Hosea Ben Member Sep 22, 2014 69 15 Sep 30, 2018 #1 Umoja wa vijana wasiokuwa na ajira rasmi Tanzania
covid 19 JF-Expert Member May 9, 2014 4,869 10,585 Sep 30, 2018 #2 Hiyo gharama ya fomu alipe nani huyu kijana ayese na kazi. nyie ni wakufyekelewaa mbaliiii
thesym JF-Expert Member Aug 15, 2012 3,792 4,681 Sep 30, 2018 #4 Yaani mnaanzisha vyama vyenu kienyeji kuwafanya waso na ajira fulsa.
Alexander The Great JF-Expert Member Aug 28, 2018 4,502 23,582 Sep 30, 2018 #5 Mmeshasema kwaajili ya vijana wasio kua na ajira, bado mnawatoza hela ya fomu. Kesho mtawatoza hela za vikao. Halafu kinachofata kijana akipata ajira, awe anawapa kiasi gani kutoka katika mshahara wake kila mwezi? Maana huu ni udalali kama sikosei, unasetiwa uingie kwanza halafu mengine mtajuana baadae.
Mmeshasema kwaajili ya vijana wasio kua na ajira, bado mnawatoza hela ya fomu. Kesho mtawatoza hela za vikao. Halafu kinachofata kijana akipata ajira, awe anawapa kiasi gani kutoka katika mshahara wake kila mwezi? Maana huu ni udalali kama sikosei, unasetiwa uingie kwanza halafu mengine mtajuana baadae.
Certified Hater JF-Expert Member May 14, 2017 1,704 3,599 Sep 30, 2018 #8 Mnaonaje hizo form mkifanya ziwe ni elfu Kumi tu mkuu!
Eli24 Senior Member Jan 1, 2018 165 361 Sep 30, 2018 #9 Mwenyekiti wa Chama Fyeka Katibu wa Chama Fyeka Mweka hazina Fyeka Wanachama wa hicho chama Fyekelaa mbaliii
Mwenyekiti wa Chama Fyeka Katibu wa Chama Fyeka Mweka hazina Fyeka Wanachama wa hicho chama Fyekelaa mbaliii