Also me
Member
- Aug 17, 2011
- 67
- 10
jaman mlishaambiwa na mzee...
"Muungano wa Tanganyika na Zanzibar ni kama koti, cku likiwa dogo likawabana mnaweza livua." nnadhan hii miaka karibia 50 koti tayari limeshawabana na xaxa huu ndio wakati muafaka wa kuvua gamba la muungano.
Nnaombeni niwatakie
MVUNJIKO WA MUUNGANO MWEMA!....
"Muungano wa Tanganyika na Zanzibar ni kama koti, cku likiwa dogo likawabana mnaweza livua." nnadhan hii miaka karibia 50 koti tayari limeshawabana na xaxa huu ndio wakati muafaka wa kuvua gamba la muungano.
Nnaombeni niwatakie
MVUNJIKO WA MUUNGANO MWEMA!....