Sophist
Platinum Member
- Mar 26, 2009
- 4,484
- 3,400
hawakuwa wachapa kazi kama kikwete, hawakuwa wanafuatilia mambo kama kikwete, kikwete ameweka "historia" kwa kuwa rais mfuatiliaji wa mambo ya TZ ndani na nje ya nchi
HIYO BARUA IMETOA UFUNUO WA KWAMBA SAFARI NYINGI ZA MUHESHIMIWA RAIS NJE YA NCHI NI ZA MATIBABU, NA KAMA SAFARI NYINGI NI ZA MATIBABU BASI ANA MATATIZO MAKUBWA YA KIAFYA AMBAYO YANAFICHWA.
PIA INAONYESHA RAIS AMEKUWA AKIAMA DR/HOSPITALI MARA UFARASA, MARA USA, MARA GERMANY NA HII NI DALILI YA MTU ANAYETAFUTA TIBA YA KITU KINACHOMSUMBUA
Tafakari!