Nguvu moja
JF-Expert Member
- Oct 20, 2017
- 3,371
- 2,712
Gari ya polisi iliokuwa na askari polisi waliokuwa, wanatoka mkoani dodoma
Jioni ya leo imepata ajari mkoani morogoro
Maeneo ya mikese maseyu, baada ya kugongana uso kwa uso na noah askari sita wa polisi hali zao mbaya sana wapo.
Mahututi na watu wawili waliokuwapo kwenye.
Gari ya Noah wamefariki dunia hapo hapo Rip.
Jioni ya leo imepata ajari mkoani morogoro
Maeneo ya mikese maseyu, baada ya kugongana uso kwa uso na noah askari sita wa polisi hali zao mbaya sana wapo.
Mahututi na watu wawili waliokuwapo kwenye.
Gari ya Noah wamefariki dunia hapo hapo Rip.