Taarifa kwa watakao chaguliwa na TCU

madogo tulieni,acheni mawenge,kama una sifa chuo utapata tu hata 2nd round,mbona sisi mwaka jana waliyatoa kuanzia sept.17? Acheni haraka watu wafanye kaz kwa makini.
 
madogo tulieni,acheni mawenge,kama una sifa chuo utapata tu hata 2nd round,mbona sisi mwaka jana waliyatoa kuanzia sept.17? Acheni haraka watu wafanye kaz kwa makini.

Naamini hata na ww mwaka jana ulilalamika kuchelewa kufunguliwa kwa vyuo sababu ya uchaguzi, isitoshe matokeo yalitoka Sept 17 lakini chuo mkafungua kuanzia nov 5 sasa ss matokeo sept chuo sept-oct kweli hii ni sawa mwanafunzi na mzazi hana muda wa kujiandaa na direct cost....
Hebu kuwa mawazo chana kaka.....
 
Loan board sa hvi hawatoi pesa,pesa zitatolewa na chuo husika ulipo,wamebadilisha mfumo kuepusha uxumbuf
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
watasema nini na hawana la kusema!!! Sijui wanategemea nini hasa..<br />
Na huu ndo mwanzo,bado hao Loan bord,watatoa majina afu pesa,mwakani.
<br />
<br />
 
madogo tulieni,acheni mawenge,kama una sifa chuo utapata tu hata 2nd round,mbona sisi mwaka jana waliyatoa kuanzia sept.17? Acheni haraka watu wafanye kaz kwa makini.

Ninyi ndo mnaochangia kuludisha nyuma maendeleo kwa kuunga mkono mambo ya kipuuzi,muda waliotumia mpaka sasa ni mlefu sana hiyo siyo sensa ya Taifa,pia walengwa yapaswa wapewe muda wa kutosha kwa maandalizi na kama si wazembe basi ule ujinga wa siasa yao ya ccm ya uchakachuaji,ubabaishaji ili mladi liende ndo inayoendelea hivyo nakushauli wewe ubadilike kwani hizo zama zinatoweka.
 
Ulitaka uonekane ktk list ya unselected eh?<img src="/images/styles/JamiiForums/smilies/smile.png" border="0" alt="" title="Smile" smilieid="307" class="inlineimg" />&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;
<br />
<br />
master! Huyu jamaa mwenyewe anananishangaza?
 
madogo tulieni,acheni mawenge,kama una sifa chuo utapata tu hata 2nd round,mbona sisi mwaka jana waliyatoa kuanzia sept.17? Acheni haraka watu wafanye kaz kwa makini.
Acha historia za kidwanz kwhyo kama babu yako alisoma chini ya mti na wewe unataka husome chni ya mti? Ya jana si leo!
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom