wadau tunaomba mwenye taarifa kuhusu soks la ajira afrika mashariki atujuze, maana ake hapa bongo hatuna uelewa vizuri, kwa mfano suala la raia wa nchi zingine za afrika mashariki wanaruhusiwa kufanya kazi za profesional gani pasipo kibali na kadhalika? Na sisi wabongo nchi zingine zina nafasi gani kwetu?
Nawakilisha
mdau
dar
Nawakilisha
mdau
dar