Junior. Cux
JF-Expert Member
- Feb 3, 2011
- 5,319
- 3,797
We kamtoto love cux sa zingine una akili... ifike siku tukakate system tufunge ingine japo na yenyewe used!
Hahaha... unakesi na mimi lakini
We kamtoto love cux sa zingine una akili... ifike siku tukakate system tufunge ingine japo na yenyewe used!
Yaani hii nchi inatakiwa kiongozi dikteta ili akomeshe hali hii.
Ile ges iliyotoka mtwara imeenda wap?
Matumain ambayo serikal imekua ikitutangazia kila siku kuwa umeme utakua historia yapo wap
Yaan kila sehem ni rushwa na uchafu usiofaa
Sijui watanzania tuseme lugha gan hali hii ibadilike
Tanesco tumeingia nao mkataba watuhudumie ipasavyo lakin wameshindwa kufanya hivo
Tunahitaji kufanya kitu.
SHIRIKA LA UMEME TANZANIA (TANESCO)
TAARIFA YA KUKOSEKANA KWA UMEME KWENYE GRIDI YA TAIFA OKTOBA 3, 2015
Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) linawataarifu wateja wake wote walioungwa kwenye gridi ya taifa kuwa leo Oktoba 3, 2015 majira ya saa 11 kasoro alfajiri kulitokea hitilafu-kwenye njia kuu ya kusafirisha umeme kati ya Hale na Kiyungi na kusababisha mikoa yote iliyoungwa kwenye gridi kukosa umeme.-
Umeme-ulianza kurejeshwa-majira ya saa moja asubuhi baada ya kuondoa hitilafu hiyo.-
Hata hivyo baadhi ya maeneo yataendelea kukosa umeme kwa sababu ya upungufu katika uzalishaji wa umeme hasa katika vituo vya maji.
Uongozi unaomba radhi kwa usumbufu wowote uliojitokeza.-
Imetolewa na Ofisi ya Uhusiano TANESCO Makao
Hata hivyo baadhi ya maeneo yataendelea kukosa umeme kwa sababu ya upungufu katika uzalishaji wa umeme hasa katika vituo vya maji.
Umeme ni zaidi ya siasa watu wanazoleta. Ukawa wakiingia watanunua mitambo yote mipya?!! Ikumbukwe mitambo mingi ya tanesco ni ile ile ya zamani,mipya ni ya gesi na ni kiwango kidogo cha umeme unazalishwa na gesi sasa hivi.
Kukatika kwa umeme hata dakika moja hakutakiwi ila tuwe realistic kidogo,hamna miujiza its a slow process not matter who is in power.
Asante.......
Jioni wapi tupate hata kinywaji baridi tuondoe hili joto........
Pelekeni huko umeme ul ikatwa tangia jana Oct 2.SHIRIKA LA UMEME TANZANIA (TANESCO)
TAARIFA YA KUKOSEKANA KWA UMEME KWENYE GRIDI YA TAIFA OKTOBA 3, 2015
Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) linawataarifu wateja wake wote walioungwa kwenye gridi ya taifa kuwa leo Oktoba 3, 2015 majira ya saa 11 kasoro alfajiri kulitokea hitilafu-kwenye njia kuu ya kusafirisha umeme kati ya Hale na Kiyungi na kusababisha mikoa yote iliyoungwa kwenye gridi kukosa umeme.-
Umeme-ulianza kurejeshwa-majira ya saa moja asubuhi baada ya kuondoa hitilafu hiyo.-
Hata hivyo baadhi ya maeneo yataendelea kukosa umeme kwa sababu ya upungufu katika uzalishaji wa umeme hasa katika vituo vya maji.
Uongozi unaomba radhi kwa usumbufu wowote uliojitokeza.-
Imetolewa na Ofisi ya Uhusiano TANESCO Makao
Kinywaji baridi kinapatikana wapi wakati umeme hakuna? kwetu ulikatika tangu usiku wa manane,asubuhi ulirudi kidogo ambao hata kuwasha bulbu haitoi mwanga baada ya muda ukakata tena.Inaboa sana.
It is indirectly a matter of who is in power......Hata hivyo baadhi ya maeneo yataendelea kukosa umeme kwa sababu ya upungufu katika uzalishaji wa umeme hasa katika vituo vya maji.
Umeme ni zaidi ya siasa watu wanazoleta. Ukawa wakiingia watanunua mitambo yote mipya?!! Ikumbukwe mitambo mingi ya tanesco ni ile ile ya zamani,mipya ni ya gesi na ni kiwango kidogo cha umeme unazalishwa na gesi sasa hivi.
Kukatika kwa umeme hata dakika moja hakutakiwi ila tuwe realistic kidogo,hamna miujiza its a slow process not matter who is in power.
nahisi kuna hujuma hapa!
Hii wizara aliyekuwa anaimudu ni muhongo!
Angalau kukatika katika kwa umeme kulipungua ukilinganisha na kipindi hiki na hata ukilinganisha na kabla ya yeye kuwa waziri!!
ukitumia maji,gesi au nyuklia hitilafi ni hitilafu umeme utakatika tu.
Hiyo ni leo....
Lakini pia baada ya kushughulikiwa kwa hitilafu........umeme hakuna.......hata jana kabla ya hitilafu.....juzi.....juzi ile.......umeme haukuwepo pia............
eti mitambo inawashwa,wapi bana,,,,hiyo mitambo ya aina gani wanawasha mwezi mzima?,mbona hata mitambo ya nyuklia haichukui mda wote huop kuwaka?
SHIRIKA LA UMEME TANZANIA (TANESCO)
TAARIFA YA KUKOSEKANA KWA UMEME KWENYE GRIDI YA TAIFA OKTOBA 3, 2015
Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) linawataarifu wateja wake wote walioungwa kwenye gridi ya taifa kuwa leo Oktoba 3, 2015 majira ya saa 11 kasoro alfajiri kulitokea hitilafu-kwenye njia kuu ya kusafirisha umeme kati ya Hale na Kiyungi na kusababisha mikoa yote iliyoungwa kwenye gridi kukosa umeme.-
Umeme-ulianza kurejeshwa-majira ya saa moja asubuhi baada ya kuondoa hitilafu hiyo.-
Hata hivyo baadhi ya maeneo yataendelea kukosa umeme kwa sababu ya upungufu katika uzalishaji wa umeme hasa katika vituo vya maji.
Uongozi unaomba radhi kwa usumbufu wowote uliojitokeza.-
Imetolewa na Ofisi ya Uhusiano TANESCO Makao