hajjmakwato
JF-Expert Member
- Jun 4, 2013
- 230
- 154
Habari wana MMU;
Leo katika pita pita zangu huko na huko gafla nilikutana na manesi wa hosptali fulani ya serikali,wao walikuwa kwenye zoezi la upimaji wa virusi vya ukimwi kwa wanawake wanaojiuza kwenye madanguro.
...........sikutaka kujua stori nyingi zaidi pale ila niliwauliza eehh ripoti yenu inasemaje kwa ufupi sana walinitajia madanguro yafuatayo;
1.Double kebini kwa wahaya TANDIKA pale maambukizi ni nusu nusu;
2.KIGAMBONI kalibia wote wameathirika wakiwemo na wakenya wanaojishughulisha na kujiuza
3.KINONDONI maambukizi ni nusu kwa nusu
4.MANZESE maambukizi ni nusu kwa nusu
.......Jamani tulizana na umpendae,kama hujao tulia kabisa.......
Mutakufa km kuku kwa kupenda chini...pumbaf ..eti mmja muaminifu...huwa nawashangaa sana vijana MTU uwezo wa kumhudumia demu anao lakini ukimwambia oa atakwambia hajajipanga wakt kila Siku lazima arushe Hela ya vocha buku 3 mpk 5