Taarifa ya kukosekana umeme

Taarifa ya kukosekana umeme

Kinachotia hasira zaidi ni kuna mijitu bado inashabikia CCM.
Oooh nashukuru Mungu sijawa Osama ningelipua hawa wangese wote
 
Jamani ili jambo so la kukimbilia kulaumu shirika au serikali tuwapeni muda kama tulivyovuta subira toka Uhuru hadi leo kitu kitakuja fanyika tu
 
Je, Vp Kuhusu Kutwa Ya Leo Na Usk Huu?? Maana Kwetu Tupo Gizani Tu!!!
 
umeme wa gesi umeishia wapi tanesco?
 
hakuna kitu ccm inakitaka saahizi kama umeme kuwepo bila kusumbua...ccm waanaathirika na wala hawanufaiki na ukatitaji umeme huu.

kuna mtu mmoja tu anabenefit na ukatikaji umeme,lowasa,,,,
swali ni je kuna hujuma,,,,hili tatizo ni halisi ama limepangwa kimkakati?

Kama Lowassa ambaye ni mbunge wa kawaida analeta shida ya umeme na rais wa nchi na waziri mkuu yupo na wamekaa kimya, unadhan hapo tunaye rais??? Au ndio udhaifu??
 
Kwa hili la kukatika kwa umeme kipindi hiki kisichokuwa na wabunge wa kutusemea, bila kujali maelezo yeyote ya tanesco, ccm wake wakijua Kuwa tendo hili linawapunguzia kura hapo targeted 25 Octoba. Magufuli Amka, tanesco inakuhujumu!!!!!!.
 
Mimi nawashauri wazime mitambo kabisa na kusiwepo na hata huo mgao.
 
kama kina cha maji nalo kumbe ni tatizo,kwanini hawakusema?,bali wakadanganya kuwa wanaunga gesi na baada ya hapo tatizo litaisha.

hii pattern inafanana na ya 2008 ambapo hali ilikuwa hivihivi,kumbe watu wanatafuta namna ya kuingiza richmond.

na sasa unajionea tena umeme unatumika kufikia malengo fulani ya watu,na mhusika ni yuleyule

pole sana mkuu kwa mawazo mgando kama hayo, enl sio kiongozi serikalini mwaka wa nane sasa, lakini bado unamuhusisha na serikali yenu iliyochoka
 
Hata hivyo baadhi ya maeneo yataendelea kukosa umeme kwa sababu ya upungufu katika uzalishaji wa umeme hasa katika vituo vya maji.

Umeme ni zaidi ya siasa watu wanazoleta. Ukawa wakiingia watanunua mitambo yote mipya?!! Ikumbukwe mitambo mingi ya tanesco ni ile ile ya zamani,mipya ni ya gesi na ni kiwango kidogo cha umeme unazalishwa na gesi sasa hivi.

Kukatika kwa umeme hata dakika moja hakutakiwi ila tuwe realistic kidogo,hamna miujiza its a slow process not matter who is in power.

Its a slow process. u mean from 1977 up to now?
 
magumashi tupu..iko siku yutasahau..mara ooh gesi na waziri simbachawane akasema ilibidi tusimame dakika moja kujipongeza ..ss leo eti maji ya kuendeshea gridi ya taifa bla bla bla..pambaf uongo mtupu
mmefeli kabisa
 
Na siku hizi habari ni gesi tu! vipi kuhusu maji ya Mtera na Kidatu?
 
viatuvirefu waelezee tanesco kuwa usiku huu kuanzia saa moja kasarobo hadi sasa hakuna umeme
SHIRIKA LA UMEME TANZANIA (TANESCO)

TAARIFA YA KUKOSEKANA KWA UMEME KWENYE GRIDI YA TAIFA OKTOBA 3, 2015

Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) linawataarifu wateja wake wote walioungwa kwenye gridi ya taifa kuwa leo Oktoba 3, 2015 majira ya saa 11 kasoro alfajiri kulitokea hitilafu-kwenye njia kuu ya kusafirisha umeme kati ya Hale na Kiyungi na kusababisha mikoa yote iliyoungwa kwenye gridi kukosa umeme.-

Umeme-ulianza kurejeshwa-majira ya saa moja asubuhi baada ya kuondoa hitilafu hiyo.-

Hata hivyo baadhi ya maeneo yataendelea kukosa umeme kwa sababu ya upungufu katika uzalishaji wa umeme hasa katika vituo vya maji.

Uongozi unaomba radhi kwa usumbufu wowote uliojitokeza.-

Imetolewa na Ofisi ya Uhusiano TANESCO Makao
 
Kwa haya yanayoendelea na bla blah za Waziri na MD wa TANESCO, ilipaswa wote wawe wamejiuzulu kwani waliwaaminisha watanzania uongo mkubwa sana. Walifikia hatua hata ya kubadilisha agenda kutoka upatikanaji wa umeme kuwa bei ya umeme; kwamba baada ya kuwa na umeme wa uhakika wa gesi, sasa umeme kushuka bei.

CCM kama hamshtukii mchezo huu, ni wazi hamtakuwa na uwezo wa kushtukia uozo wa nchi hii hata hapo mkipewa tena nchi hii. Haiwezekani mgao mkali kabisa uwe mwaka huu tena ktk kipindi hiki tukielekea Uchaguzi Mkuu. Ni kwa nini enzi ya Prof. Mhongo umeme at least ulikuwa stable?
 
Back
Top Bottom