Anthomarselian
Member
- Apr 18, 2010
- 63
- 8
Sasa TANESCO hamna long term plan? Mnamawazo mgando. Mlizani kwa mitambo yenu iliyozeeka itaweza kuhudumia mahitaji yanapoongezeka kila siku? Uyo mkuu wa kitengo cha PLANNING anafanya kazi yake kweli? Ama UKATA na attitude ya kutegemea RUZUKU ya serikali imeathiri shirika? Ya TANESCO yanamengi uko nyuma ya pazia. Kila sekunde inayopotea bila umeme TANESCO inapoteza hela ambayo ingewawezesha kukarabat mitambo yao waliorithi kwa wakoloni na hata kununua mitambo mipya.