Lord Diplock MR JF-Expert Member Mar 16, 2015 1,393 3,234 Dec 14, 2017 #1 Taarifa iliyotolewa na msajili wa mahakama kwa umma inaonesha kwamba mahakama kuu katika likizo yake hiyo itasikiliza kesi za dharula pekee.
Taarifa iliyotolewa na msajili wa mahakama kwa umma inaonesha kwamba mahakama kuu katika likizo yake hiyo itasikiliza kesi za dharula pekee.
Salahan JF-Expert Member Sep 10, 2014 2,942 3,606 Dec 14, 2017 #2 Watanzania ndio umma unaotumia iyo lugha.....mm sijalielewa ilo tangazo lao iyo lugha siijui
Threesixteen Himself JF-Expert Member Feb 12, 2013 8,223 7,993 Dec 14, 2017 #3 ! ! Kama nawaona akina fulani wanavyofurahia kuwakamata Kamata watu