jd41
JF-Expert Member
- Aug 23, 2015
- 3,756
- 4,849
Kateni tu
..tushajichokea au vipi? tena wakate tu,wala wasitoe sababu zao za kipuuzi zinazidisha hasira...
Kateni tu
hakuna kitu ccm inakitaka saahizi kama umeme kuwepo bila kusumbua...ccm waanaathirika na wala hawanufaiki na ukatitaji umeme huu.
kuna mtu mmoja tu anabenefit na ukatikaji umeme,lowasa,,,,
swali ni je kuna hujuma,,,,hili tatizo ni halisi ama limepangwa kimkakati?
kama kina cha maji nalo kumbe ni tatizo,kwanini hawakusema?,bali wakadanganya kuwa wanaunga gesi na baada ya hapo tatizo litaisha.
hii pattern inafanana na ya 2008 ambapo hali ilikuwa hivihivi,kumbe watu wanatafuta namna ya kuingiza richmond.
na sasa unajionea tena umeme unatumika kufikia malengo fulani ya watu,na mhusika ni yuleyule
Hata hivyo baadhi ya maeneo yataendelea kukosa umeme kwa sababu ya upungufu katika uzalishaji wa umeme hasa katika vituo vya maji.
Umeme ni zaidi ya siasa watu wanazoleta. Ukawa wakiingia watanunua mitambo yote mipya?!! Ikumbukwe mitambo mingi ya tanesco ni ile ile ya zamani,mipya ni ya gesi na ni kiwango kidogo cha umeme unazalishwa na gesi sasa hivi.
Kukatika kwa umeme hata dakika moja hakutakiwi ila tuwe realistic kidogo,hamna miujiza its a slow process not matter who is in power.
SHIRIKA LA UMEME TANZANIA (TANESCO)
TAARIFA YA KUKOSEKANA KWA UMEME KWENYE GRIDI YA TAIFA OKTOBA 3, 2015
Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) linawataarifu wateja wake wote walioungwa kwenye gridi ya taifa kuwa leo Oktoba 3, 2015 majira ya saa 11 kasoro alfajiri kulitokea hitilafu-kwenye njia kuu ya kusafirisha umeme kati ya Hale na Kiyungi na kusababisha mikoa yote iliyoungwa kwenye gridi kukosa umeme.-
Umeme-ulianza kurejeshwa-majira ya saa moja asubuhi baada ya kuondoa hitilafu hiyo.-
Hata hivyo baadhi ya maeneo yataendelea kukosa umeme kwa sababu ya upungufu katika uzalishaji wa umeme hasa katika vituo vya maji.
Uongozi unaomba radhi kwa usumbufu wowote uliojitokeza.-
Imetolewa na Ofisi ya Uhusiano TANESCO Makao