Taarifa ya kikao cha wabunge wa CDM tar 11/2/2011

Taarifa ya kikao cha wabunge wa CDM tar 11/2/2011

kipindupindu

JF-Expert Member
Joined
Dec 16, 2010
Posts
1,054
Reaction score
170
Jana mara baada ya kikao cha bunge wabunge wa chadema walikutana.
Je unafahamu maazimio waliyofikia?
 
Jana mara baada ya kikao cha bunge wabunge wa chadema walikutana.
Je unafahamu maazimio waliyofikia?

Bila shaka moja ya ajenda ilikuwa ni kuzungumza upupu wa Shibuda alioutoa kule Bungeni, labda tutayasikia yaliyojiri.

 
Bila shaka moja ya ajenda ilikuwa ni kuzungumza upupu wa Shibuda alioutoa kule Bungeni, labda tutayasikia yaliyojiri.


seriously shibuda hastaili kubaki ndani ya chadema,anataka kuvuruga chama.Ni vema kama atakamewa mapema kabla hajaleta madhara.
 
Kuna mgogoro juu ya Baraza la Mawaziri Kivuli.

Mbowe amejaza Wachagga na wabunge wengine wa mikoa ya Kaskazini. Zitto amesema haiwezekani.

Ni mgogoro mkubwa. Dr Kitila anatarajiwa kupewa kazi nyingine ya kutafuta formula ya kuwapata.

Chama cha ajabu hiki. Ndio maana hata Mbunge wa UK aliyekuwa bungeni siku Mbowe alipoongoza maandamano ya kutoka nje hakuamini macho yake.

Mhe Naibu Spika alieleza kuwa Mbunge huyo ambaye huko kwao ni wa upinzani kama Mbowe aliuliza swali hili:-
'IS IT NORMAL IN TANZANIA FOR A POLITICAL PARTY TO COMMIT POLITICAL SUICIDE LIKE WHAT CHADEMA DID TODAY?'
 
Kishongo watu wengi tuliangalia bunge siku ile,hakuna sehemu yoyote iliyotamkwa CHADEMA committed political suicide but it was just a political party
 
Kuna mgogoro juu ya Baraza la Mawaziri Kivuli.

Mbowe amejaza Wachagga na wabunge wengine wa mikoa ya Kaskazini. Zitto amesema haiwezekani.

Ni mgogoro mkubwa. Dr Kitila anatarajiwa kupewa kazi nyingine ya kutafuta formula ya kuwapata.

Chama cha ajabu hiki. Ndio maana hata Mbunge wa UK aliyekuwa bungeni siku Mbowe alipoongoza maandamano ya kutoka nje hakuamini macho yake.

Mhe Naibu Spika alieleza kuwa Mbunge huyo ambaye huko kwao ni wa upinzani kama Mbowe aliuliza swali hili:-
'IS IT NORMAL IN TANZANIA FOR A POLITICAL PARTY TO COMMIT POLITICAL SUICIDE LIKE WHAT CHADEMA DID TODAY?'

Kishongo Shapata Mume? I'm Single and looking
 
Kuna mgogoro juu ya Baraza la Mawaziri Kivuli.

Mbowe amejaza Wachagga na wabunge wengine wa mikoa ya Kaskazini. Zitto amesema haiwezekani.

Ni mgogoro mkubwa. Dr Kitila anatarajiwa kupewa kazi nyingine ya kutafuta formula ya kuwapata.

Chama cha ajabu hiki. Ndio maana hata Mbunge wa UK aliyekuwa bungeni siku Mbowe alipoongoza maandamano ya kutoka nje hakuamini macho yake.

Mhe Naibu Spika alieleza kuwa Mbunge huyo ambaye huko kwao ni wa upinzani kama Mbowe aliuliza swali hili:-
'IS IT NORMAL IN TANZANIA FOR A POLITICAL PARTY TO COMMIT POLITICAL SUICIDE LIKE WHAT CHADEMA DID TODAY?'
Hivi ni lazima uandika hata kama there is no sense on what ur writing.
 
Kuna mgogoro juu ya Baraza la Mawaziri Kivuli.

Mbowe amejaza Wachagga na wabunge wengine wa mikoa ya Kaskazini. Zitto amesema haiwezekani.

Ni mgogoro mkubwa. Dr Kitila anatarajiwa kupewa kazi nyingine ya kutafuta formula ya kuwapata.

Chama cha ajabu hiki. Ndio maana hata Mbunge wa UK aliyekuwa bungeni siku Mbowe alipoongoza maandamano ya kutoka nje hakuamini macho yake.

Mhe Naibu Spika alieleza kuwa Mbunge huyo ambaye huko kwao ni wa upinzani kama Mbowe aliuliza swali hili:-
'IS IT NORMAL IN TANZANIA FOR A POLITICAL PARTY TO COMMIT POLITICAL SUICIDE LIKE WHAT CHADEMA DID TODAY?'

Nyekundu: hayo maneno alinukuu naibu spika alipokuwa akirejea mazungumzo yao mchana wa siku ile kabla hata Chadema hawajatoka bungeni. kwa hiyo uomdoe upupu wako wapa. Hivyo hayo maneno 'like what Chadema did today' ni maneno yako uliyojiundia.

Hata hivyo muktadha wa sentensi hiyo haujaeleweka, kwamba alitamka maneno hayo akiwamaanisha nini. Inawezekana alisema vile kwa sababu ya kitendo cha Cheyo aliyemwambia Zitto;"shut your mouth" wakati ni mpinzani mwenzake.

Hata kama mtakuja watu kama wewe kuishushua Chadema humu jamvini na kuipamba CCM wala hautaeleweka kwa wananchi. mtahangaika na CCM yenu lakini hakika zimebaki siku chache tutafanya kama Tunisia na Misri.msidhani mtaiweza nguvu ya umma. wabunge wetu mnawazuia kwa kununi. subirini wananchi hatuhitaji kanuni.uamuzi ni mmoja tu, Kikwete aondoke madarakani.
 
Nyekundu: hayo maneno alinukuu naibu spika alipokuwa akirejea mazungumzo yao mchana wa siku ile kabla hata Chadema hawajatoka bungeni.

.

Jaribu kukumbuka vizuri.
Naibu Spika alitamka maneno haya wakati akihitimisha hoja na wabunge wa cdm walikuwa bado nje.
 
Back
Top Bottom