Mi nadhani waachiwe kisiwa chao ila Tanganyika tu keep a close eye on the island.Hivi jamani, kweli Tanganyika wanafaidika nini na uwepo wa Zanzibar? Niliwahi kuambiwa kuwa ni kwasababu ya usalama wa Tanganyika tu maana hawa jamaa wanaweza kuleta kashkashi za Ualshababu. Ntashuikuru kama mtafanikiwa kujitenga ili na sisis tujulikane kuwa tupo maana hata sherehe za miaka hamsini zilitambulisha na JK kama uhuru wa Tanzania, sisi hatuna hata bendera wala wimbo wa Taifa wakati nyie mna jeshi, wimbo wa Taifa, bendera na mambo mengine.....mmmh haya hongereni sana
Ngoma inogile...
mkuu hata mi nimeliona hivo,miaka 4 si mchezo kwa yanayoendelea
Kwanza cheo cha makamu wa raisi kinatughalimu,ukizingatia wa sasa ana wake wawili.CAN'T WAIGHT TO BE Tanganyakan
Mke ni nani hapo?Harakisheni hayo maandamano yafanyike na msisitize huo muungano uvunjike haraka. Watanganyika wa kawaida (na hao ndio wengi) hawaelewi na hawajaona faida ya muungano kwao zaidi ya malalamiko kila kukicha.Kuna member hapa JF ameandika akiuliza "ni ndoa gani hiyo ambayo kila kukicha mke anatishia kurudi kwao?" swali la msingi!