Taarifa kwa Umma; Mahakama kuu itakuwa likizo kuanzia kesho tarehe 15 December hadi 31 December 2017

Lord Diplock MR

JF-Expert Member
Mar 16, 2015
1,393
3,234
Taarifa iliyotolewa na msajili wa mahakama kwa umma inaonesha kwamba mahakama kuu katika likizo yake hiyo itasikiliza kesi za dharula pekee.
587e9599f46a698188b70f4d25d3a4ef.jpg
 
Back
Top Bottom