ukikaidi utapigwa2
JF-Expert Member
- Feb 24, 2015
- 13,764
- 27,134
Ukinuna uwe na sababu
kila kitu kinawakataa jezi nzito imewaponzaSasa ndo nini...
Hata,Simba inaweza kuandika hlo bango vile vile...
Ushauri kutoka kwa wa Doc kunywa maji mengi utakua busy kukojoa na kusahau mambo ya watu at the same time unatoa sumu mwiliniEndelea kuwachota wajinga wenzako si tunakuchora tu
AndikeniSasa ndo nini...
Hata,Simba inaweza kuandika hlo bango vile vile...
Mkuu hadi wewe hujui vigezo vya mfungaji Bora iwapo watafungana idadi ya mabao?Endelea kuwachota wajinga wenzako si tunakuchora tu
Vigezo ambavyo ni kwa mujibu wa sheria zipi genuine za kimpira?Mkuu hadi wewe hujui vigezo vya mfungaji Bora iwapo watafungana idadi ya mabao?
Weka ushabiki pembeni
Mkuu Hilo jamaa linakuwaga jeupe Sana humu 😂😂😂.Mkuu hadi wewe hujui vigezo vya mfungaji Bora iwapo watafungana idadi ya mabao?
Weka ushabiki pembeni
Kamwulize msemaji wenu na hiyo medani imefungwa nn 😂😂😂😂
Katika watu weupe kichwani huyo jamaa ni platinum member ila ujuaji plus ubishiMkuu hadi wewe hujui vigezo vya mfungaji Bora iwapo watafungana idadi ya mabao?
Weka ushabiki pembeni
Hujui kila nchi inakuwa na sheria zake?Mkuu hadi wewe hujui vigezo vya mfungaji Bora iwapo watafungana idadi ya mabao?
Weka ushabiki pembeni
Gongowazi tangu lini mkawa mna hojaMkuu Hilo jamaa linakuwaga jeupe Sana humu 😂😂😂.
Sijui ingekuwaje majungu yangekuwa mtaji, nyie wanafki si mngekuwa na maghorofa juu ya maji?Katika watu weupe kichwani huyo jamaa ni platinum member ila ujuaji plus ubishi
Ona ulivyo mweupe Sasa . Hakuna kigezo Cha fifa kinachombeba mfungaji Kwa idadi ya mechi . Mtu anabebwa na muda alioutumia uwanjani 😂😂😂😂. Shida Yako hujui ila unajikutaga mjuajiHujui kila nchi inakuwa na sheria zake?
Hata CAF wanasheria zao, mfano ule mwako ambao mrisho ngasa achukue kiatu CAF, kulikuwa na wenzake watano waliofunga magoli sawa.
Lakini
Vigezo vya FIFA vinambeba Saido kutokana na uchache wa mechi, hata hivyo kunakuwa na vigezo ambavyo kama nchi inaamua kuviweka.
Ndio maana mpaka sasa hakuna kauli yeyote kutoka bodi ya ligi ila huku mtandaoni watu mshajimilikisha viatu.
Na wewe mbona hulali upo JAPAN?Hamlali? Au wote hamko Tz