Namuombea dua Rais Samia arudi salama na aendelee na majukumu yake Kama kawaida

Namuombea dua Rais Samia arudi salama na aendelee na majukumu yake Kama kawaida

Kevzy

JF-Expert Member
Joined
May 23, 2026
Posts
448
Reaction score
644
Chei chei
Ukinuna nuna ila hakikisha haujidhulu

Dua ni moja kwa moja URUSI.. alipo MAMA SAMIA SULUHU.. namuombea akamilishe salama majukumu yake ya kinnchi na arudi na afike salama Tanzania

Sio rahisi kwa anavyoipambania nchi kama hivi binafs namuombea kwa M/Mungu na namshukuru M/Mungu na namuomba amuongezee nguvu maradufu

Maneno na chuki nyingi za kumrusisha nyuma mara maneno ya hapa na pale lakini siku zote M/Mungu ndio mshindi

Amjaalie arudi salama na aendelee na majukumu yake Kama kawaida..

Chuki inaanza kukuumiza wewe kwanza na hata upendo ukimpenda mtu wewe utajipenda/kupendwa mara dufu

Ukimuombea dua mwenzako M/Mungu anaanza kukupa wewe kwanza

Taifa bila MAMA HAIWEZEKANI
 
Chei chei
Ukinuna nuna ila hakikisha haujidhulu

Dua ni moja kwa moja URUSI.. alipo MAMA SAMIA SULUHU.. namuombea akamilishe salama majukumu yake ya kinnchi na arudi na afike salama Tanzania

Sio rahisi kwa anavyoipambania nchi kama hivi binafs namuombea kwa M/Mungu na namshukuru M/Mungu na namuomba amuongezee nguvu maradufu

Maneno na chuki nyingi za kumrusisha nyuma mara maneno ya hapa na pale lakini siku zote M/Mungu ndio mshindi

Amjaalie arudi salama na aendelee na majukumu yake Kama kawaida..

Chuki inaanza kukuumiza wewe kwanza na hata upendo ukimpenda mtu wewe utajipenda/kupendwa mara dufu

Ukimuombea dua mwenzako M/Mungu anaanza kukupa wewe kwanza

Taifa bila MAMA HAIWEZEKANI
Mpango wa kumu'Humphrey Polepole VP Nchimbi unaendeleaje?
 
Chei chei
Ukinuna nuna ila hakikisha haujidhulu

Dua ni moja kwa moja URUSI.. alipo MAMA SAMIA SULUHU.. namuombea akamilishe salama majukumu yake ya kinnchi na arudi na afike salama Tanzania

Sio rahisi kwa anavyoipambania nchi kama hivi binafs namuombea kwa M/Mungu na namshukuru M/Mungu na namuomba amuongezee nguvu maradufu

Maneno na chuki nyingi za kumrusisha nyuma mara maneno ya hapa na pale lakini siku zote M/Mungu ndio mshindi

Amjaalie arudi salama na aendelee na majukumu yake Kama kawaida..

Chuki inaanza kukuumiza wewe kwanza na hata upendo ukimpenda mtu wewe utajipenda/kupendwa mara dufu

Ukimuombea dua mwenzako M/Mungu anaanza kukupa wewe kwanza

Taifa bila MAMA HAIWEZEKANI
Tunaweza kujua kuna vitoto vingapi vya hippopotumus humu jamvini.
 
Hivi misaada ya west imepungua hadi kutembeze bakuli Kremlin?
 
Back
Top Bottom