Pinokyo Jujuman
JF-Expert Member
- Feb 5, 2012
- 552
- 104
Wataenda Botswana, Solidarity Forever"
Yaani wewe ......kwa nini usijaribu kuficha upumbavu wako hata kwa dk moja tu?
Mimi kwa kweli siwaelewi hawa MAT hivi wanafanyakazi kwa shinikizo la serikali? Hivi kwa nini MAT iwafutie usajiri madaktari kwa kugoma kumfanyiakazi mwajiri fulani kwa swala hili serikali? Hivi kama madaktari wangegomea kumfanyia kazi Aga Khan hospital, regency hospital au TMJ nao wangefutiwa usajiri? Sasa inapowafutia usajiri madaktari maana yake inawanyima hao madaktari haki yao ya msingi ya kufanyakazi sehemu nyingine kama walivyowatumishi au wanataaluma wengine? Kama hawafai kuitumikia serikali haimaanishi kuwa hawafai pia kuwatumikia wananchi kupitia private hospitals labda km mimi sielewi huu usajiri huwa unatolewa kwa kila mwajiri mmoja mmoja anapohamia daktari. I think this is wrong!
Mimi kwa kweli siwaelewi hawa MAT hivi wanafanyakazi kwa shinikizo la serikali? Hivi kwa nini MAT iwafutie usajiri madaktari kwa kugoma kumfanyiakazi mwajiri fulani kwa swala hili serikali? Hivi kama madaktari wangegomea kumfanyia kazi Aga Khan hospital, regency hospital au TMJ nao wangefutiwa usajiri? Sasa inapowafutia usajiri madaktari maana yake inawanyima hao madaktari haki yao ya msingi ya kufanyakazi sehemu nyingine kama walivyowatumishi au wanataaluma wengine? Kama hawafai kuitumikia serikali haimaanishi kuwa hawafai pia kuwatumikia wananchi kupitia private hospitals labda km mimi sielewi huu usajiri huwa unatolewa kwa kila mwajiri mmoja mmoja anapohamia daktari. I think this is wrong!
Wataenda Botswana, Solidarity Forever"
well said mkuu!Kwa tunaofikiri karibu tunaweza kutangaza kwamba ushindi tayari umepatikana baada ya kuwafutia usajili hawa madaktari. Ukiona mambo yako yanakwenda kama uko kwenye roller coaster ujiangalie vizuri.
Mimi naona Impact yake ni kubwa kwenye sector ya afya kuliko tunavyodhani. Kinachinisikitisha zaidi ni kuwa naona kama kuna watu wamejipanga kujitangazia ushindi kama huu nao ni mchezo wa simba na yanga. Duuh! Nchi maskini sio maskini tu, ila zina watu pia wenye mawazo ya kimaskini sana. Na sababu ya mawazo haya ya kimaskini hatutaweza kuukwepa umaskini, unless tuanze kufikiri tofauti. We have made another bog mistake....
Ukifikiria juu kwa juu utafikiri ni upumbavu ila ukifikiri kwa kina kuna ukweli ndani ya yake mfano halisi ni kigamboni kwa sasa ikifika saa 1 kukatiza mtaani muda wowote unaweza kukatwa mapanga na kuibiwa ambapo hawa ni wale lowasa alosema ni bomu linalosubiriwa kulipuka, badala ya kuilipukia serikali inawalipukia wananchi
MAT ni Medical Association of Tanzania, ni chama cha madaktari Tanzania, ni cha hiyari chenye mrengo wa kitaaluma...hakihusiki na usajali wa maDaktari wala kuwaadhibu wanpokiuka maadili...Hivyo adhau hiyo haijatolewa na MAT.
MCT ni Medical Council of Tanzania, ni baraza la maDaktari Tanzania linalosimamia usajili na kutunza maadili kwa maDaktari, ni cha lazima (lazima kila Daktari anayetibu awe amesajiliwa na kupewa leseni na MCT). Baraza hili lina dhamana ya kuadhibu madaktari wanapokiuka maadili. Ndio lililotoa adhabu hiyo. Mwenyekiti wa baraza hili ni Mganga mkuu wa serikali (Chief Medical Officer, CMO, Dr Mmbando).
