WILLY GAMBA
JF-Expert Member
- Jul 5, 2011
- 211
- 87
Ubongo wetu ndio unaongoza mkono wa kuandikia(uwe wa kuume au wa kike)
Kila utakacho liandika ni zao la ubongo wako kutuma ujumbe kwa msuli wa mkono wako kuandika .
Kwako wewe wa Magogoni unaona umemaliza kazi yako lakini wengine ndio umetufungulia ka dirisha
ka jikoni tuingie ndani tujionee.....
Ugumu wa kusoma ujumbe -maneno yamepigwa mshkaki- space bar imekufa? au???
Judge not- Ooooh Mrema ni MPUUZI,UKOSEFU MKUBWA WA ADABU(Kwa nani,nyie ndio mmepewa green light ya kukashifu????)
Kigezo cha kwanza hapo juu wataalam tunakwambia upo under pressure au unatumia vitu ambavyo havitakiwi vitumike ukiwa kazini.
Kila utakacho liandika ni zao la ubongo wako kutuma ujumbe kwa msuli wa mkono wako kuandika .
Kwako wewe wa Magogoni unaona umemaliza kazi yako lakini wengine ndio umetufungulia ka dirisha
ka jikoni tuingie ndani tujionee.....
Ugumu wa kusoma ujumbe -maneno yamepigwa mshkaki- space bar imekufa? au???
Judge not- Ooooh Mrema ni MPUUZI,UKOSEFU MKUBWA WA ADABU(Kwa nani,nyie ndio mmepewa green light ya kukashifu????)
Kigezo cha kwanza hapo juu wataalam tunakwambia upo under pressure au unatumia vitu ambavyo havitakiwi vitumike ukiwa kazini.