana, kwani kila mbunge akileta ya kwakwe hapa mbona wako waliofanya vizuri mara kumi ya huyu, kwanza kwa ela zao mfano Nimrod mkono, EDWARD LOWARSA, PINDA, MWAKEMBE, Hii taarifa ya hela alizosimamia kutoka serikalini,

naomba Lema aweke ya kwakwe na yeye::::::
 
MNYIKA haustahili kuwa mbunge,unastahili kuwa RAIS!
 
jaman huu ni upotashaji mkubwa sana, kwani kila mbunge akileta ya kwakwe hapa mbona wako waliofanya vizuri mara kumi ya huyu, kwanza kwa ela zao mfano Nimrod mkono, EDWARD LOWARSA, PINDA, MWAKEMBE, Hii taarifa ya hela alizosimamia kutoka serikalini,

naomba Lema aweke ya kwakwe na yeye::::::
huu ni uwanja wa wazi kila mbunge ana haki ya kuweka so unaweza kuwaambia hao unadhani wameisimamia serikali kwa kiwango hicho, kama hata data hizo wanazo.
 
Hakika huyu Mbunge ni Tunu ya Taifa na chama chake.....Mungu mpe maisha marefu awatumikie wananchi wa Jimbo la Ubungo...
 
wewe unaweka hii taarifa kama nani? kama kawaida yenu wachagga waliopo Halmashauri wanawaibia taarifa kisha mnaileta hapa mnajidai Mnyika amefanya?.....mwenye kufanya anaonekana bwana, haina haja ya kutupotezea muda. Mnyika afanye nini kutwa anarandaranda kudandia hoja.

leo umevuta bangi ya wapi mkuu maana sirahisi kusema mbunge analandalanda tu na huku unaelezwa hoja kwa kina. Kama unahoja jibu kwa mantiki. Au buku 7 zinakuzingua
 
Kazi nzuri Mnyika..kwenye uzi huu soon...hali ya hewa lazma ibadilike.
 
Back
Top Bottom