Dr. Mbando amefanyakazi ya siasa hivyo naye afutiwe leseni ya udaktari. Mimi nadhani mgogoro ulikuwa wa kikazi hivyo serikali ilipaswa kuwafukuza kazi wale ambao wamekwenda kinyume na taratibu za utumishi lakini sio kuwafutia leseni. Hii ni dalili mbaya kuwa serikali haikuwa na dhamira ya dhati katika kulipatia suluhu suala la mgomo wa madaktari. Hapo ndipo UDHAIFU unapodhihiri, kumbukeni Kenya kulikuwa na mgomo wa madaktari na serilkali ya huko ikawafukuza wote, kilichotokea ni aibu kubwa kwa serikali Mwai Kibaka. My Take serikali isifanye mambo kwa kukomoana.........Sasa hawa mabwege wanatutangazia sisi UMMA tufanye nini ? Kwani sisi tumewaajiri hawa madaktari ? Pumbavu zenu.
Sisi tunachokiitaji ni Tiba> Mmewafuta kazi hili iwe nini ? Mia 300 na ushee mtawatoa wapi wengine ? Hata muajiri wa namna gani kama mwendo ni huu nao watagoma . Mnataka kkugeuza mahospitali kama shule za kata. Ndio maana wanasiasa wanaaambia kuwa watajenga hospital kila kata na nyie ******* mnakubali , nyubaafu !!!!!!!!!!!!!!!!!
Asante sana kwa ufafanuzi na umenipa mwanga katika kutofautisha MCT na MAT ila logic yangu iko palepale kwa maana km MCT ndio wanaotoa leseni ya madaktari ku-practice, sasa kwa nini uwaondelee leseni ambayo itawawezesha kufanya kazi ktk private hospitals? Lakini pia km hiki ni chombo cha serikali kinawakilisha masilahi ya serikali sasa iweje hiyo serikali iliyo na mgogoro na madaktari ndio wawe viranja wa kutoa hukumu? Kwa nini wasingesubiri mahakama ya kazi iamue hatima yao. Lakini pia kuna vitu viwili hapa tofauti ya kudai haki na breach of professional conducts (code of conducts), mimi binafsi sijawahi kuona mgomo wa kudai maslahi inaweza kutafsiriwa km breach of professional conducts.MAT ni Medical Association of Tanzania, ni chama cha madaktari Tanzania, ni cha hiyari chenye mrengo wa kitaaluma...hakihusiki na usajali wa maDaktari wala kuwaadhibu wanpokiuka maadili...Hivyo adhau hiyo haijatolewa na MAT.
MCT ni Medical Council of Tanzania, ni baraza la maDaktari Tanzania linalosimamia usajili na kutunza maadili kwa maDaktari, ni cha lazima (lazima kila Daktari anayetibu awe amesajiliwa na kupewa leseni na MCT). Baraza hili lina dhamana ya kuadhibu madaktari wanapokiuka maadili. Ndio lililotoa adhabu hiyo. Mwenyekiti wa baraza hili ni Mganga mkuu wa serikali (Chief Medical Officer, CMO, Dr Mmbando).
Naona serikali wanaongoza goli 4 - 1. Magoli ya serikali yamepachikwa wavuni na Mahakama ya Kazi, Mahakama ya Kisuti, UWT na Baraza la Madaktari
sasa mtaani wataongezeka vibaka wenye sindano.
Nikurekebishe mkuu hiyo siyo MAT(Medical Association of Tanzania) bali ni Tanganyika Medical Council ambao wanatumiwa na serikaliMimi kwa kweli siwaelewi hawa MAT hivi wanafanyakazi kwa shinikizo la serikali? Hivi kwa nini MAT iwafutie usajiri madaktari kwa kugoma kumfanyiakazi mwajiri fulani kwa swala hili serikali? Hivi kama madaktari wangegomea kumfanyia kazi Aga Khan hospital, regency hospital au TMJ nao wangefutiwa usajiri? Sasa inapowafutia usajiri madaktari maana yake inawanyima hao madaktari haki yao ya msingi ya kufanyakazi sehemu nyingine kama walivyowatumishi au wanataaluma wengine? Kama hawafai kuitumikia serikali haimaanishi kuwa hawafai pia kuwatumikia wananchi kupitia private hospitals labda km mimi sielewi huu usajiri huwa unatolewa kwa kila mwajiri mmoja mmoja anapohamia daktari. I think this is wrong!